Hivi Musa alikuwa Myahudi au Mwarabu?

Hivi Musa alikuwa Myahudi au Mwarabu?

Yani hapa naona hata muuliza swali mwenyewe hajui anauliza nini mana humohumo anauliza... mara anajijibu... mara anajikosoa... mara kaparamia dini... mara kabila...
...be serious bana !
 
Inaonekana utauliza ujinga.
Achana na Mimi wewe muamini picha na Sanam la mtu ambaye yupo hai hadi leo hapa duniani tunajadili ya maana unakurupuka kujidai mfia dini wakati hata dini yenyewe huijui, sitaki kujibizana na wewe
 
Achana na Mimi wewe muamini picha na Sanam la mtu ambaye yupo hai hadi leo hapa duniani tunajadili ya maana unakurupuka kujidai mfia dini wakati hata dini yenyewe huijui, sitaki kujibizana na wewe
Usitoke povu kama una uhakika na kile unachokiamini. Kama wewe unaamini hizo picha za mtu unayemsema wewe usifikiri na mimi namwamini. Jibu kwa hoja.
 
Baba yake nani? Maana hapo ndipo mnapojichanganya. Ukiwa mpingaji, utapinga kila kitu. Mafundisho mengine shida sana.
Yesu???? afadhari yake ana mama je Adam na ever ?
Huo ni uwezo wake muumba na Yesu ni nabii tuu
 
Unataka kutuaminisha ujinga wako.
Wala hatutaki kuwagawia akili hii ya kujua Yesu ni Mwana wa MUngu. Kaa na ujinga wako umelishwa na hao waliokufundisha kuwa mbishi. Wala usimuamini, kaaa huko huko uendelee kukaa na upotevu ulio nao Maana tayari umekwisha hukumiwa.
 
Baba yake nani? Maana hapo ndipo mnapojichanganya. Ukiwa mpingaji, utapinga kila kitu. Mafundisho mengine shida sana.
Hivi anayejichanganya nani hapo? Adam hana baba wala mama kwa nini asiitwe Mungu? Eva (Hawa) hana mama kwa nini asiitwe Mungu? Tena hao hawakuzaliwa kwa njia ya kawaida, leo uje umuite aliyezaliwa kwa njia ya kawaida Mungu au mwana wa Mungu hovyo kabisa wewe. Vitu vingine sio mpaka ushikwe sikio. 'Unajifanya wewe mpanguaji hoja za wadau kumbe huna lolote, usiingilie imani za watu na wala usilazimishe wote wakufuate wewe, baki na imani yako na wengine tubaki na zetu.
 
Yesu???? afadhari yake ana mama je Adam na ever ?
Huo ni uwezo wake muumba na Yesu ni nabii tuu
Kama ni nabii tu kwa nini yeye ndiye pekee atakaye uhukumu ulimwengu siku ya kiama.Soma Quran ,soma Biblia ujiulize hilo swali.Kwa nini sio Musa,Kwa nini sio Isaya au Mohammed ??
 
Nipe andiko linalosema alikua muislam,nitajie nguzo tano za uislam halafu niambie musa ilitimiza ipi.halafu hapo ulipoandika furqain utuambie ulikua unamaanisha nini
Sheikh unalizia elimu kubwa ! Ila kifupi tu nikujuze kuwa Muhammad anaambiwa ndani ya Qur'an kuwa ameusiwa dini ile ile aliyousiwa Musa, Issah (Yesu) Nuhu, Ibrahim na Manabii wote, waliotajwa na wasio tajwa.
Labda nikuulize, Musa na Nduguye Harun walikuwa dini gani !?
 
Kama ni nabii tu kwa nini yeye ndiye pekee atakaye uhukumu ulimwengu siku ya kiama.Soma Quran ,soma Biblia ujiulize hilo swali.Kwa nini sio Musa,Kwa nini sio Isaya au Mohammed ??
Wewe jamaa mbona umepoteaa, tumia hata akili ya kawaida.
Kwenye qur an hamna aya inayosema yesu ataukumiwa kwa madhambi ya walimwengu wote
Kama ni hivyo mbona watu bado wanasali kila siku si wange kula BATA
mwambie mchungaji akueleweshe vzr unapotea tn vibbbbaaayyaaa
 
Alie wadanganya aliwadanganyia chooni..!
soma historia ya Dini ya kiislam.. ilianza lini.? Nani alikuwa muanzilishi wake ? Ilikuwaje mpaka akaanzisha huo uislam..
yaweza kukufanya ukawa na uelewa wa kutosha.
Muislaam wa kwanza ni Adam (Nabii Adam AS). Ni kwa mujibu wa Qur'an na mafundisho ya Kiislaam na si kwa mujibu wa tuition' za Sunday school or kipa imara.
Hivyo watu wote huzaliwa Waislaam na wengine hujitoa kwenye asili yao ya Uislaam wakabatizwa au kuasi.
 
Sasa mbona kuna watu wanasema alikuwa Muislam
IMG-20171212-WA0001.jpg

Huu Msikiti upo Jerusaleem, ulijengwa na Nabii Suleyman na ndipo ulikuwa uelekeo wa Waislaam wa zamani wakati wakiswali.
Tafuta andiko kwenye Biblia kuna maneno Yesu anasema: hamtamuabudu Baba (Mungu) katika Mlima ule (Sinai) wala kule Jerusaleem, bali 'ufalme' wa Baba (Mungu) utahamishwa kwenda Taifa jingine lenye kuzaa matunda.
 
Abraham alikuwa anaamini katika dini gani?
Abram, alipoitwa na Mungu ( Mungu anayeelezwa katika Biblia), atoke katika nchi ya kwao aende nchi atakayoambiwa , alikuwa akiamini katika Mungu aliye hai na si miungu. Mwanza 13:18. Abram akamjengea Bwana(MUNGU) madhabahu katika mialoni ya Memre.
 
wanakupotezea muda.. waulize Musa alizaliwa kipindi gani na uislamu umeanza lini? ni kama mashariki na kusini.. usipoteze muda wako kubishana na wanywa kahawa na stori zao.
Muislaam wa kwanza ni Adam AS, kwa mujibu wa Qur'an, na si kwa jinsi utakavyo wewe ! Hivyo binaadamu woote ni Waislaam mpaka wewe Saint Ivuga ...wewe umeasi tuu !
 
wanakupotezea muda.. waulize Musa alizaliwa kipindi gani na uislamu umeanza lini? ni kama mashariki na kusini.. usipoteze muda wako kubishana na wanywa kahawa na stori zao.
Muislaam wa kwanza ni Adam AS, kwa mujibu wa Qur'an, na si kwa jinsi utavyo wewe ! Hivyo binaadamu woote ni Waislaam mpaka wewe Saint Ivuga ...weweumeasi tuu !
 
Back
Top Bottom