Hivi Mungu aliwaza nini mpaka akaamua kututupia Ibilisi duniani!

Angesamehe Kama mwane anavotushauli? Mwane Nan aneshauli???

Adam aliomba Toba na alisamehewa sjajua msamaha upi unaouzungumzia ww
 


Huyu jamaa hakuna namna tunamuweza kiulaini. Just imagine Yesu mwenyewe akimuongelea analia, afu kuna mimi [emoji16]
 

[emoji120][emoji91]
 
Mungu hawezi kukupa kitu ambacho hauwezi kupambana nacho.

Mwanadamu ana thamani sana. Na ndio maana Mungu alipokuumba anaijua thamani yako..kuwa unaweza kupambana na chochote kile ulimwenguni na kisikushinde...chochote kile.

Shetani mwenyewe anamtumia mwanadamu kukamilisha projects zake hapa duniani na penginepo ulimwenguni.

USIOGOPE, pambana na hali yako..

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
Duu ukitumia akili utagundua hii ni hadithi kama hadithi zingine. Mbona huyu Mungu anazidiwa akili hata na binadamu.?
 
Duuuh hapo kwenye kuthibitisha Mungu ni positive Energy ni shughuri nzito.
Shughuli nzito huwa ni kukanusha, ebu jaribu kuja na fact za ukanushi tuuone uwezo wako
Duu ukitumia akili utagundua hii ni hadithi kama hadithi zingine. Mbona huyu Mungu anazidiwa akili hata na binadamu.?
Ubaya wa akili it has limit na mwisho wa uwezo wa kufikiri ndio mwanzo wa akili ya alieiumba akili.
 
MUNGU YUPO.
 
Chanzo cha binadamu hukijui ila umeshahitimisha hakuna Mungu,


Huo uwezo unaosema unaweza kujua jibu fulani si sahihi bila kujua jibu sahihi ni lipi na mfano ulioutoa.....Nna mashaka na wewe.


Pengine ndio nyie mawakala wa shetwani [emoji28]
 
Chanzo cha binadamu hukijui ila umeshahitimisha hakuna Mungu,


Huo uwezo unaosema unaweza kujua jibu fulani si sahihi bila kujua jibu sahihi ni lipi na mfano ulioutoa.....Nna mashaka na wewe.


Pengine ndio nyie mawakala wa shetwani [emoji28]
Logical non sequitur, innumeracy, illiteracy.
 
dah heading yko imenifanya nmecheka na kufuatiwa na kusikitika sema ndo hvyo ndo mipango yake mungu
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…