Hivi Mungu amemshindwa kabisa shetani? Mbona shetani inasadikika ni kiumbe wake?

Hivi Mungu amemshindwa kabisa shetani? Mbona shetani inasadikika ni kiumbe wake?

Mkungunero

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2023
Posts
401
Reaction score
569
Kumbe inawezakana kabisa Mungu anawaogopa viumbe wake aliowaumba mwenyewe?

Tunaambiwa shetani aliumbwa na Mungu Sasa iweje amemshindwa kumuangamiza mpaka watunishiane misuri na mostly shetani huyu anaonekana ana nguvu kumzidi huyu Mungu.

Does it come to our ears as true logic kwamba shetani ni dhana tu?
 
Kumbe inawezakana kabisa mungu anawaogopa viumbe wake aliowaumba mwenyewe?

Tunaambiwa shetani aliumbwa na Mungu
Tulidanganywa!. Mwanzo wa Mungu ndio mwanzo wa shetani, Mungu ndiye Mkuu kabisa, shetani was the 2i/c, hivyo alikuwa malaika Mkuu, alipoasi akatimuliwa mbinguni, ila was never scrapped the powers!.
Sasa iweje amemshindwa kumuangamiza mpaka watunishiane misuri na mostly shetani huguhuyu anaonekana ana nguvu kumzidi huyu Mungu.
Every thing God can do, the devil can do, ila Mungu ana nguvu zaidi ya shetani, na shetani hawezi kuumba wala kutoa uhai, ila kuhusu Mungu kumuangamiza shetani, naomba nisiseme...
Does it come to our ears as true logic kwamba shetani ni dhana tu?
Kama alivyo Mungu, shetani pia ni omniscient, omnipotent, na Omnipresent!.
Karibu mitaa hii Angalizo: Kuna Wengi Wanamwabudu Shetani Wakidhani ni Mungu!. Jee Wewe Unajijua?, Jitambue!.
P
 
una dini? Au huna dini? Nimeuliza hivyo ili nijue naanza kukujibu vipi
 
Kumbe inawezakana kabisa mungu anawaogopa viumbe wake aliowaumba mwenyewe?

Tunaambiwa shetani aliumbwa na mungu Sasa iweje amemshindwa kumuangamiza mpaka watunishiane misuri na mostly shetani huguhuyu anaonekana ana nguvu kumzidi huyu mungu.

Does it come to our ears as true logic kwamba shetani ni dhana tu?
Hivo vitu vya kufikirika tu mkuu hakuna vitu kama hivo
 
Kumbe inawezakana kabisa mungu anawaogopa viumbe wake aliowaumba mwenyewe?

Tunaambiwa shetani aliumbwa na mungu Sasa iweje amemshindwa kumuangamiza mpaka watunishiane misuri na mostly shetani huguhuyu anaonekana ana nguvu kumzidi huyu mungu.

Does it come to our ears as true logic kwamba shetani ni dhana tu?
Hakuna shetani Ni nadharia za wajanja wachache kuwashika akili wanadamu na kuwaogopeshea Moto wa milele kuwa ataungu hatakufa so atasikia maumivu milele ili wakishaogopa wanapigwa hela zao Basi,wajenge shule na mahospital.
Yaani dini na serikali Ni kitu kimoja huku unalipa 18% huku 10% fungu la kumi. Yaani nenda kwenye ibada na uko vyema kiuchumi Ila usiwe unachangia michango watakuona as if sio mtu wa kawaida
 
Kumbe inawezakana kabisa mungu anawaogopa viumbe wake aliowaumba mwenyewe?

Tunaambiwa shetani aliumbwa na mungu Sasa iweje amemshindwa kumuangamiza mpaka watunishiane misuri na mostly shetani huguhuyu anaonekana ana nguvu kumzidi huyu mungu.

