Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kabisa ndugu yangu [emoji4][emoji4][emoji4]Hakuna mtu hata mmoja uliyefahamiana naye humu?
Kuna watu wanaishi kama ndugu humu.
Anakosaje? viongozi wengi wamo humu na ndio wachokozi wakubwaHahahaha ukute Mwendazake alikua member humu maana kuna ID haijawahi kupost upotolo since March 2021
Ng'wana omayo.Ni ngumu sana kujua maana humu watu ni wengi, labda kwa wale unaofahamiana nao nje ya humu na unajua anatumia ID gani.
Yeah,sure...japo kuna umuhimu sana wakutambuanaSuala la privacy humu ni kitu muhimu maana serikali zetu za Africa huku kwenye forums ndio wanashinda wakitafuta watu wakuwafungulia kesi, sasa wengekuwa open 🔓 minded kama wenzetu weupe hata mimi ningetumia ID halisi humu
Siku nikifa ndugu zangu mje kutoa taarifa[emoji3]Ni kweli kabisa ndugu yangu [emoji4][emoji4][emoji4]
Tatizo wengine hata wakiendewa inbox hawatoi ushirikianoInatakiwa tuwe tunaitwa majina. Kama hujaingia jf siku tatu ukikuta jina lako limeitwa unaitika hivi;
Mfano:
Luckyline............Abeeeeeeee
Au
Luckyline............juzi, jana na leo.
Habari ya jioniSijaanza leo kujiuliza,hivi kwa mfano MTU akapotea ghafla katika utoaji thread,uchangiaji wa mada....tunawezaje kutambua taarifa zake.Maana sijawahi ona watu kushtuka humu ndani MTU anapopotea ghafla afu mazima.
Mi naamini hata kama hatufahamiani lakini kuuliziana hali ni jambo jema na kiutu tu ambalo halihitaji gharama.Naamini pia tupo watu humu ndani twafahamiana vema kabisa hivyo tunapojuliana hali ni rahisi pia kujibiwa maswali yetu.
Hivyo hii ni nafasi yetu ya kutambua wenzetu waliopotea kusikojulikana kutambua waliko.
HeheheheheChangamoto ya humu ni kwamba, hata kama mnaishi chumba kimoja huwezi kujua mwenzako anatumia jina gani.
Inawezekana mtu na mpenzi wake wote wamo humu ila hawajuani.
Kiufupi mtu anajijua mwenyewe na akifa pia anajijua mwenyewe. Inawezekana wewe mtoa post ni mwanangu, siku ukifa siwezi nikatangazai humu kwamba to yeye amefariki na hali sijui kama unatumia jina hilo.
Kiufupi kwa humu unajijua mwenyewe kama umekufa.
Labda mitandao mengine huku ya wakona facebook.