Hivi Mungu amemshindwa shetani kabisa? Basi shetani tumpe maua yake

Hivi Mungu amemshindwa shetani kabisa? Basi shetani tumpe maua yake

Kwanza tumia capital letters kutaja jina la Mungu.

Mwanzo wa Mungu pia ndio mwanzo wa shetani, ambaye mwanzo alikuwa malaika, ndie alikuwa malaika mkuu 2nd in command baada ya Mungu.

Mungu ana nguvu na shetani ana nguvu, ila nguvu za Mungu ni kubwa zaidi ya nguvu za shetani kwa mambo mawili tuu, creation of life, and taking back the life, lakini vitu vingine vyote, everything God can do, the devil can do!.

Shetani alipoasi alifukuzwa tuu mbinguni lakini alibaki na nguvu zake zote. God ananguvu kuliko shetani lakini hawezi kumuangamiza shetani!.

Shetani ni mzuri sana kwa kuji disguise hivyo alipoingia bustani ya Aden kum tempt Eva, alijigeuza nyoka akapenya bustanini, kule akajigeuza mtu, ndipo akamshawishi Eva kula lile tunda, kwa kumuonyesha kwa practical kabisa jinsi tunda linavyochumwa, linavyo megwa, akammegea Eva, Eva na shetani wakala tunda.

Baada ya Eva kuuonja utamu wa tunda, akampelekea Adamu tunda, akamfundisha tunda linavyomegwa. Adam akamkatatalia kula tunda lililokatazwa na Mungu. Eva akamlazinisha, Adamu akakubali kumega tunda, hao... wakaishia zao uzingizini!.

Shetani akasepa zake.

Hata sasa Angalizo: Kuna Wengi Wanamwabudu Shetani Wakidhani ni Mungu!. Jee Wewe Unajijua?, Jitambue!.

P
Hizi hekaya ulizo andika hapa ni sawa na Hekaya za Abunuwasi au Aladini.
 
Wabongo wengi sana hamna imani na Muumba ndio maana aya maswali yenu ya kukufuru uku Jf ni mengi mno.

Unakuta mtu anamkufuru muumba wake kwa sababu pumzi za uzima aliyonao inamhadaa anafanya vile anavyojiskia.
Dini imekuharibu akili,umekua kama mwendawazimu. Hata uwezo wa kufikiri haupo. [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Haiwezekani mbinguni au katika ulimwengu tusiojua wanaishi viumbe wawili wanaoogopana. Sasa tutajua nani mwenye nguvu?

Inasemekana shetani ni mbaya kama alivyotukalilishwa na mungu lakini inakuwaje mungu ashindwe kimuangamiza kama kweli munvu hashindwi chochote?

Hata wachungaji/mapadre wenyewe hawataki shetani aangamizwe mana watakosa cha kutuhubiri ili kupiga hela. Kwa maana nyingine shetani kawapa ulaji wachungaji. Siku akitoweka tu mapdre/ maskofu / wachngaji watakufa njas mana watakosa cha kutudanganya.
😁😁😁

Haya mambo kina chake huwa kirefu sana, utapata wazimu ukijiuliza sana
 
Wanasema shetani ni roho anafanya kazi zake kupitia wanadamu sasa hapo inabidi mungu ateketeze binadamu wote maana sisi ndio tumebeba ushweitan
Mungu pia ni roho, sasa si kuna vita vya kiroho hawezi kushindwa na yeye kuingia ndani ya mwanadamu halafu akadili na roho ya shetwaini bila kumuathir mwanadamu
 
Mungu huyo, Alishindwaje kuumba dunia isiyo na uovu, dhambi na mateso?

Mungu huyo, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu wasio na uwezo wa kutenda ubaya?

Mungu huyo, Alishindwaje kuumba dunia isiyo na huyo shetani?

Huyo Mungu kama alimuumba Shetani na anamwachia afanye uovu kwa kigezo eti neno litimie, Mungu huyo

Sasa haoni amewapa ulaji watu ili watupige kama fimbo
Kwenye vitabu vya dini wanasema, watakuja manabii wa uongo so kazi kwako.
 
Shetani hana mamlaka kwa Mtu wa Mungu analiye mwamini Yesu. 1 Yohana 4:4 shida ipo kwenye kuamini Neno la Mungu jenga Imani yako kwenye Neno la Mungu even in harsh conditions of life you will remain Standing Mathayo 7:24-27.
Marko 9:23 yote yanawezekana kwake aaminie , kuamini ni jambo la rohoni warumi 9:10 unaamini na unaishi na kutenda
sawa sawa na Neno la Mungu linavyo sema uwe ndio ulivyo . don't be intimidated want you see or by your physical condition, there are not as real as Word of God . Stick , meditate and confess the Word of God , utakuja na Ushuhuda
 
Haiwezekani mbinguni au katika ulimwengu tusiojua wanaishi viumbe wawili wanaoogopana. Sasa tutajua nani mwenye nguvu?

Inasemekana shetani ni mbaya kama alivyotukalilishwa na mungu lakini inakuwaje mungu ashindwe kimuangamiza kama kweli munvu hashindwi chochote?

Hata wachungaji/mapadre wenyewe hawataki shetani aangamizwe mana watakosa cha kutuhubiri ili kupiga hela. Kwa maana nyingine shetani kawapa ulaji wachungaji. Siku akitoweka tu mapdre/ maskofu / wachngaji watakufa njas mana watakosa cha kutudanganya.
Kila mtu ana uhuru wa kuchagua kati ya mema na mabaya. Mungu anapendelea mtu achague mema; lakini hamshukurutishi kwani anachagua kwa ufahamu na kwa uhuru kamili. Hivyo kila mtu yuko huru kuchagua kati ya uzima au mauti na hakuna anayelazimishwa. Lakini mwisho wa yote kutakuwa na hukumu ya haki kwa yale tunayoyachagua.
 
