Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Katibu mwenezi,chawa original!🤗🤗🤗Acha tu yani kwenye hela sipo sina shilingi mi ndio katibu mwenezi, ilimradi napumua nashukuru.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katibu mwenezi,chawa original!🤗🤗🤗Acha tu yani kwenye hela sipo sina shilingi mi ndio katibu mwenezi, ilimradi napumua nashukuru.
We ulisikia wapi eti mwanaume mwenye hela anaachwa? "we ulisikia wapi, we ulisikia wapi, mheshimiwa we ulisikia wapi"Habari za leo wakuu,
Nimekua nikijiuliza maswali haya leo nkiwa nimetulia nikaona ngoja niwashirikishe na ninyi.
Hivi wakuu mwanaume mwenye hela anaweza akaachwa?
Ni mazingira gani yanaweza kusababisha mwanaume mwenye hela kuachwa.
Na wadada nao sasa huwa mnajiskiaje mnapojaribu kumwacha mwanaume mwenye hela?
Wakuu karibuni sana.
Ndio hivyo navyofanya mkuu, hivi mwakani mwezi wa sita lazima nitoke na vipande vya ALMASI. Lazima almasi ni zetu tunaishia kuzisoma tu kama huu sio ujinga ni nini. Nataka ninyoke na dhahabu na Almasi tu. Ninyi endeleeni kutafuta ajiraWe ulisikia wapi eti mwanaume mwenye hela anaachwa? "we ulisikia wapi, we ulisikia wapi, mheshimiwa we ulisikia wapi"
NB; Mwanaume mwenye hela haachwi ila huwa anaacha, mfano mzuri muangalie Mondi jinsi anavyo wapanga foleni kila siku. Ushauri wangu kwako mkuu hakikisha unatafuta hela kwa nguvu zako zote, ila kwa njia halali lakini..
Sasa "my sister" toka lini mwanume mwenye hela anakua mchafu...?Mchafu hujipend unanuka nuka viarufu vya ajabu ajabu unabadilishwa hubadiliki eti kisa unapesa kwanin usiachwe hatuangalii pesa mwishowe unapata ugonjwa wa mapafu kwa kuvuta viharufu vya ajabu ajabu kisa pesa
Pambana sana mkuu..Ndio hivyo navyofanya mkuu, hivi mwakani mwezi wa sita lazima nitoke na vipande vya ALMASI. Lazima almasi ni zetu tunaishia kuzisoma tu kama huu sio ujinga ni nini. Nataka ninyoke na dhahabu na Almasi tu. Ninyi
Viharufu kama vipi mkuu, funguka basiMchafu hujipend unanuka nuka viarufu vya ajabu ajabu unabadilishwa hubadiliki eti kisa unapesa kwanin usiachwe hatuangalii pesa mwishowe unapata ugonjwa wa mapafu kwa kuvuta viharufu vya ajabu ajabu kisa pesa
Mchafu hujipend unanuka nuka viarufu vya ajabu ajabu unabadilishwa hubadiliki eti kisa unapesa kwanin usiachwe hatuangalii pesa mwishowe unapata ugonjwa wa mapafu kwa kuvuta viharufu vya ajabu ajabu kisa pesa
🤣🤣🤣Utaachwa ila kwa tabu mno sio kama hawa kina "sina shilingi"
Habari za leo wakuu,
Nimekua nikijiuliza maswali haya leo nkiwa nimetulia nikaona ngoja niwashirikishe na ninyi.
Hivi wakuu mwanaume mwenye hela anaweza akaachwa?
Ni mazingira gani yanaweza kusababisha mwanaume mwenye hela kuachwa.
Na wadada nao sasa huwa mnajiskiaje mnapojaribu kumwacha mwanaume mwenye hela?
Wakuu karibuni sana.
Dada asante kwa kututambulisha shemeji mwenye viarufuMchafu hujipend unanuka nuka viarufu vya ajabu ajabu unabadilishwa hubadiliki eti kisa unapesa kwanin usiachwe hatuangalii pesa mwishowe unapata ugonjwa wa mapafu kwa kuvuta viharufu vya ajabu ajabu kisa pesa
There’s exception to every rule....!
Wapo sana kaka uchafu ni hulka ya mtu hata kama anazo bado atashindwa namna ya kutumia pesa zake kujiweka katika haiba na muonekano mzurSasa "my sister" toka lini mwanume mwenye hela anakua mchafu...?
🤣🤣🤣🤣🤣 dhubutuDada asante kwa kututambulisha shemeji mwenye viarufu
Wapo darmian pesa haibadili hulka au tabia ya mtuHao ni matajiri wa ndumba,mwanaume gani mwenye hela then awe mchafu?.
[emoji1] shikamoo bibi
Nilichogundua kwa hawa viumbe kuna levels kunq demu ukimpa elfu 20 kwake ni nyingine na anashukuru sana kuna mwingine laki ni ndogo. Conclusion stay in your lane hatakukimbia na hapo ndio tafsiri ya mwenyewe hela inakuwa kwa muhusika kwa mfano huo mmoja ata muona muhusika hana hela mwingine ataona anahela kwake.Habari za leo wakuu,
Nimekua nikijiuliza maswali haya leo nkiwa nimetulia nikaona ngoja niwashirikishe na ninyi.
Hivi wakuu mwanaume mwenye hela anaweza akaachwa?
Ni mazingira gani yanaweza kusababisha mwanaume mwenye hela kuachwa.
Na wadada nao sasa huwa mnajiskiaje mnapojaribu kumwacha mwanaume mwenye hela?
Wakuu karibuni sana.