Hivi Mwanamke kutopenda Kuomba Omba Hela kwa Mpenzi wake ina Maana gani?

Hivi Mwanamke kutopenda Kuomba Omba Hela kwa Mpenzi wake ina Maana gani?

Angalizo gani hilo sikia Mkuu kama wewe ulikula Mda wako ushapita Niheshimu Mimi saivi Ndio namiliki zigo[emoji23][emoji23]

Na kama ulishindwa hata kumtia Mimba,Mwananume ndio naenda kufanya kilichokushinda[emoji23]
Mi nililiachaga baada ya kuoa. Sikutaka mambo mengi. Lakini Happy Mchaga alikuwa Moto kinoma.
 
Mi nililiachaga baada ya kuoa. Sikutaka mambo mengi. Lakini Happy Mchaga alikuwa Moto kinoma.
Kwahio Umeoa na upo busy mitandaoni mida kama hii wenzako wapo kwenye Jakuzi na wake zao wanaitwa Baba Uchebe 😂😂
#Joke😂
 
Google search "wife material". Ila kuna ya kujiuliza apo.... Kwann haombi?, ana kazi inayompa kipato?, n.k

Tukiombwa pesa tunalalamika, tusipoombwa tunashtuka[emoji23][emoji23]
Mkuu ana Salon tu ya kike ila sijawahi muuliza inamwingizia kiasi gani coz mwenyewe sipendi kujuajua vipato vya wanawake coz hata mimi sipend kipato changu wakijue.
 
Your love can’t live without money.....

Huyo wa pili jua kuna mtu anahudumia by any means.. unataka kusema hata vochs huombwi[emoji2][emoji2]

Sisi wanawake hufeel good sana tukipewa hela kwakweli.
 
Your love can’t live without money.....

Huyo wa pili jua kuna mtu anahudumia by any means.. unataka kusema hata vochs huombwi[emoji2][emoji2]

Sisi wanawake hufeel good sana tukipewa hela kwakweli.
Sema wewe hufeel good ,usimsemee mwenzako nilie nae.
Huyu ana kaz yake kwanza nahisi ndio maana hapendi.
 
Sema wewe hufeel good ,usimsemee mwenzako nilie nae.
Huyu ana kaz yake kwanza nahisi ndio maana hapendi.

Danganywa tu ila ni hivi wanawake tunaeza hata miliki mabuzinez makubwa yanayotuingizia pesa.....

ila hela tunayopewa na wapenzi wetu hata ka ni ndogo aisee tunafeel good sana....

By the way unasumbua mke wa mtu... ana mume wake huyo
 
Back
Top Bottom