Hivi mwanaume mwenye hela anaweza kuachwa?

Hivi mwanaume mwenye hela anaweza kuachwa?

Habari za leo wakuu,

Nimekua nikijiuliza maswali haya leo nkiwa nimetulia nikaona ngoja niwashirikishe na ninyi.

Hivi wakuu mwanaume mwenye hela anaweza akaachwa?

Ni mazingira gani yanaweza kusababisha mwanaume mwenye hela kuachwa.

Na wadada nao sasa huwa mnajiskiaje mnapojaribu kumwacha mwanaume mwenye hela?

Wakuu karibuni sana.
PESA SIO KILA KITU
 
Binafsi pesa hawezi kunifanya kuwa mtu above pesa sio kila kitu... naipenda furaha yng
 
We ulisikia wapi eti mwanaume mwenye hela anaachwa? "we ulisikia wapi, we ulisikia wapi, mheshimiwa we ulisikia wapi"

NB; Mwanaume mwenye hela haachwi ila huwa anaacha, mfano mzuri muangalie Mondi jinsi anavyo wapanga foleni kila siku. Ushauri wangu kwako mkuu hakikisha unatafuta hela kwa nguvu zako zote, ila kwa njia halali lakini..
wanamfuata mondi wote ni magold digger ... na wote hawana furaha ktk mioyo yao
 
wanamfuata mondi wote ni magold digger ... na wote hawana furaha ktk mioyo yao
Hawana furaha kwa sababu muda wowote wanahisi watapigwa chini kwa sababu wengi wanamgombani.

NB; Hiyo ndy nguvu ya pesa sasa..
 
Wapo sana kaka uchafu ni hulka ya mtu hata kama anazo bado atashindwa namna ya kutumia pesa zake kujiweka katika haiba na muonekano mzur
Hamnaga kitu kama hiyo, na hakuna mwanamke mwenye nguvu ya kumuacha mwanaume mwenye pesa kwa kigezo kama hicho..
 
Me nilikutana na mwanaume ananipa hela kila nikikutana nae yaaan ata km tumeonana asubui tukionana jion tena ananipa hela tena nyingi tu ,nilimuacha yule bwana loooooh nilihic anataka kuniua apo nimetoka kwenye relationship na kijana bahili wa Kipare ata 50,000 ya kusuka anakuambia subiri kwanza nikasema huyu ananipa bila kuomba huyu mbwa anataka kunila nyama huyu nikamuacha !!!block kila mahali !!!
 
Me nilikutana na mwanaume ananipa hela kila nikikutana nae yaaan ata km tumeonana asubui tukionana jion tena ananipa hela tena nyingi tu ,nilimuacha yule bwana loooooh nilihic anataka kuniua apo nimetoka kwenye relationship na kijana bahili wa Kipare ata 50,000 ya kusuka anakuambia subiri kwanza nikasema huyu ananipa bila kuomba huyu mbwa anataka kunila nyama huyu nikamuacha !!!block kila mahali !!!
Hahahah! noma sana, ila my sister 50000 kusuka hapo hata mimi ningeonekana bahiri kwa kweli..
 
Tena vizur mno...kuna Aina ya wanawake ambao hawajali pesa, cheo au hadhi fulan katika jamii

"Hata uwe Nan katika nchi hiyo nitakukataa"

Huu msemo rafik yangu alimuambia mtarajiwa wake ambae alihisi mwanamke atampenda kupitia fedha, cheo,Kaz, hadhi katika jamii
 
Kwahyo kusuka sh ngapi?hyo ata haitishi naongezea na zangu
Kuna siku niliombwa 20,000 hela ya kusuka na mimi nikamwambia anipe matokeo yako ya form.4, form.6 na GPA yako ya chuo. Nikaishia kumpa buku 5, nauli humohumo na hayo masuala yake ya kusuka..
 
Kuna siku niliombwa 20,000 hela ya kusuka na mimi nikamwambia anipe matokeo yako ya form.4, form.6 na GPA yako ya chuo. Nikaishia kumpa buku 5, nauli humohumo na hayo masuala yake ya kusuka..

Kusuka kunahusiana nn na GPA ?
 
Wapo darmian pesa haibadili hulka au tabia ya mtu
...Wapo wengi tu. Hujawahi kuona MTU ana pesa ya kumwaga lakini hajui hats kujipulizia Uturi na Sikh zote in harufu tu ya jasho??
 
Back
Top Bottom