Hivi Mungu yupo au ni mipango ya watu kujipatia ajira na pesa?

Hivi Mungu yupo au ni mipango ya watu kujipatia ajira na pesa?

Mkuu elliclassic sina evdence ya mkoNOni kuwa MUSA alikuwepo lakin meng yanaonyesha kuwa bible iko accurate,na sio fictious mfano kuinuka na kuanguka kwa empire mbalimbal kama roman, greek, medo-persian etc zingatia haya yalikuwa tayar yameandikwa ndpo yalitokea, , pia ayubu 26:7 inasema dunia ipo suspend pacpo na k2 wakat watu waliamni dunia iko suspended na mgongo ya tembo.
Musa (Moses) alikuwapo na hata Jamaii/watu wakaweza kulinganisha matendo yake na yale ya Farao(Firauni) kwakuwa waliishi kipindi kimoja na ndipo wakaja na msemo uliopo kwetu hata hadi leo usemao "Ukishangaa ya Musa utayaona ya Firauni" Musa alikuwa ni kiongozi wa kidini au tuseme wa kijadi wa Waisraeli wakati Firauni (Farao)alikuwa ni kiongozi wa Dola/Serikali ya Misri. Waisraeli wakati huo walikuwa ni watumwa nchini Misri na Farao kipindi hicho-hicho ndiye aliyekuwa Mtawala (Mkuu wa Dola). Visa vyao ni vingi lakini kilichokuwa kisa maarufu zaidi ni kile kilichohusu Hukumu aliyotoa Firauni kwa jamaa mmoja aliyefumaniwa /aliyempa mimba mke wa jirani yake.
 
Sisi.wengine hizi dini, tumezishape kwa akili zetu, ili kupunguza sintofahamu kwa ndugu zetu. Mfano naamini setani hayupo, Mungu kwangu ni upendo au nature, naona wazungu na waarabu kama wametupotosha, church Kila j2 sikosi ila sadaka nikitoa kubwa sana basi tsh 500
Hahahaa. Mzee wa jero-jero. Pandisha basi hata kidogo jamaa angu walau iwe buku. Huyo mchunga kondoo ataishije? 😃 😃 😃 😃 Tusipobadilika tunawasukuma au tunawashinikiza kuanza / waanze kuwala kondoo.🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Hahahaa. Mzee wa jero-jero. Pandisha basi hata kidogo jamaa angu walau iwe buku. Huyo mchunga kondoo ataishije? 😃 😃 😃 😃 Tusipobadilika tunawasukuma au tunawashinikiza kuanza / waanze kuwala kondoo.🏃‍♂️🏃‍♂️
Me natoaga Hadi 50
 
Hoja zako ni mfu, hata Mimi naweza kuyasema hayo mbona yanajul
QURAN 4: 82
"Hebu hawaizingatii hii Qur'ani? Na lau kuwa imetoka kwa asiye kuwa Mwenyezi Mungu bila ya shaka wangeli kuta ndani yake hitilafu nyingi '

Hebu rudia aya nilyoileta pale juu Quran 30:21-27 uangalie kama kuna uongo wowote hapo. Haya ni ambayo ni kweli katika uhalisia wa maisha yetu ya kila siku
-ni kweli Mvua inatoka mawinguni na ardhi ikipata maji inanawiri na kutoa mazao mapya
-ni kweli kuwa binadamu tumeumbwa kwa udongo scientifically proved
-ni kweli wanadamu tumetofautiana rangi na lugha na tumetawanyika duniani kote
- ni kweli binaadamu wote tunalala usiku na mchana tunatafuta riziki ya kuendesha maisha yetu
-ni kweli wanaume wanapata utulivu kutoka kwa wake zao
-ni kweli mbingu imesimama bila nguzo yeyote
aliyosema hayo ni Mwenyezi Mungu, je kuna uongo wowote hapo?
 
Wakati unahoji uwepo wa mungu,jaribu pia kuhoji uwepo wa shetani.
Everything has got its opposite.

If you believe that the existence of God is invalid,then its obvious that the existence of Satan is invalid so.
ÑIHAYO TU KWA LEO.... ASANTE
 
Kwema wakuu, kwa hali ilivyo najiuliza je kweli Kuna Mungu au ni business za watu kutufanya mazuzu na kula pesa zetu?
Kwa kuanzia, Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote (kama aliyeandikwa katika Quran na Biblia) hayupo. Ni hadithi za kutungwa na watu tu.

Tunajuaje kwamba hayupo? Tunajua kwamba hayupo kwa sababu sifa zake hizo za kuwa na ujuzi wote, upendo wote na uwezo wote zinapingana na aina ya ulimwengu tunaouona unaoruhusu maovu kufanyika.

Yani, Mungu huyo hawezi kuwa sambamba na ulimwengu unaoruhusu maovu.

Ama Mungu huyo yupo, na ulimwengu unaoruhusu maovu haupo, ama ulimwengu unaoruhusu maovu upo, na Mungu huyo hayupo.

