Hivi mtu akifariki humu mnajuaje?

Unataka upewe u-moderator wa rambirambi?
 
Mtoa post uje Pm tafadhali nna jambo lako!!
 
Suala la privacy humu ni kitu muhimu maana serikali zetu za Africa huku kwenye forums ndio wanashinda wakitafuta watu wakuwafungulia kesi, sasa wengekuwa open 🔓 minded kama wenzetu weupe hata mimi ningetumia ID halisi humu
 
Suala la privacy humu ni kitu muhimu maana serikali zetu za Africa huku kwenye forums ndio wanashinda wakitafuta watu wakuwafungulia kesi, sasa wengekuwa open 🔓 minded kama wenzetu weupe hata mimi ningetumia ID halisi humu
Yeah,sure...japo kuna umuhimu sana wakutambuana
 
Habari ya jioni
 
Mmenikumbusha
Wapi @Zero IQ
Huyu mwamba asije kua alifumaniwa na mke wa mtu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hehehehehe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…