Does it come to our ears as true logic kwamba shetani ni dhana tu?
Elimu
Ya dunia inamfundisha mtu jinsi ya kuishi kufanya kazi kulipwa kulipa mishara au kulipwa na kuajiri kuajiriwa basi

Unapo jitia kutaka kumkosoa mungu kwa kutumia elimu yako hiyo ulioipata kwa ajili ya mshahara tu akuona kama mpumbavu elimu ya chuo haitoshi kumtambua Mungu na uimbaji wake wa viumbe na kazi ya viumbe alivio viumba

Hili kwanza kumtambua mungu na kujitambua wewe sababu ya kuumbwa kwako na wazazi wako na watu wote unao waona na viumbe vingine lazima usome elimu ya dini vingineviyo utamtukana mungu na kumsifia shetani hali yakuwa wewe hapo ndie shetani
 
Hivo vitu vya kufikirika tu mkuu hakuna vitu kama hivo
Unajitoa fahamu na kujifanya mpumbafuvu hali ya kuwa mungu kakuumba kakupa akili hili uitumie kujua uwepo wake badala yake unatumia akili hiyo kujitoa fahamu na kujifanya mpumbavu tani sa7 ya kifusi itakunyoosha tu
 
Hakuna shetani Ni nadharia za wajanja wachache kuwashika akili wanadamu na kuwaogopeshea Moto wa milele kuwa ataungu hatakufa so atasikia maumivu milele ili wakishaogopa wanapigwa hela zao Basi,wajenge shule na mahospital.
Yaani dini na serikali Ni kitu kimoja huku unalipa 18% huku 10% fungu la kumi. Yaani nenda kwenye ibada na uko vyema kiuchumi Ila usiwe unachangia michango watakuona as if sio mtu wa kawaida
Sema sana kejeli sana lakini ukumbuke kuwa kuna siku isiokuwa na saa ambayo roho yako itazimika kama unavio zima taa zako za ndani ya nyumba yako hiyo ni siku ambayo ndio muisho wa nyodo zako hizo ulizo nazo ndio siku utakapo jua kuwa sheitani yupo au ayupo mungu yupo au hayupo baada ya kufukiwa kifusi cha tani 7
 
Unajitoa fahamu na kujifanya mpumbafuvu hali ya kuwa mungu kakuumba kakupa akili hili uitumie kujua uwepo wake badala yake unatumia akili hiyo kujitoa fahamu na kujifanya mpumbavu tani sa7 ya kifusi itakunyoosha tu
Inaonekana unaogopa kufa mpaka umekua mpumbavu sana. Kufa sio adhabu Ni asili
 
una dini? Au huna dini? Nimeuliza hivyo ili nijue naanza kukujibu vipi
Ili uende sawa weka 2 scenarios... Moja assume jamaa ana dini na nyingine assume hana dini ili yeye achague anachokitaka
 
Dini ni kama sheria tu, ziliasisiwa ili kudhibiti mienendo na tabia za Binadamu. Kumbuka kwamba Binadamu ni mnyama kiasili na ana tabia zote za wanyama hivyo bila jitihada za makusudi kumdhibiti na kumtawala Dunia isingekuwa sehemu salama.
 
Sema sana kejeli sana lakini ukumbuke kuwa kuna siku isiokuwa na saa ambayo roho yako itazimika kama unavio zima taa zako za ndani ya nyumba yako hiyo ni siku ambayo ndio muisho wa nyodo zako hizo ulizo nazo ndio siku utakapo jua kuwa sheitani yupo au ayupo mungu yupo au hayupo baada ya kufukiwa kifusi cha tani 7
Naona unaweka vitisho. Mbona Kama kwako haya hayatafanyika kwako ama Ni kwangu. Kifo kipo kwa kila kiumbe hai na ndio uumbaji ulivyo sema mnakitumia Kama silaha ya kutawala watu na kuwapeni sadaka. Aliyeniumba anajua siku nitakufa na sio wa kwanza mie kufa.
Sema Mara kifusi,Mara sijui mbavu hii inahamia kushoto na kushoto inaenda kulia.
Ulivyoongea utadhani Kama wewe utaishi milele,as if wewe unayajua baada ya kifo.