Ulimwengu unaoruhusu maovu upo, hivyo, Mungu huyo hayupo.

Kama kuna mtu anabisha, athibitishe Mungu yupo.

cc DA HUSTLA
 
Uko kimkakati zaidi
Sisi.wengine hizi dini, tumezishape kwa akili zetu, ili kupunguza sintofahamu kwa ndugu zetu. Mfano naamini setani hayupo, Mungu kwangu ni upendo au nature, naona wazungu na waarabu kama wametupotosha, church Kila j2 sikosi ila sadaka nikitoa kubwa sana basi tsh 500
 
Ngoja nimtag Kiranga na Iblis Bin Shetan waje kutia neno[emoji4]
Naam mkuu watu wanahangaika na vutu visivyokuwa vyao mfano wa baridi la ulaya lipo na kama kusema mtanzania na wewe unasikia baridi kisa lipo ulaya huo ni uongo kiwango cha mwisho
Dini ndio zinazosema kuna mungu swali je dini ziliatokea wapi na nani alioleta ukristo au uislam
 
Naam mkuu watu wanahangaika na vutu visivyokuwa vyao mfano wa baridi la ulaya lipo na kama kusema mtanzania na wewe unasikia baridi kisa lipo ulaya huo ni uongo kiwango cha mwisho
Dini ndio zinazosema kuna mungu swali je dini ziliatokea wapi na nani alioleta ukristo au uislam
Mzee hivi FreeMasons ikiwemo akina Kanye West kumbe ndiyo wanakuabudu wewe?[emoji28]
 
kuanzisha
Kadhia na madhila tumeyatengeneza wenyewe! Maadili, malezi na kuiga kila kitu vimefanya wanawake kutokutekeleza wajibu wao kama walezi wa familia. Kumbuka babu zetu walioa wanawake wengi wanakaa pamoja kwenye nyumba za nyasi na walikuwa wanaishi kwa furaha, amani na upendo wa hali ya juu!
 
Mungu yupo na mitume wake walikuwepo hapa duniani sema shida ya sasa ni hizi mbwembwe za viongozi wetu wa dini wamekuwa wa vitisho kweli ilimradi tu wapate chao, mfano, hivi Nyerere alipokufa alituachia masharti yoyote watz ya kumuenzi? Jibu ni hapana, yanayofuata baada ya kuondoka kwake ni sisi wenyewe tunajitungia tu na yanakuwa sheria na kanuni, na muda simrefu ataanza kuitwa mtakatifu, sijui hicho cheo kama atakuwa na habari nacho.
 
Nyie waslam mnazingua asee nyie Mungu wenu mnaemwita Allah anawapanga sana asee,kuna vitu mkiulizwa huwa hamjibu kwasabb Muhammad aliwaacha bila maelezo
By then watu wote walikuwa malofa, sema hayo maandishi au busara tunayoyaona sasaiv yaliwekwa sawa miaka 500+ baadae.
 
Kwema wakuu, kwa hali ilivyo najiuliza je kweli Kuna Mungu au ni business za watu kutufanya mazuzu na kula pesa zetu?
Ni biashara na ni siasa tu.

Hakuna Mungu.

Mungu ni dhana iliyotengenezwa na wanadamu.

Dini ndo siasa ya asili ya wanadamu, kabla hawajagundua vyama vya siasa na upatikanaji wa viongozi kwa kupiga kura. Kabla ya hapo uongozi ulikuwa unapatikana kwa kuwaaminisha watu kwamba wewe una nguvu zaidi yao. Na hapo ndo dhana ya Mungu ilipotengenezwa, ambayo baadae ikatengenezewa vyama vya siasa (yaani dini).
 
QURAN 4: 82
"Hebu hawaizingatii hii Qur'ani? Na lau kuwa imetoka kwa asiye kuwa Mwenyezi Mungu bila ya shaka wangeli kuta ndani yake hitilafu nyingi '

Hebu rudia aya nilyoileta pale juu Quran 30:21-27 uangalie kama kuna uongo wowote hapo. Haya ni ambayo ni kweli katika uhalisia wa maisha yetu ya kila siku
-ni kweli Mvua inatoka mawinguni na ardhi ikipata maji inanawiri na kutoa mazao mapya
-ni kweli kuwa binadamu tumeumbwa kwa udongo scientifically proved
-ni kweli wanadamu tumetofautiana rangi na lugha na tumetawanyika duniani kote
- ni kweli binaadamu wote tunalala usiku na mchana tunatafuta riziki ya kuendesha maisha yetu
-ni kweli wanaume wanapata utulivu kutoka kwa wake zao
-ni kweli mbingu imesimama bila nguzo yeyote
aliyosema hayo ni Mwenyezi Mungu, je kuna uongo wowote hapo?
Achana na hizo porojo kwani Kati ya Quran na hivyo ulivo vitaja kipi kilitangulia?
 
Back
Top Bottom