She aiming for something big (Ndoa) anajua Wanaume wengi mwanamke asieomba hela tayar tunampa vigezo vyote vya kua Wife material, na wewe naona kama upo kwenye hilo kundi la Wanaume wengi kwa ufupi kakukamata
Baada ya hilo usishangae akakutoa hata lunch na dinner kwa pesa yake na akakufululizia zawadi hadi ukapagawa hela hutoi hakuulizi na yeye anatoa zake kwa fujo pluss kufinyiwa kwa ndani chief unatangaza ndoa
"Ana saloon yake hapa mjini" Man wanawake wenye vibiashara vyao ndo wanaongoza kwa kua na matumizi makubwa ya pesa na wanaijua kweli pesa hivyo hua wanakuaga na sponsors kibao hizo saloon ni kama gundi ya kunasia pesa
Kama hakuombi pesa wala usiulize na usitume kabisa kama alivyosema, we Zidisha mapenzi kula Free papuchi ila cha kukushauri usijaribu kwenda kulala kwake hata siku moja hapo ni sawa na kumueka Mwaikimba rehani maana anaehudumia akikukuta can't express the feeling tukiwa tunapasuka halafu kuna fala anaserereka