Hivi Mungu aliwaza nini mpaka akaamua kututupia Ibilisi duniani!

tatizo wanadamu tunahadithiana vitu ambavyo wenyewe tumekuja dunianii tumevikuta na vingine hata hatujawahi kuviona . mfano tu ni uwepo wa pepo na kuzimu ,paradiso na motoni.
hakuna mwenye kuyajua haya . sijui ibilisi aliletwa duniani hizo zote story tu uhalisia anaujua yeye aliyeumba hii dunia
 
Hizi ni hadithi tu, ni hekaya za kale za baadhi ya binada kujipa majibu kwa mambo magumu yaliyokosa majibu.
 
Ndio maana imekuwa ni kawaida tu kumkuta mtu ni mfia dini haswa ila ni mzinifu,muongo,muuaji,mchawi,tapeli,mwizi, mnafiki n.k.
🀣🀣🀣🀣 hapo ndio ujue ibilisi ni tatizo lilomshinda Mungu
 
Mhhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…