Hivi Musa alikuwa Myahudi au Mwarabu?

Hivi Musa alikuwa Myahudi au Mwarabu?

Sheikh unalizia elimu kubwa ! Ila kifupi tu nikujuze kuwa Muhammad anaambiwa ndani ya Qur'an kuwa ameusiwa dini ile ile aliyousiwa Musa, Issah (Yesu) Nuhu, Ibrahim na Manabii wote, waliotajwa na wasio tajwa.
Labda nikuulize, Musa na Nduguye Harun walikuwa dini gani !?
Aisee mudy alikuwa anaakiri sana, kapitia umoumo hadi kajiita mtume! Sasa kawa Yesu ni nabii ,mbona yeye akubatizwa kama yesu alivyo batizwa?
 
Ni MWANA WA MUNGU! aliyekuja kwa umbo la BINAADAMU.
??????????????
Zamani alikuwa na umbo la mungu ! Kwahiyo mungu na mwanae walikaa kikao akaona mwanae ateremke kama mtu, kisha watu wakamuotea, wakampa shughuli !? ...duuuh ! Kweli mmepotea !
 
Aisee mudy alikuwa anaakiri sana, kapitia umoumo hadi kajiita mtume! Sasa kawa Yesu ni nabii ,mbona yeye akubatizwa kama yesu alivyo batizwa?
Ajabu mwana mingu kubatizwa na watu, sijui ili aweje !?
 
Naomba tafuta Biblia la Kiingereza tena la King James, nipigie picha mahali pameandikwa 'YESU' kuna laki mbili !
Biblia yoyote ya kiingereza utakuta Jesus ya kiswahili utakuta Yesu ya kinyakyusa utakuta Jesu. Niambie Qur'an tafsiri ya lugha gani ina jina Yesu ukikosa basi tambua Yesu na issa ni watu tofauti
 
Wewe ndo umesema ! Mnadanganywa na kitabu kinachokarabatiwa kila uchwao !
Hivi kwanini Jesus aitwe Yesu !?
Swali kama hili nilishawahi kukujibu nikakupa hadi evidence za Biblia na Quran kwamba Yesu wa wakristo na wa Waislamu ni tofauti mpaka ukakoswa cha kujibu ukabaki kulazimisha unasema "ndio huyo huyo kama hutaki acha".

Hivi kwa nini nyinyi watu ni wagumu kuelewa.
 
Dini ya kiisrael ndo dini gani !?
Hilo jina nimeipa mimi kumaanisha ilifuatwa na Waisraeli mimi kwa sababu kwa mjibu wa Biblia hamna popote ilipotajwa jina la hiyo dini.

Kumbuka Wayahudi ni watu wa kabila moja tu la yuda,Hiini baada ya makabila kumi na moja kujitenga na kabila la Yuda baada ya kifo cha Mfalme Sulemani.Ila Israeli ni muungano wa makabila yote ya Yakobo.Musa alikuwa wa kabila Lawi hivyo ni muisraeli sio myahudi.
 
Biblia yoyote ya kiingereza utakuta Jesus ya kiswahili utakuta Yesu ya kinyakyusa utakuta Jesu. Niambie Qur'an tafsiri ya lugha gani ina jina Yesu ukikosa basi tambua Yesu na issa ni watu tofauti
Haswaaaa Issa Bin Maryam na Yesu ni watu Tofauti kabisa.
 
Yaani muislam au mjewish(mjuda)?

Majibu tafadhili.

Update
Musa alikuwa ni muebrania(moja ya kabira la wayaudi)
Na aliwaongoza wayaudi kwenda israel kwa imani ya wayaudi. Yaan Mungu alietenanisha bahari na aliewalisha mda wote
Na ikumbukwe hakuna myaudi muislam
Na kihistoria alienzisha au kukuza uislam ni Mohammad na uislam haukuepo enzi hizo
Kuna wengine wanafika adi hatua ya kusema Adam alikuwa muislam. Cjui maantiki yao ni wap. Na upande wa kuchoma kondoo ili kuondolewa dhambi je??
Siku zote ukitaka kujua kitu kigeni kwako lazima uwapate wenyeji kwanza wakupe habari za kina kuhusu hicho kitu. Nahisi hapa umetoa taarifa ambazo sina shaka utakuwa umetoa kwa mtu asiyeujua uislam.
 
