Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
RIP ndugu yanguMaisha ni safari,atakayekufa ujue huyo mwendo ameumaliza,
huwezi kujua kama kuna member kafa coz watu humu wanatumia fake ID's labda kwa wale wanaojuana tu.
[emoji849] uyo bwana una m quote kasha chukua ticket ya mbinguni auRIP ndugu yangu
Dah dunia tunapita kweli nilivyo cheki akaunti yako machozi yamenitoka
Sijakusoma Mkuu,una maanisha nini?RIP ndugu yangu
Dah dunia tunapita kweli nilivyo cheki akaunti yako machozi yamenitoka
duh!!Wanajulikana tu kama wameshakufa
Utaona tu jinsi wanavyokoment
Nimekuelewa mkuu@Nas Jr ...nilishatuliza mshono mbona
Wewe kwani jina Lako halisi Nani mkuu. Samahani lakini kujuana ni jambo jemaMaisha ni safari,atakayekufa ujue huyo mwendo ameumaliza,
huwezi kujua kama kuna member kafa coz watu humu wanatumia fake ID's labda kwa wale wanaojuana tu.
Mkuu soma sheria za JF kuhusu identity ya member.Wewe kwani jina Lako halisi Nani mkuu. Samahani lakini kujuana ni jambo jema
Umesema kweli aiseh.Sijaanza leo kujiuliza, hivi kwa mfano MTU akapotea ghafla katika utoaji thread,uchangiaji wa mada, tunawezaje kutambua taarifa zake. Maana sijawahi ona watu kushtuka humu ndani MTU anapopotea ghafla afu mazima.
Mi naamini hata kama hatufahamiani lakini kuuliziana hali ni jambo jema na kiutu tu ambalo halihitaji gharama. Naamini pia tupo watu humu ndani twafahamiana vema kabisa hivyo tunapojuliana hali ni rahisi pia kujibiwa maswali yetu.
Hivyo hii ni nafasi yetu ya kutambua wenzetu waliopotea kusikojulikana kutambua waliko.
Nme kukabidhi hiki kitendea kaziInatakiwa tuwe tunaitwa majina. Kama hujaingia jf siku tatu ukikuta jina lako limeitwa unaitika hivi;
Mfano:
Luckyline............Abeeeeeeee
Au
Luckyline............juzi, jana na leo.
Mbona attendance chafu ivoNme kukabidhi hiki kitendea kaziView attachment 2175576
Jamani dah shule za msingi aisee umenikumbusha mbaliπππππNme kukabidhi hiki kitendea kaziView attachment 2175576