Nauliza tuu sio kwa ubaya...have u ever dated a man with a private jet?Mie bange zangu zikinipanda, pamoja na private jet yake na bangalow lake nikamuacha awashirikishe na wanawake wengine kero zake.
Heri niwe pekeyangu kuliko wawili na kero gunia, akuuuu.
Mapenzi yakiisha tuu, nakuacha kama nnavyotoka hospitali baada ya kutibiwa.
Bibi Mahaba.