Hivi Mungu yupo au ni mipango ya watu kujipatia ajira na pesa?

Hivi Mungu yupo au ni mipango ya watu kujipatia ajira na pesa?

Mungu na dini ni vitu 2 tofauti kabisa.Mungu hana dini ila dini ni michongo ya wenye akili. Mfano kuna yesu wa tongoran kule kenya, baada ya miaka 1000 aman2000 atakuwa na wafuasi dunia nzima huyu and wataamini kabisa kuwa yesu alizaliwa kenya na alikufa akafufuka siku ya tatu ama vyovyote vile ambavyo watakuwa wameaminishwa. Vivyohivyo yesu wa nazaret tunavyoaminishwa sisi kwa sasa.
Mimi naamini katika Mungu mmoja na siamini dini yoyote
Dini nipango wa mwanadamu kumtafuta mungu,,hilo likisikupe shida ,kabla ya yesu kulikuwepo ndini nyingi tuu..kikubwa imani yako.
 
Ogopa hiyo kauli,Tajiri wa Titanic alisema meli yake haitazamishwa hata na Mungu, safari ya kwanza ikazama.

Fikiria shahawa zinakua mtu, mbegu inaota, unavuta hewa free.

Meli zote zmezama sababu ya kumtusi mungu kwahyo wema na wasio wema adhabu yao n kifo
 
......alimwambia Musa kuwa hakuna mwanadamu anaweza kumuona akaishi......
Kwa mantiki hiyo, mtu atakapokoma kuwa mwanadamu (akishakufa) i.e akawa ni Roho, hapo ndipo atamwona Mungu. Nimefurahi sana kwa kauli hii.
Apa nmejifunza kweli shukrani
 
Unaelewaje ninaposema kuwa mtu wa kiroho??
i know my body is my temple.
sihitaji kwend kanisani

i got soul,my soul is magnetism and it's a life force , it is a energy.

my spirit is electricity.
so i got i field around me.
that force field we call it aura. it is responsible for protecting me

remember GD is spirit.
GD is inside me and nothing else.


unaweza pia kunielezea wewe uliposema kuwa wa kiroho ulimaanisha nin?
natanguliza shukurani!
 
It is completely irrational to regard the complexity of the human body and not infer that the will of an intelligent DESIGNER was behind it. if ages from now archaeologists unearth a ford pickup truck without having knowledge of its history and some insisted that the pickup had simply evolved on its own into existence , we would find that to be an absurd conclusion... which is more complex the human body or the ford pickup!? Sijui jibu umepata...
Bertrand Russell was once asked, “Suppose when you die you find yourself in heaven, standing before God and he says, ‘Why didn’t you believe in me.’?”

Russell said, “I would reply that you didn’t provide sufficient evidence.”

After all if there were a god that wanted everybody to believe in him, he could certainly do something convincing like spell out his name in stars every Thursday night. It seems that the Judaic, Christian, Islamic god wants everybody to believe in Him, not based on evidence, but based on an act of will called faith, motivated by fear of eternal torture. In other words to be an intellectual coward.
 
Bertrand Russell was once asked, “Suppose when you die you find yourself in heaven, standing before God and he says, ‘Why didn’t you believe in me.’?”

Russell said, “I would reply that you didn’t provide sufficient evidence.”

After all if there were a god that wanted everybody to believe in him, he could certainly do something convincing like spell out his name hristian, Is everybody to believe in f will called faith, words to be an intellectual coward.
Well i think this is just your opinion... And honestly God is not gonna torture pple eternally as many say and believe.

The God i know is not forcing people to go to Him.. we are free to choose either to go Him or otherwise.. Man is a free individual..

But once a person decides to go to Him, and seek Him earnestly, God will manifest Himself to that individual, again this manifestation is between God and the individual..

tho... It might not be as complecated as many thnk it should be..
 
Mungu yupo kwasababu zifuatazo

Hakuna kitu chochote kilichopo jiweka chenyewe pasipo muundaji au mtengenezaji, ukiona barabara ujue yupo aliyetengeza, nyumba, tv, sim, computer, magari, meli,treni, ndege na kila kitu ukionacho kwa macho, kimeumbwa! Kuna usemi pia unasema, usione chaelea ujue, kimeumbwa!!

Sasa njoo hapa, leo tuna wanyama, simba, ng’ombe, mbuzi nk, tuna watu, wazungu, wachina, wa africa, wahindi, waalabu nk, tuna mito na bahari, miti na mazao,

Tuna jua na mwezi, tuna giza na sayari,

Hivi vyote yupo aliye viumba, havipo hapa vyenyewe, kama wewe upo! Amini yupo aliye mkuu kuliko wewe na mimi, ila yeye ni mwenye uhuru sana, ametoa uhuru, mno, hawezi kukubuguthi ndio maana inafikia mtu anahoji uwepo wake, yeye hafananishwi, mawazo yake na utalatibu wake, haufanani na sisi wana damu,

Hizo ni fact bahadhi ya kuthibitisha uwepo wa Mungu!
 
Pia tunaweza kuwa na uhakika juu ya uwepo wa Mungu kupitia unabii mbali mbali tunaouona ukitimia.

1. Soma daniel sura ya 11, kisha linganisha na yanayoendelea kati ya RUSSIA NA MAREKANI.
Sura hyo hyo inataja jambo fulani linaendelea huko russia, na linatimia kwa ukamili..

2. Kupitia isaya Mungu alisema kuwa jiji la babiloni halitajengwa kamwe mpaka leo eneo hilo ni magofu na watu kadhaa wamekuwa na mipango ya kulijenga lakini imeshndkana.

3. Mambo kama umoja wa mataifa na mengne yametajwa na yanatimia kwa ukamili.

Yote haya ni uthbtsho wa kuwa Mungu yupo kwa kuwa yeye ndiye mtunzi wa biblia.(2timotheo 3:16).
 
Hv kwa nini mtu akiuliza swali kuhusu uwepo wa Mungu mnakuja kumtisha ,
Kama atakuwa hajatishika, hakuna tatizo. Tatizo litatokea kama atatishika kwa sababu kutishika ni hiari. Ulishawahi kumkuta mtu amekuja kwako na kukulazimisha utsihike? Vitisho huwa vipo ndiyo ila kutishika ni hiari; na ikitokea mtu akatishika basi kuna shida mahali fulani; kwa nini atishike?
 
Back
Top Bottom