Hivi mtu akifariki humu mnajuaje?

Hivi mtu akifariki humu mnajuaje?

Mimi nikifa Kuna member wanne wananifahamu watakuja kutoa taarifa..🤔🤔but how watapata taarifa ikiwa namba zao nilifutaga.. sijui
Kwann ufute jaman
 
Madhali hakuna umuhimu wa kujuana uhalisia wetu tukiwa tupo hai, sidhani kama kuna faida yeyote ya kujua kama mtu amekufa.
 
to yeye umeanza siku nyingi sana habari za kutaka kufamiana...


Humu kuna majasusi,, Roho mbaya,,, Wauaji,, Wezi,, wala rushwa,,, wachungaji,,, Mabazazi,, Malaya pro max,,, Wahuni,,, mashoga,,, wapambanaji,, wanaolelewa... Na half matahira...

Swala la kufahamiana wameachiwa wachache sana so ni vigumu sana kujua... Na kuna ambao wanabidili ID kisa wamesahau password,, so ni ngumu kujua...

Jf member we all Die like a real men....anonymous
 
to yeye umeanza siku nyingi sana habari za kutaka kufamiana...


Humu kuna majasusi,, Roho mbaya,,, Wauaji,, Wezi,, wala rushwa,,, wachungaji,,, Mabazazi,, Malaya pro max,,, Wahuni,,, mashoga,,, wapambanaji,, wanaolelewa... Na half matahira...

Swala la kufahamiana wameachiwa wachache sana so ni vigumu sana kujua... Na kuna ambao wanabidili ID kisa wamesahau password,, so ni ngumu kujua...

Jf member we all Die like a real men....anonymous
Nimekuelewa mkuu@Nas Jr ...nilishatuliza mshono mbona
 
Sijaanza leo kujiuliza, hivi kwa mfano MTU akapotea ghafla katika utoaji thread,uchangiaji wa mada, tunawezaje kutambua taarifa zake. Maana sijawahi ona watu kushtuka humu ndani MTU anapopotea ghafla afu mazima.

Mi naamini hata kama hatufahamiani lakini kuuliziana hali ni jambo jema na kiutu tu ambalo halihitaji gharama. Naamini pia tupo watu humu ndani twafahamiana vema kabisa hivyo tunapojuliana hali ni rahisi pia kujibiwa maswali yetu.

Hivyo hii ni nafasi yetu ya kutambua wenzetu waliopotea kusikojulikana kutambua waliko.
Wanajulikana tu kama wameshakufa
Utaona tu jinsi wanavyokoment
 
😂😂😂Embu subiri..kwanza🤔🤔hivi niliwahi kua nayo eti

Mimi mbona yako ninayo?

Utakuwa umeifuta yangu mdada mzuri...na lazima nikupe adhabu kuipata tena...kaone vile!! 😊
 
Mimi mbona yako ninayo?

Utakuwa umeifuta yangu mdada mzuri...na lazima nikupe adhabu kuipata tena...kaone vile!! 😊
😂😂😂
Adhabu tena..!!huu Ni uonevu eti..nipee tu bila adhabu nitakua katoto kazuri mnoo
 
Humu Ukiona mtu au watu wamepotea ujue wapo pm na mambo yao...
 
Back
Top Bottom