Swali kama hili nilishawahi kukujibu nikakupa hadi evidence za Biblia na Quran kwamba Yesu wa wakristo na wa Waislamu ni tofauti mpaka ukakoswa cha kujibu ukabaki kulazimisha unasema "ndio huyo huyo kama hutaki acha".

Hivi kwa nini nyinyi watu ni wagumu kuelewa.
Ndo huyo huyo, Issah mwana wa Maryam. Hutaki ndo hivyo unataka ndo hivyo. Mtaelewa nini nyie wakati dini hamsomi !
 
Hilo jina nimeipa mimi kumaanisha ilifuatwa na Waisraeli mimi kwa sababu kwa mjibu wa Biblia hamna popote ilipotajwa jina la hiyo dini.

Kumbuka Wayahudi ni watu wa kabila moja tu la yuda,Hiini baada ya makabila kumi na moja kujitenga na kabila la Yuda baada ya kifo cha Mfalme Sulemani.Ila Israeli ni muungano wa makabila yote ya Yakobo.Musa alikuwa wa kabila Lawi hivyo ni muisraeli sio myahudi.
Mnaona wayahudi wenzeenu, wakati wanamuita Yesu mwanaharamu !
 
Soma vitabu vya dini zote ili ujue ukweli na uongo
chagua kimoja cha kusoma kama unataka kuelewa ila kama unataka kuamini usisome hata kimoj na ukitaka kulewa soma vyote
 
Musa alikuwa Muisraeli tena wa uzao wa Lawi ambao ndiyo waliokuwa makuhani katika hekalu la maturubai . Uislamu umeanza miaka mia sita baada ya Ukristo kuanzia pale Antiokia. Wakati wa Musa, Uislamu haukuwepo, ila waarabu (wamidiani) walikuwepo na walikuwa wakiabudu miungu.
hakuna kabila la waarabu katika agano la kale sidhani kama wamidian ndo waarabu wa leo...waarabu, arabuni, ni kama sehemu ya starehe ya kufikirika katika biblia its like Paradise may be sijui kama unaweza kusema waebrania ni waparadiso wa leo
 
Kumwelezea MUNGU, naYESU, kwa jinsi ya kibinaadamu haiwezekani. Iko nje ya dimension ya ufikiri wa kibinaadamu., mathalan:-- Dunia Mungu kaisimamisha kwenye misingi yake ambao haionekani kwa macho ya kibinaadamu. Lakini misingi hiyo ipo na wala dunia haijatetereka kutoka katika misingi yake. Na Yesu unaweza kumuelezea kwa njia ya kiroho. Kabla ya Yesu kuzaliwa na Mariamu alikuwepo, yeye mwenyewe aliwaambia wayahudi waliomwambia kuwa wao ni wazao wa Ibrahim aliwaambia kuwa alimuona Ibrahim kabla hajazaliwa. Na Yesu akawaambia kuwa kabla ya Ibrahim kuzaliwa yeye (Yesu) alikuweko. Yohana 8:53--58.. Yesu huyu kabla ya kuzaliwa na Mariamu, ndiye aliyemtokea Ibrahim pale katika bonde la shawe nje kidogo ya mji wa Jerusalem ulipo sasa. Na akajitambulisha kwa jina la Melchizedek (mfalme wa haki na tena mfalme wa Salem yaani Amani ) akiwa amebeba mkate na divai. Ibrahim kwa kuona Ukuu wake, akampa moja ya kumi ya Mali alizopata vitani. Melchizedek kuhani wa MUNGU aliye juu sana,( El--Elyon). Mwanzo 14:17--20.
 
Ndo huyo huyo, Issah mwana wa Maryam. Hutaki ndo hivyo unataka ndo hivyo. Utaelewa nini nyie na dini hamsomi !
Sasa kama wewe umeshindwa kuelewa kitu kidogo kama hicho sioni faida ya kuwa na elimu ya dini zaidi inakufanya mtumwa wa kifikra.

Nilishakupa sababu ukabaki kulazimisha kwa sababu ulishakariri huwezi kutoka nje ya box ulilokaririshwa kwa sababu ulishafanywa mtumwa wa fikra.

Anyway nitaiona Elimu yako ya maana endapo utanielimisha kwa sababu za mashiko kwa nini Issa(yesu) wa wakristo ni sawa na Issa (yesu) wa Waislamu. Nipe sababu
 
Back
Top Bottom