Hivi mwanaume mwenye hela anaweza kuachwa?

Hivi mwanaume mwenye hela anaweza kuachwa?

Hatakuacha kwa sababu ya hela zako lakini lazima akusaliti. unampa hela lakini muhogo haupati vzuri lazima akusaliti tena anaenda kumpa hela huyo njemba atakayemfikisha kileleni
 
Mapenzi hayamuachagi mtu yeyote salama.

Lkn akiwa na mambo ya ------- pia anaachwa.

Especially kama huyumbishwi kiboya unamtema tu vida/zarau apeleke huko.
 
Binafsi Mahaba, Mapenzi, Furaha na Amani ni kila kitu kwangu.

Hata mtu awe na Ikulu, akinikera nikafika top yaani nikamchoka namuacha na ufahari wake, naenda kaanga mihogo yangu na dagaa nakula nalala kwenye uchago kwa amani bila kero.

Napenda pesa ila hazijawahi nifanya nikawa mtumwa.

 
Hela ndo nini wewe, sema hivi mwanaume mwny show kali anaweza kuachwa? Halaf nitag
 
Habari za leo wakuu,

Nimekua nikijiuliza maswali haya leo nikiwa nimetulia nikaona ngoja niwashirikishe na ninyi.

Hivi wakuu mwanaume mwenye hela anaweza akaachwa?

Ni mazingira gani yanaweza kusababisha mwanaume mwenye hela kuachwa.

Na wadada nao sasa huwa mnajiskiaje mnapojaribu kumwacha mwanaume mwenye hela?

Wakuu karibuni sana.
Ata wewe huwezi kumwacha boss wako wala huwezi kumnunia boss ndivyo hivyo kwa wanawake.
 
Utoshelevu wa maisha hautegemei pesa pekee!

Kuna watu wanafedha na mali lakini hawana raha za nafsi wala burudiko.
 
Back
Top Bottom