Hivi mwanaume mwenye hela anaweza kuachwa?

Hivi mwanaume mwenye hela anaweza kuachwa?

Mwanaume unaweza kua na kila kitu na ukaachwa ni bora tu kuwa mshabiki wa simba
 
Habari za leo wakuu,
Nimekua nikijiuliza maswali haya leo nkiwa nimetulia nikaona ngoja niwashirikishe na ninyi.

Hivi wakuu mwanaume mwenye hela anaweza akaachwa?
Ni mazingira gani yanaweza kusababisha mwanaume mwenye hela kuachwa.

Na wadada nao sasa huwa mnajiskiaje mnapojaribu kumwacha mwanaume mwenye hela?

Wakuu karibuni sana.
yeye nani asiachwe kama kipindi Jeff akiwa tajiri wa kwanza duniani lakini aliachwa
 
Mie bange zangu zikinipanda, pamoja na private jet yake na bangalow lake nikamuacha awashirikishe na wanawake wengine kero zake.

Heri niwe pekeyangu kuliko wawili na kero gunia, akuuuu.

Mapenzi yakiisha tuu, nakuacha kama nnavyotoka hospitali baada ya kutibiwa.
Bibi Mahaba.

Bibi adi yule unaemuimbiaga blues kwenye komenti utamuacha?
 
Wana msemo wao siku hizi "Sawa ana hela lakini anakupa?"
 
Labda kama anamnyanyasa kwa kimpiga mwanamke na unalaya ulopitiliza.tofauti na hapo. Ni ngumu kumuacha.
 
Habari za leo wakuu,
Nimekua nikijiuliza maswali haya leo nkiwa nimetulia nikaona ngoja niwashirikishe na ninyi.

Hivi wakuu mwanaume mwenye hela anaweza akaachwa?
Ni mazingira gani yanaweza kusababisha mwanaume mwenye hela kuachwa.

Na wadada nao sasa huwa mnajiskiaje mnapojaribu kumwacha mwanaume mwenye hela?

Wakuu karibuni sana.
unaachwa kweupe kabisa,,,,,
 
Mkuu pesa inaenda sambamba na utoaji,,, ukiwa na pesa na unazitoa sana mademu kukuacha ni swala gumu kidogo labda tu atakuwa anachepuka ila sio kuachwa kabisa......

Pesa inaleta raha sana sometimes coz unakuwa na machaguo mengi sana ya mademu... Ila usijiroge kupenda penda,,, kujikuta Lavaboi,, zee la kupetipeti na ujinga mwingine unaofanana na huo..

Mapenzi uFalla sana sometimes.
 
Back
Top Bottom