akida jr
Senior Member
- Jan 1, 2014
- 111
- 58
Ni dini gani hiyo?Abram, alipoitwa na Mungu ( Mungu anayeelezwa katika Biblia), atoke katika nchi ya kwao aende nchi atakayoambiwa , alikuwa akiamini katika Mungu aliye hai na si miungu. Mwanza 13:18. Abram akamjengea Bwana(MUNGU) madhabahu katika mialoni ya Memre.