Hivi Mungu aliwaza nini mpaka akaamua kututupia Ibilisi duniani!

Hivi Mungu aliwaza nini mpaka akaamua kututupia Ibilisi duniani!

Mambo yalianza kuharibika pale bustanini ambapo badala ya Mungu kutoa msamaha kwa adam na ev. Yeye akawamiminia laana.

Cha kwanza aliweka uadui kati ya mwanadamu na shetani

Pili akamwambia binadamu atakula kwa jasho atazaa kwa uchungu na hakika atakufa.

angesamehe kama mwanae anavyo tushauri tusamehe saba mara sabini Tusimge fika huku.
Lakini ikumbukwe Mungu hakumlaani mwanadamu bali ardhi ndio ilibeba laana kwa ajili ya mwanadamu, Nyoka ndie alielaaniwa na baadae kaini ndio akawa mtu wa kwanza kulaaniwa yeye kama yeye na sio Adam and Eve
 
Shetani na Mungu wanafanya kazi pamoja kila mmoja anamtegemea mwenzake. Hakuna Mungu bila shitani and vice versa is true. Bila uwepo wa shetani tusingeujua uwezawa Mungu hence tusingemtegemea Mungu. Sheta kuwepo duniani ni Plan ya Mungu
No one knows exactly if they do cooparate or not but we do believe God never cooperate with rebels
 
Tamaa zenu, mmekalia kumsingizia shetani.

Tusidanganyane uwezo wakuto tenda maovu tunao.
Hii ni kweli mwanadamu mcha Mungu ana maadui wakubwa wanne
Nafsi yake,Mwili wake, Dunia na shetani wa baadae sana, which means hata shetani akiondolewa leo, still kutakuwa na dhambi tu za matamanio ya mwili, Matamanio ya kidunia.

Ndipo linapokuja swala la kujikana nafsi,kuutawala mwili,kuikataa Dunia na tamaa zake halafu mwisho ndiopingeni shetani naye atawakimbia

Shida inakuja wakati unampinga adui no4 wakati namba 1 ameshakuchakaza vibaya sana, 2 mbili ndio humuwezi kabisa no3 ndio kakuvuruga kabisa utamuweza wapi no4.

Naomba kuwasilisha.
 
Lakini ikumbukwe Mungu hakumlaani mwanadamu bali ardhi ndio ilibeba laana kwa ajili ya mwanadamu, Nyoka ndie alielaaniwa na baadae kaini ndio akawa mtu wa kwanza kulaaniwa yeye kama yeye na sio Adam and Eve
Kwa uchungu utazaa.. Kwa jasho utakula hizo ni laana za kwanza kabisa. Nami nitaweka uadui kati yako na nyoka yani uadui upo ni full struggle kuanzia huko mpka vizazi na vizazi uadui hauwezi kuisha hiyo amani itapatikanaje?

Alimwumba mwanadamu
Halafu akamwekea jaribu la tunda(hali akijua mwanadamu hawezi kutobooa lazima ataanguka tu)

Kisha anaenda kumwuliza maswali eti amefanya nini mbona anajificha?

Halafu anaadaa namna ya kumkomboa mwanadamu kwa kumtoa mwanae afe msalabani na baada ya huo ukombozi anamwacha humo humo duniani aendelee kupambana na ule uadui ulio wekwa mwanzo kule bustanini. Sijui kama unanielewa?
 
Kwa uchungu utazaa.. Kwa jasho utakula hizo ni laana za kwanza kabisa. Nami nitaweka uadui kati yako na nyoka yani uadui upo ni full struggle kuanzia huko mpka vizazi na vizazi uadui hauwezi kuisha hiyo amani itapatikanaje?

Alimwumba mwanadamu
Halafu akamwekea jaribu la tunda(hali akijua mwanadamu hawezi kutobooa lazima ataanguka tu)

Kisha anaenda kumwuliza maswali eti amefanya nini mbona anajificha?

Halafu anaadaa namna ya kumkomboa mwanadamu kwa kumtoa mwanae afe msalabani na baada ya huo ukombozi anamwacha humo humo duniani aendelee kupambana na ule uadui ulio wekwa mwanzo kule bustanini. Sijui kama unanielewa?
Umekaa ku kejeli tu.
 
