Mynd177
JF-Expert Member
- Dec 3, 2022
- 2,817
- 5,141
unajua mkuu kuna maswali mengne mtu akiuliza yanastaajabisha sana..Hv kwa nini mtu akiuliza swali kuhusu uwepo wa Mungu mnakuja kumtisha ,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unajua mkuu kuna maswali mengne mtu akiuliza yanastaajabisha sana..Hv kwa nini mtu akiuliza swali kuhusu uwepo wa Mungu mnakuja kumtisha ,
Nakubaliana na wewe mkuu.Inapohusu kumjua Mungu sidhani kama kuna source outside the bible and creation..
mkuu wewe tokea umezaliwa uliwahi ku feel au ku sense uwepo wa Mungu au shetani?Wale wanaosema kuwa shetani ni nadharia, hvi visa vilivyopo hapa jukwaani kuhusu mambo ya kutisha na encounters za mashetani. JE NI NANI YUPO NYUMA YA HAYO MAMBO?? kama s uthibitisho kuwa jamaa yupo?
Nimeulizaje mkuu, kuna visa tena hapa hapa jf watu wanadai wamekutana na vtu vya ajabu mfano watu warefu na mengne mengi, pia fortune tellers wapo. unafikiri n nguvu ya nani?mkuu wewe tokea umezaliwa uliwahi ku feel au ku sense uwepo wa Mungu au shetani?
au nikuulize hebu tuambie ubaya wowote ambao shetani amekufanyia?
mkuu. wewe unaamini kila linalofanywa na wanadamu kuna nguvu kuu behind ndiyo imesuka huo mchongo.?Nimeulizaje mkuu, kuna visa tena hapa hapa jf watu wanadai wamekutana na vtu vya ajabu mfano watu warefu na mengne mengi, pia fortune tellers wapo. unafikiri n nguvu ya nani?
Mfano kjjni mwana ukoo wangu anajihusisha na mambo ya mizimu, kila akitengeneza pombe asubui haikuti tena nyngi,
Sasa who is behind all that...
magic,Nimeulizaje mkuu, kuna visa tena hapa hapa jf watu wanadai wamekutana na vtu vya ajabu mfano watu warefu na mengne mengi, pia fortune tellers wapo. unafikiri n nguvu ya nani?
Mfano kjjni mwana ukoo wangu anajihusisha na mambo ya mizimu, kila akitengeneza pombe asubui haikuti tena nyngi,
Sasa who is behind all that...
The God i believe in is the creator, the God of israel, his name is JEHOVAH.magic,
kuna watu wana do magic
tuite witchcraft na mambo mengine mengi.
mkuu?
wewe unaamini kuwa shetani na Gd ni vitu gani? maana naamini uwelewa wetu unatofautiana ?
GD ?
WEWE UNAMUELEWAJE GD?
SIo kila ktu mkuu, mfano mwingne tena huu nilishuhudia kabisaa, mama mkubwa wangu alishikwa na nguvu si za kawaida na akawa anaongea kama bibi yetu aliyekufa kitambo mno na mambo aliyoyaongea ni kwel mkuu mifano n ming sana, niseme tu ukwel hakuna namna mtu atanambia eti Mungu na Shetani ni nadharia tu, mimi nimejithbitishia kuwa they both exist..mkuu. wewe unaamini kila linalofanywa na wanadamu kuna nguvu kuu behind ndiyo imesuka huo mchongo.?
AHSANTE MKUU,The God i believe in is the creator, the God of israel, his name is JEHOVAH.
On the other hand satan was once God's son(ANGEL) but decided to rebel..
Mkuu natamani niku concept ya kile ambacho ninakiamini then utakitafakari. tatizo ninawasi wasi uwenda ikawa ni makufuru kwako.SIo kila ktu mkuu, mfano mwingne tena huu nilishuhudia kabisaa, mama mkubwa wangu alishikwa na nguvu si za kawaida na akawa anaongea kama bibi yetu aliyekufa kitambo mno na mambo aliyoyaongea ni kwel mkuu mifano n ming sana, niseme tu ukwel hakuna namna mtu atanambia eti Mungu na Shetani ni nadharia tu, mimi nimejithbitishia kuwa they both exist..
mkuu mimi binafsi hayo mazingaombwe nimeyasikia sana lkn huwa yanasababishwa na binadamu na yanamalizwaga na binadamu sisi wenyewe.SIo kila ktu mkuu, mfano mwingne tena huu nilishuhudia kabisaa, mama mkubwa wangu alishikwa na nguvu si za kawaida na akawa anaongea kama bibi yetu aliyekufa kitambo mno na mambo aliyoyaongea ni kwel mkuu mifano n ming sana, niseme tu ukwel hakuna namna mtu atanambia eti Mungu na Shetani ni nadharia tu, mimi nimejithbitishia kuwa they both exist..
Ndio niliwahi kutoka nje ya box lakini nilichokiona sitarudia kutoka tena.!AHSANTE MKUU,
WEWE NI MIONGONI MWA WENGI niliowahi kukutana nao mnao amini MUNGU huyo wakuitwa Jehovah.
uliwahi kujaribu kutoka nje ya box na kutaka kujifunza kuhusu huyo MUNGU au kuhusu miungu wengine?
kwa kweli . biashara na watu wanatajirika sanaNi mipango ya watu kujipatia pesa mkuu japo Hiyo nguvu kuu ya uumbaji ipo.
Wajinga ni wengi mkuukwa kweli . biashara na watu wanatajirika sana
mkuu,Ndio niliwahi kutoka nje ya box lakini nilichokiona sitarudia kutoka tena.!
mkuu inatisha sana.Wajinga ni wengi mkuu
Ulimsikia tajiri wa titanic akisema hayo maneno au story za vijiweni?!Ogopa hiyo kauli,Tajiri wa Titanic alisema meli yake haitazamishwa hata na Mungu, safari ya kwanza ikazama.
Fikiria shahawa zinakua mtu, mbegu inaota, unavuta hewa free.
Haitishi mkuu ipo sku watajitambua tu , hii haijatokea bahati mbaya ilibdi kwanza wawe hivyo then ndio wajitambue.mkuu inatisha sana.