Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaHa ha haa,na sabaya wake
@bintiwaikiwere Ni mwaka wa 7 Sasa[emoji24][emoji24][emoji24]Mfano @superbug sijamuona mwaka sasa
@bintiwaikiwere Ni mwaka wa 7 Sasa[emoji24][emoji24][emoji24]
Hongera, ngoja nika like picha zako IGWapo mkuu,niko nao fb na Instagram
We Kufa tu tutajuaSijaanza leo kujiuliza, hivi kwa mfano MTU akapotea ghafla katika utoaji thread,uchangiaji wa mada, tunawezaje kutambua taarifa zake. Maana sijawahi ona watu kushtuka humu ndani MTU anapopotea ghafla afu mazima.
Mi naamini hata kama hatufahamiani lakini kuuliziana hali ni jambo jema na kiutu tu ambalo halihitaji gharama. Naamini pia tupo watu humu ndani twafahamiana vema kabisa hivyo tunapojuliana hali ni rahisi pia kujibiwa maswali yetu.
Hivyo hii ni nafasi yetu ya kutambua wenzetu waliopotea kusikojulikana kutambua waliko.
Hahahahaaaa… brilliantSawa mkuu,ngoja tusubiri wakati