Mungu huyo, Alishindwaje kuumba dunia isiyo na uovu, dhambi na mateso?

Mungu huyo, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu wasio na uwezo wa kutenda ubaya?

Mungu huyo, Alishindwaje kuumba dunia isiyo na huyo shetani?

Huyo Mungu kama alimuumba Shetani na anamwachia afanye uovu kwa kigezo eti neno litimie, Mungu huyo ni mpumbavu sana.
Kupewa uhuru wa kimaamuzi ndo kumeleta yote haya.
 
Kupewa freewill ndo kumeleta yote haya.
Kwanza hiyo freewill haipo na hatujapewa.

Ndio maana hatuna free will ya kuchagua tuzaliwe au tusizaliwe. Automatically tunajikuta tumezaliwa pasipo matakwa yetu.

Pia hatuna Free will ya kuchagua tuzaliwe wapi, tuzaliwe na nani, tuzaliwe muda gani.

Yani unashtukia tu umezaliwa huko Madongo kuinama maji shida, barabara shida, umeme tabu n.k ilihali unatamani sana ungezaliwa New York City USA.

Au unakuta umezaliwa na baba mlevi, kapuku fukara ilhali unatamani sana ungezaliwa kwenye familia za kitajiri.

Hapa automatically ukitafakari Una ona kwamba Free will Haipo na hatuna hiyo free will.
 
Karne hii kumkwepa shetan ni kazi sana maana unakuta wachungaji wa kondoo wa bwana wanatuelekeza vizuri njia gani sahihi za kupita ili tufike kwa Baba lakini wao wenyewe wanashindwa. katikati mwa safari kondoo mmoja mmoja anaanza kuliwa na wachungaji mwenyewe kwa maana njaa inakuwa kali sana kwa sababu za shetani
 
Kwanza tumia capital letters kutaja jina la Mungu.

Mwanzo wa Mungu pia ndio mwanzo wa shetani, ambaye mwanzo alikuwa malaika, ndie alikuwa malaika mkuu 2nd in command baada ya Mungu.

Mungu ana nguvu na shetani ana nguvu, ila nguvu za Mungu ni kubwa zaidi ya nguvu za shetani kwa mambo mawili tuu, creation of life, and taking back the life, lakini vitu vingine vyote, everything God can do, the devil can do!.

Shetani alipoasi alifukuzwa tuu mbinguni lakini alibaki na nguvu zake zote. God ananguvu kuliko shetani lakini hawezi kumuangamiza shetani!.

Shetani ni mzuri sana kwa kuji disguise hivyo alipoingia bustani ya Aden kum tempt Eva, alijigeuza nyoka akapenya bustanini, kule akajigeuza mtu, ndipo akamshawishi Eva kula lile tunda, kwa kumuonyesha kwa practical kabisa jinsi tunda linavyochumwa, linavyo megwa, akammegea Eva, Eva na shetani wakala tunda.

Baada ya Eva kuuonja utamu wa tunda, akampelekea Adamu tunda, akamfundisha tunda linavyomegwa. Adam akamkatatalia kula tunda lililokatazwa na Mungu. Eva akamlazinisha, Adamu akakubali kumega tunda, hao... wakaishia zao uzingizini!.

Shetani akasepa zake.

Hata sasa Angalizo: Kuna Wengi Wanamwabudu Shetani Wakidhani ni Mungu!. Jee Wewe Unajijua?, Jitambue!.

P
Mpaka sasa shetwani anaelekea
Kushinda....
Au unaweza kusema shetani yuko kileleni ..... full stopped

Ova
 
Kwanza hiyo freewill haipo na hatujapewa.

Ndio maana hatuna free will ya kuchagua tuzaliwe au tusizaliwe. Automatically tunajikuta tumezaliwa pasipo matakwa yetu.

Pia hatuna Free will ya kuchagua tuzaliwe wapi, tuzaliwe na nani, tuzaliwe muda gani.

Yani unashtukia tu umezaliwa huko Madongo kuinama maji shida, barabara shida, umeme tabu n.k ilihali unatamani sana ungezaliwa New York City USA.

Au unakuta umezaliwa na baba mlevi, kapuku fukara ilhali unatamani sana ungezaliwa kwenye familia za kitajiri.

Hapa automatically ukitafakari Una ona kwamba Free will Haipo na hatuna hiyo free will.
Hii siyo freewill ni chaos. New York imeumbwa na binadamu si MUNGU.

Hapa wa kumlaumu si MUNGU ni mababu zako, wajukuu zako nao watataka chaos ndo iwe freewill kwa kuchagua kuzaliwa kwenye kazi zilizofanywa na mababu wa wengine au kuna jambo unafanya kubadili hilo?
 
Wabongo wengi sana hamna imani na Muumba ndio maana aya maswali yenu ya kukufuru uku Jf ni mengi mno.

Unakuta mtu anamkufuru muumba wake kwa sababu pumzi za uzima aliyonao inamhadaa anafanya vile anavyojiskia.
Wengine wanaona sifa kumkana na kumtukana Mungu, ila Mungu yeye hana haraka, hao ni njiwa wake na jioni watarudi bandani
 
Back
Top Bottom