Hivi mtu akikwambia unakaa mbali ni kweli unakaa mbali au yeye ndo anakaa mbali na wewe

Hivi mtu akikwambia unakaa mbali ni kweli unakaa mbali au yeye ndo anakaa mbali na wewe

Bonsipele69

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2023
Posts
364
Reaction score
915
Wasalaaam

Ndugu wengi wamekuwa na tabia ya kushindwa kukutembelea hususan kipindi ambacho hauna hali nzuri ya maisha kwa kisingizio kwamba unaishi mbali.... hivi ni kweli unakuwa unakaa mbali? au ni uthibitisho wa ile kauli ya asiyenacho hana thamani.. Karibun kwa maoni

NB:Tusikate tamaa ipo siku wageni watashindana kuhamia moja kwa moja majumbani kwetu
 
Wasalaaam
Ndugu wengi wamekuwa na tabia ya kushindwa kukutembelea hususan kipindi ambacho hauna hali nzuri ya maisha kwa kisingizio kwamba unaishi mbali.... hivi ni kweli unakuwa unakaa mbali? au ni uthibitisho wa ile kauli ya asiyenacho hana thamani.. Karibun kwa maoni

NB:Tusikate tamaa ipo siku wageni watashindana kuhamia moja kwa moja majumbani kwetu
Umbali wa sehemu unapimwa kutokea City Center.

Haiwezekani ukae Kerege halafu useme unatengwa wakati umeamuwa kujitenga mwenyewe.
 
Wasalaaam
Ndugu wengi wamekuwa na tabia ya kushindwa kukutembelea hususan kipindi ambacho hauna hali nzuri ya maisha kwa kisingizio kwamba unaishi mbali.... hivi ni kweli unakuwa unakaa mbali? au ni uthibitisho wa ile kauli ya asiyenacho hana thamani.. Karibun kwa maoni

NB:Tusikate tamaa ipo siku wageni watashindana kuhamia moja kwa moja majumbani kwetu
Mtu wa hivyo, lazima anijibu nakaa mbali ukitokea wapi?
 
Wewe ndiyo unakaa mbali,yeye ametamka hivyo kutokana na kipimo chake, yaweza kuwa umbali kutoka kwake au sehemu anayoijua yeye,na wewe ukitamka hilo neno unakaa mbali inabidi umueleze mwenzako kwamba anakaa mbali kutoka wapi
 
Wasalaaam
Ndugu wengi wamekuwa na tabia ya kushindwa kukutembelea hususan kipindi ambacho hauna hali nzuri ya maisha kwa kisingizio kwamba unaishi mbali.... hivi ni kweli unakuwa unakaa mbali? au ni uthibitisho wa ile kauli ya asiyenacho hana thamani.. Karibun kwa maoni

NB:Tusikate tamaa ipo siku wageni watashindana kuhamia moja kwa moja majumbani kwetu
Hahaha Sasa kwa mfano unakaa Kimbiji,Kibada au Unakaa Pugu huko Mtu anakaa Posta..
Kwanza kukutembelea Lazma apotoze Siku nzima 🤣🤣
 
Kwqko wala kazini kwako hakujawahi kuwa MBALI....lakini,za kuambiwa changanya na zako
Yani kazini pesa inaishia kwenye nauli hiyo kazi ya nini sasa?

Ukae Mlandizi ufanye kazi kigamboni kama siyo kichaa ni kitu gani?

First world wenzetu miundombinu na vipato vinaruhusu hata kukaa Morogoro ukafanyakazi Dar.
 
Yaan kwa kifupi...upo mbali na huduma muhimu za jamii...banks, soko, hospitals, kituo cha polisi, mahakama..magereza..halmashauri...yaan kwa kifupi upo mbali na social services...
 
Back
Top Bottom