Shetani na Mungu wanafanya kazi pamoja kila mmoja anamtegemea mwenzake. Hakuna Mungu bila shitani and vice versa is true. Bila uwepo wa shetani tusingeujua uwezawa Mungu hence tusingemtegemea Mungu. Sheta kuwepo duniani ni Plan ya Mungu

Kwahiyo Mungu na Ibilisi waliamua tu kugawana wateja si ndio?

Sasa hizi promo zote za duniani kuhusu Mungu na bado ibilisi anapata wanaomuunga mkono just imagine Ibilisi ana nguvu kiasi gani?
Kuna watu wanakesha wanasali na kuswali lakini Ibilisi anawanasa kwa sekunde tu

Unadhani uamzi wa Mungu kumleta Ibilisi duniania ulizingatia uhalisi wa namna binadamu alivyoumbwa au Mungu alifanya kwa hasira tu?
 
Adam ni nani na unahakikishaje alikuwapo?

Generations sijui zimetokea wapi, kuna utata mwingi, lakini jibu la Mungu si sahihi.

Kwa sababu Mungu mjuzi wa yote, mwenye upendo wote na uwezo wote aliyeumba dunia hii hayupo.

Hilo si jambo la imani tu, ni jambo la kimantiki.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
Je sasa unaamini uchawi upo?


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Huko juu tunaambiwa mkono ulichezwa na dakika za mwisho kabisa zilionesha shetani anaenda ku win ile battle

Lakini plan B aliyokuja nayo Mungu ndio iliyokuja kubadilisha mchezo mzima. Pamoja na plan B hiyo bado kuna malaika ambao waliungana na shetani

Yani Malaika ambao miaka yote wamekuwa wakiishi kwa raha hawazijui shida na siku zote wanaonana na Mungu, walikuwa conviced na shetani na kumuona ni kiumbe ambaye alikuwa ana pambania haki yake ambayo ilidhurumiwa na Mungu.

Sasa kumbuka hao ni malaika ambao daily wanashinda na Mungu lakini bado waliungana na shetani

Vipi Mungu ashangazwe na sisi binadamu kushawishika na shetani katika mazingira ambayo kuna njaa, shida, magonjwa, vita nk hata huyo Mungu hatujawahi kumuona?

Round hii vita ikirudiwa kuna uwezekano mkubwa sana ushindi ukawa kwa shetani kwasababu mpaka sasa ana kundi kubwa la watu wanao msapoti

Kipindi kile alipata usumbufu kwasababu alikuwa outnumbered labda kama naye Mungu huko ajakaa kizembe kwamba anatengeneza watu wengine kisirisiri kwa ajili ya backup
 
Kama bado unaamini story za kusadikika kama za Mungu kweli upo zama za giza
 
Huko juu tunaambiwa mkono ulichezwa na dakika za mwisho kabisa zilionesha shetani anaenda ku win ile battle

Lakini plan B aliyokuja nayo Mungu ndio iliyokuja kubadilisha mchezo mzima. Pamoja na plan B hiyo bado kuna malaika ambao waliungana na shetani

Yani Malaika ambao miaka yote wamekuwa wakiishi kwa raha hawazijui shida na siku zote wanaonana na Mungu, walikuwa conviced na shetani na kumuona ni kiumbe ambaye alikuwa ana pambania haki yake ambayo ilidhurumiwa na Mungu.

Sasa kumbuka hao ni malaika ambao daily wanashinda na Mungu lakini bado waliungana na shetani

Vipi Mungu ashangazwe na sisi binadamu kushawishika na shetani katika mazingira ambayo kuna njaa, shida, magonjwa, vita nk hata huyo Mungu hatujawahi kumuona?

Round hii vita ikirudiwa kuna uwezekano mkubwa sana ushindi ukawa kwa shetani kwasababu mpaka sasa ana kundi kubwa la watu wanao msapoti

Kipindi kile alipata usumbufu kwasababu alikuwa outnumbered labda kama naye Mungu huko ajakaa kizembe kwamba anatengeneza watu wengine kisirisiri kwa ajili ya backup
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapana kwa kweli[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
 
Back
Top Bottom