Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Siwezi kuacha ndugu yangu.I Know I know .. Unaachaje utamu kwa mfano [emoji16][emoji16][emoji16][emoji1732]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwezi kuacha ndugu yangu.I Know I know .. Unaachaje utamu kwa mfano [emoji16][emoji16][emoji16][emoji1732]
😀Siwezi kuacha ndugu yangu.
Kwa hyo asipokuwa na harufu msafi mtanashati ila ana cheat Sana pesa zpo ndo haachwi ?Mchafu hujipend unanuka nuka viarufu vya ajabu ajabu unabadilishwa hubadiliki eti kisa unapesa kwanin usiachwe hatuangalii pesa mwishowe unapata ugonjwa wa mapafu kwa kuvuta viharufu vya ajabu ajabu kisa pesa
Hapana but niliyoitaja ni mfano wa sababu moja wapo kati ya lukuki inayoweza msababishia akaachwaKwa hyo asipokuwa na harufu msafi mtanashati ila ana cheat Sana pesa zpo ndo haachwi ?
Hio si hela ya mboga ya siku 3 tuWanawake wanavisa hawa jamani, hii ipo sawa me ni wa kuachwa na huku niko na ATM ikisoma Tsh50,000/- cash, jamani ni haki hii kweli?
AmeeeeeeenMie bange zangu zikinipanda, pamoja na private jet yake na bangalow lake nikamuacha awashirikishe na wanawake wengine kero zake.
Heri niwe pekeyangu kuliko wawili na kero gunia, akuuuu.
Mapenzi yakiisha tuu, nakuacha kama nnavyotoka hospitali baada ya kutibiwa.
Bibi Mahaba.
Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen. [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Binafsi Mahaba, Mapenzi, Furaha na Amani ni kila kitu kwangu.
Hata mtu awe na Ikulu, akinikera nikafika top yaani nikamchoka namuacha na ufahari wake, naenda kaanga mihogo yangu na dagaa nakula nalala kwenye uchago kwa amani bila kero.
Napenda pesa ila hazijawahi nifanya nikawa mtumwa.
Sasa unamuacha kisa nakupa helaa???? Wanawake kwa kweli ni viumbe ambavyo havieleweki yani...Me nilikutana na mwanaume ananipa hela kila nikikutana nae yaaan ata km tumeonana asubui tukionana jion tena ananipa hela tena nyingi tu ,nilimuacha yule bwana loooooh nilihic anataka kuniua apo nimetoka kwenye relationship na kijana bahili wa Kipare ata 50,000 ya kusuka anakuambia subiri kwanza nikasema huyu ananipa bila kuomba huyu mbwa anataka kunila nyama huyu nikamuacha !!!block kila mahali !!!
Daaha aisee Wanawake hapanaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kamuulize Jeff bezos atakueleza yaliyo msibu ,[emoji3][emoji3]
Mwanamke kadai Talaka then kaenda kuolewa na Mwalimu [emoji3]