Hivi mtu akifariki humu mnajuaje?

Hivi mtu akifariki humu mnajuaje?

Wakenya tuliojiunga na JF njooni tufahamiane kdgo ikiwezekana tubadilishane na number kbsa,, this is a very serious matter indeed!
 
Nimekuelewa mkuu@Nas Jr ...nilishatuliza mshono mbona

Decision ya busara sana umefanya... Relax... fahamiana tu na wachache utakaovutiwa nao... Otherwise vunga tu tuendelee kuwa humu kama robots hehehe
 
Sijaanza leo kujiuliza, hivi kwa mfano MTU akapotea ghafla katika utoaji thread,uchangiaji wa mada, tunawezaje kutambua taarifa zake. Maana sijawahi ona watu kushtuka humu ndani MTU anapopotea ghafla afu mazima.

Mi naamini hata kama hatufahamiani lakini kuuliziana hali ni jambo jema na kiutu tu ambalo halihitaji gharama. Naamini pia tupo watu humu ndani twafahamiana vema kabisa hivyo tunapojuliana hali ni rahisi pia kujibiwa maswali yetu.

Hivyo hii ni nafasi yetu ya kutambua wenzetu waliopotea kusikojulikana kutambua waliko.
Umesema kweli aiseh.


Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
mkuu kwa sababu humu JF wote ni matajiri na matajiri hawafi ila wanapoteza maisha kwahiyo turumie kauli ya kupoteza maisha endapo ID itakaa miaka kadhaa bila kufanya chochote tuanze na ID ya tajiri wa kudownload pesa
 
Inatakiwa tuwe tunaitwa majina. Kama hujaingia jf siku tatu ukikuta jina lako limeitwa unaitika hivi;
Mfano:
Luckyline............Abeeeeeeee
Au
Luckyline............juzi, jana na leo.
Nme kukabidhi hiki kitendea kazi
Screenshot_2022-04-01-15-38-21-67.jpg
 
mkuu kwa sababu humu JF wote ni matajiri na matajiri hawafi ila wanapoteza maisha kwahiyo turumie kauli ya kupoteza maisha endapo ID itakaa miaka kadhaa bila kufanya chochote tuanze na ID ya tajiri wa kudownload pesa
Ha ha haa
 
Back
Top Bottom