Listen people use fear of future life after this Earth life to threaten others.
Tunaogopa kifo na kila kiumbe ndio hofu ya kwanza na wengine wanaotumia vizuri hii karata vizuri kumeki life lao.
Mara utakufa na kansa,ukimwi,sijui Nini ili ununue dawa zao,ama uchanje.
Binadamu ana fear of uncertainties hajui kesho kutakuwepo na Nini so anapenda mno kujua hapo kesho ama tomorrow kutakuwa ama kutatokea Nini.
Na ndio Mana wanaopenda mfano kuajiriwa Ni wengi kuliko wanaopenda kujisimamia ama kufanya biashara zao.
Mana mshahara unajulikana,njia inajulikana yaani mpaka kustaafu anajua atakuwa na Bei gani hii tofauti na biashara.
Tunapenda mno deterministic thinking kuliko Probability thinking.


Mara unaponya magonjwa ,mpaka njoo kwa fulani uponywe ,sema wanadamu mbele ya kifo wanakuwa Kama watt wadogo wanataka mtu wa kuwaongoza.
Unadhani Kama Hakuna kufa hizi dini zingekuwepo Mana watu wamejaa uwoga kuwa baada ya kifo Mara nitachomwa Moto.
Mungu Aliyetuumba anajua kila kitu hata maisha yako kabla hata kizazi Cha bilioni kabla yako hujaumbika katika viuno vya wazazi.so everything is under the control msitumie karata ya hofu kutawala watu,Kama wengine watumiavyo tamaa za binadamu kujinufaisha kimaisha yao.
Yaani binadamu Ni sawa na kondoo, ng'ombe ama nyuki ukimjulia unamuendesha vizuri anaenda unapotaka aende.
Mfano wanawake wanaishi kisa Cha tamaa ya wanaume ya ngono ,waimbaji ,wachezaji na waigizaji wanaishi kisa Cha binadamu kupenda Raha, madaktari na wafamasia wanaishi kisa Cha magonjwa ya Binadamu na wengine mpaka wanatengeneza magonjwa like corona.
Walimu,vyuo vikuu,watunga vitabu wanaishi kisa Cha binadamu ujinga wake na kutafuta maarifa.
I know how human mind works.
So huwezi nitisha Wala huyo Mungu sio kuwa Ni wako pekee,hata wazungu walimtumia huyo huyo kumlainisha mwafrika kumuibia Mali zake ,mwarabu akamtumia kwa kumuuza utumwani
 
Shekhe anadai Mwamposa aliingiza million 900 siku ya mkesha wa chako ni chako katika uwanja wa Mkapa kwa kuuza udongo tu.
 
Baada ya Mungu kuumba ulimwengu akaumba mema na mabaya kabla shetani Hivyo maovu yalikuwepo kabla kuumbwa shetani kwa vyovyote hata Shetani asingekuwepo maovu yangekuwepo kwa kuwa Mungu alishaumba mabaya
Kwa maneno rahisi Mungu ndio Shetani mwenyewe Anawachora jinsi mnavyoangaika na mtego wa maovu wakati yeye ndio anapanga Dini zinasema kuwa Mungu anajua maisha yako kama anajua kuna haja gani kumuhukumu mtu kwenda motoni wakati yeye alishapanga awe muovu ukitafakari vizuri utakuja kugundua Mungu ndio Shetani mwenyewe
 
Kumbe inawezakana kabisa mungu anawaogopa viumbe wake aliowaumba mwenyewe?

Tunaambiwa shetani aliumbwa na mungu Sasa iweje amemshindwa kumuangamiza mpaka watunishiane misuri na mostly shetani huguhuyu anaonekana ana nguvu kumzidi huyu mungu.

Does it come to our ears as true logic kwamba shetani ni dhana tu?
Specifying unamzungumzia Mungu yupi kwanza coz wapo Mungu wengi
 
Back
Top Bottom