Hivi Mungu yupo au ni mipango ya watu kujipatia ajira na pesa?

Hivi Mungu yupo au ni mipango ya watu kujipatia ajira na pesa?

Yaah uthibitish0 upo…kupitia viumbe vyake kama mwezi,jua na sayari alizoziumba pia alama zake kama kuingia usiku na mchana..

Hzo ni alama tosha kwa mwenye akili kuamini mungu yupo..
Em fikiria kwa kina kwenye hili saci
 
Ikiwa kila mwenendo wa jambo lolote huingizwa na nadharia au kanuni basi hata dunia yupo anayemiliki.

Jua,mwezi na vyote vilivyomo Mungu ndiyo aloviumbe pili maisha ya binadamu yalivyopangiliwa utagundua hilo,mfano

Umeanza kwa kunyonya kwa mama ako ambapo hujui maziwa yamezalishwaje,ukaanza kitambaa na kutembea mpk kirefuka na kupata riziki yako hivi bado hakuna anayesimamia yote haya??
 
Look at yourself. How wonderful you are.. Anzia hapo halafu tazama viumbehai wengine kama ndege, wanyama, mimea pamoja na mienendo yao, na vingine kama bahari, milima, na nature kwa ujumla, halafu urudie kusoma post. Ikiwa uko serious kwa dhati kabisa fikiria tena kama MUNGU yupo au hayupo. ?
 
There's no God or Devil


Hakuna aliyewahi kufa kafufuka, death is the end, there is no life after death

Dini ndio njia rahisi zaidi ya kumuongoza binadamu asiyefikiri kwa kina

Mtu mwenye akili utamwambia ukizini utapata STDs lakini asiye na akili utamwambia ukizini ni dhambi full stop, ule woga utamfanya asitende dhambi.
Dhambi ni nini kwani?
 
Now your questioning even the source of your very own existence.. okay ngoja tuone.. utakuja kutupa mrejesho hapa very soon..
Yet if you'll be alive to do so..
 
Una uthibitisho kuwa viliumbwa na mungu na si evolution? Nikutikise kidogo, Kwahiyo Mungu aliumba Krebs cycle? (nimechagua hii maana inatuhusu kuishi kwetu, among many in our bodies) why all that trouble kuumba Krebs cycle? ( krebs cycle ambayo unaisoma leo imekuwa deciphered after 100 yrs of intensive research. )
Evolution haipingani na uumbaji kwani evolution is a creative process. Ila kuna watu wana akili chache wanagombanisha creationism na evolution. Kreb,s cycle na biological processes zote zimeumbwa na Mungu na uumbaji haujakoma bado unaendelea.
 
Una uthibitisho kuwa viliumbwa na mungu na si evolution? Nikutikise kidogo, Kwahiyo Mungu aliumba Krebs cycle? (nimechagua hii maana inatuhusu kuishi kwetu, among many in our bodies) why all that trouble kuumba Krebs cycle? ( krebs cycle ambayo unaisoma leo imekuwa deciphered after 100 yrs of intensive research. )
Unamaanisha kitu kitokee tu from no where…ahaha …..kuna madogo fulani wa kishua wanaamini mchele unatengenezwa kiwandani, nilicheka sanaa…..

Yaani unaamini iPhone imetengeneswa na mtu,ila nature eti imetokea yenyewe…ahaha
 
To me, common sense, logic, imagination, rational thinking, intuition ànd high power mental reasoning negates the existence of God!

Nasubiri matusi of all kinds, but from an educated mind? Without violating my rights to think otherwise!

Usiku mwema!
Kwangu mimi sihitaji miujiza mikubwa kujua Mungu yupo.Kwangu Mungu anajizihirisha kupitia.
1.Mapigo ya moyo wangu.
2.Kuvuta na kutoa pumzi.
3.Kulala na kuamka.
 
Nobody does

Kuna mwana juzi aliniacha na kichekesho alisema Mungu yupo kwasababu wahenga wamesema yupo
Kichekesho kwanini?! Wewe umewahi kufika Kalahari? Lakini umejuaje kwamba ipo si umesikia kwa watu?
 
Huna akili, thibitisha kama unazo. Usipothibitisha hupaswi kujibiwa.
There's no God or Devil


Hakuna aliyewahi kufa kafufuka, death is the end, there is no life after death

Dini ndio njia rahisi zaidi ya kumuongoza binadamu asiyefikiri kwa kina

Mtu mwenye akili utamwambia ukizini utapata STDs lakini asiye na akili utamwambia ukizini ni dhambi full stop, ule woga utamfanya asitende dhambi.
 
Kuna siku utalazimika kujua kuwa yupo sadly itakuwa too late.

N.B:SIKUTISHII ILA NAKWAMBIA UKWELI.
 
Back
Top Bottom