Hivi mtu akikwambia unakaa mbali ni kweli unakaa mbali au yeye ndo anakaa mbali na wewe

Hivi mtu akikwambia unakaa mbali ni kweli unakaa mbali au yeye ndo anakaa mbali na wewe

Umbali wa sehemu unapimwa kutokea City Center.

Haiwezekani ukae Kerege halafu useme unatengwa wakati umeamuwa kujitenga mwenyewe.
Kama huna pesa hata kama unakaa posta watasema shida kwako parking hakuna, foleni sana pale, Barabara mashimo sana, tunagonga sana mlango hamsikii, kiufupi hawatakuja watasema siku hizi kazi nyingi sana...
 
Yaan kwa kifupi...upo mbali na huduma muhimu za jamii...banks, soko, hospitals, kituo cha polisi, mahakama..magereza..halmashauri...yaan kwa kifupi upo mbali na social services...
Kama ni hivyo, wale wanaokwenda kutibiwa India na huku wanaishi karibu na BoT, Muhimbili, etc vipi?
 
Umbali wa sehemu unapimwa kutokea City Center.

Haiwezekani ukae Kerege halafu useme unatengwa wakati umeamuwa kujitenga mwenyewe.
Kama city center huna shughuri nako, to hell na umbali..!! Ila kama mambo yako yote yapo city center, sawa. We mtu city center anakwenda mara moja kwa miezi mitatu au miwili, halafu upatumie kuamua wapi uishi, HUO NI UFALA..!!
 
Yes, kama ni huduma za hospitali, sijui benki sijui vikorokoro gani, UKIWA DON vitakufuata au utavifuata huko viliko.
Madon wanakaa town, Masaki, Obey, Mbezi beach na ununio.

Hakuna Don anakaa Kerege huyo ni mstaafu anayehitaji utulivu.

Simple calculation kama wewe ni mtu wa kijamii nenda kwenye harusi muda wa kurudi nyumbani ndio utajuwa unakaa mbali au karibu.

Au toka out kwenye concert and likes muda wa kurudi utapata majibu sahihi.
 
Back
Top Bottom