Hivi mwanaume gentleman ndio mwanaume wa namna gani?

Hivi mwanaume gentleman ndio mwanaume wa namna gani?

Kwenye maisha ukisimulia watu jinsi jana usiku ulivyolala kwa kunywa uji na kipande cha andazi,watu watakusikiliza kwa makini sana na watakuonea huruma

Kwenye maisha hayo hayo ukisimulia jinsi jana usiku ulivyokula mbuzi choma huku ukishushia na belaire yako baridiiiiii,watu watakuona unajisifu na kujigamba.

AMKA wasimulie jinsi jana ulivyokua zako ukiendesha baiskeli ukapata pancha ukakokota hadi nyumbani,watakusikitikia kisha watakupa pole sana.

AMKA wasimulie jinsi jana kuna dereva daladala kakupiga pasi SUBARU yako,utasikia wanasema unawatambia au unawasimulia chai.

Unashindwa kuelewa binadamu kabiisa hasa hawa wa nchi ya magufuli,wanataka kusikia na kuona nini,au matatizo na shida tu ndio story wanazotaka kusikia? unawaza huelewi sazingine mtu unatamani usimulie kitu unaogopa maana lazima watakuingiza kwenye kundi la wapenda sifa na wazee wa majigambo kina kiduku lilo.

Unajua inawezekana kabisa maisha ya kiduku lilo anayotusimulia humu yakawa ni ya kweli kabisa (kuna jitu lishaguna huko) ndio shida yetu wabongo.
There is no good news like bad news![emoji16]
 
Sifahamu sana mkuu.

Hata hivyo, mwanaume akifahamu nini cha kuongea na katika wakati gani kwa watu WOTE wanaomzunguka,

Pia akajali walau kidogo muonekano wake, afya yake, usafi na vitu kama hivyo,

Akawa ni mtu ambaye sio mvivu... angalau ni mtafutaji,

Akaweza pia kuwapa wanawake wote heshima ambayo anampa mama yake mzazi,

Lakini pia akawa treat wanawake kwa namna ambayo angependa dada zake wawe treated na shemeji zake,

Ndugu zangu, mtu kama huyo hayupo mbali na u 'gentleman'

Nasema uongo ndugu zangu?

Cheers [emoji1635]
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Lugha nyingine anaitwa wanaume msikivu au mwelewa, anayempikia demu/mke wake, anaosha vyombo, anasafisha nyumba na kufua, mshahara wake wote anampa mwenza wake, na anamsindikiza saloon na pia akitoka na mashosti zake, na pia anakuwa available in case mwenza wake na marafiki wanahitaji huduma ndogondogo kama kununua vocha, kuita wahudumu kuongeza vinywaji, kupeleka mikoba kwenye gari, kuendea pedi, pipi na chewing gums supermarket, kurudia vitu nyumbani in case vimeshaulika kama simu, wallet, pedi.
😂😂 Manicure usisahau
 
Huwezi tu kumpatia tu mtu baki from no where 30 hiyo eti unajali. Hapo lazima na wewe unamlia Timing huyo manzi. Soon atakipata anachokitafuta
 
Habari za leo wananchi wenzangu?

Kuna binti mmoja huwa nampa lifti kwenye subaru impreza yangu kwenda job coz kazini kwangu na kazini kwake ni njia moja, sasa leo nimepata dharura, nikamwambia sitoweza kumpitia instead nikamtumia tu kama elfu 30 nikamwambia ajaribu kurequest uber, ebwana yule binti kafurahi na kunitumia text kuwa mimi ni very gentleman and caring man.me nikawa najiuliza tu, hicho kimsaada kiduchu ndio cha mimi kupewa masifa yote hayo?

Eti wakuu, Mwanaume gentleman, ndio mwanaume wa namna gani?
Gentleman..
-- huvaa vizuri akapendeza.
-- hana swaga za kibishoo..
-- ataweka pesa kwenye wallet na sio kwenye soksi..
-- hafuatulii vitu vidogo vidogo akiwa ktk mahusiano na mwanamke wake..
-- hujali sana family yake.
-- sio mlevi.
 
Habari za leo wananchi wenzangu?

Kuna binti mmoja huwa nampa lifti kwenye subaru impreza yangu kwenda job coz kazini kwangu na kazini kwake ni njia moja, sasa leo nimepata dharura, nikamwambia sitoweza kumpitia instead nikamtumia tu kama elfu 30 nikamwambia ajaribu kurequest uber, ebwana yule binti kafurahi na kunitumia text kuwa mimi ni very gentleman and caring man.me nikawa najiuliza tu, hicho kimsaada kiduchu ndio cha mimi kupewa masifa yote hayo?

Eti wakuu, Mwanaume gentleman, ndio mwanaume wa namna gani?
Soon utakuja kulalamika hapa, umesingiziwa mimba!
 
Habari za leo wananchi wenzangu?

Kuna binti mmoja huwa nampa lifti kwenye subaru impreza yangu kwenda job coz kazini kwangu na kazini kwake ni njia moja, sasa leo nimepata dharura, nikamwambia sitoweza kumpitia instead nikamtumia tu kama elfu 30 nikamwambia ajaribu kurequest uber, ebwana yule binti kafurahi na kunitumia text kuwa mimi ni very gentleman and caring man.me nikawa najiuliza tu, hicho kimsaada kiduchu ndio cha mimi kupewa masifa yote hayo?

Eti wakuu, Mwanaume gentleman, ndio mwanaume wa namna gani?

A gentleman is courteous, polite, and respectful. He says please and thank you, waits his turn in line, and treats others as they wish to be treated.
A Gentleman is Open Minded: A gentleman does not believe that his opinions and knowledge are complete and unquestionable.
 
Jento man ni mwanaume mwenye vinyweleo na kifua muundo wa nyonyooo, sisi wenye wivu tunasema hapa unajipigia debe kumamae
 
Gentlemen ni Wanaume wanaovaa chupi usiku badala ya boxer
 
Back
Top Bottom