Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeeehAnaachwa vizuri tena bila hata taatifa, na simu anazimiwa
[emoji23][emoji23]Huwajui wanawake wewe..
Ukimtoka moyoni hata kukuua anakuua nini hela...
yeye nani asiachwe kama kipindi Jeff akiwa tajiri wa kwanza duniani lakini aliachwaHabari za leo wakuu,
Nimekua nikijiuliza maswali haya leo nkiwa nimetulia nikaona ngoja niwashirikishe na ninyi.
Hivi wakuu mwanaume mwenye hela anaweza akaachwa?
Ni mazingira gani yanaweza kusababisha mwanaume mwenye hela kuachwa.
Na wadada nao sasa huwa mnajiskiaje mnapojaribu kumwacha mwanaume mwenye hela?
Wakuu karibuni sana.
Asipo hachwa ajue tu kuna wahuni wanamsaidiaKama hujui kumpelekea moto mpaka cheche zitokeee ...
Utaachwa tu
Haachwi ila atatombewer
Mie bange zangu zikinipanda, pamoja na private jet yake na bangalow lake nikamuacha awashirikishe na wanawake wengine kero zake.
Heri niwe pekeyangu kuliko wawili na kero gunia, akuuuu.
Mapenzi yakiisha tuu, nakuacha kama nnavyotoka hospitali baada ya kutibiwa.
Bibi Mahaba.
unaachwa kweupe kabisa,,,,,Habari za leo wakuu,
Nimekua nikijiuliza maswali haya leo nkiwa nimetulia nikaona ngoja niwashirikishe na ninyi.
Hivi wakuu mwanaume mwenye hela anaweza akaachwa?
Ni mazingira gani yanaweza kusababisha mwanaume mwenye hela kuachwa.
Na wadada nao sasa huwa mnajiskiaje mnapojaribu kumwacha mwanaume mwenye hela?
Wakuu karibuni sana.
[emoji23][emoji23][emoji848]Huwajui wanawake wewe..
Ukimtoka moyoni hata kukuua anakuua nini hela...
[emoji23][emoji848][emoji85]Utaachwa ila kwa tabu mno sio kama hawa kina "sina shilingi"
Bibi adi yule unaemuimbiaga blues kwenye komenti utamuacha?