Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Lile tukio halikusababishwa na uzuri,nadhani tatizlo lilikuwa dhulmaIla mapenzi bana aaaaaah.
Sasa pisi ya kishumundu ile ilikuwa na uzuri gani??au ndio mambo ya ndani ya chupa!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lile tukio halikusababishwa na uzuri,nadhani tatizlo lilikuwa dhulmaIla mapenzi bana aaaaaah.
Sasa pisi ya kishumundu ile ilikuwa na uzuri gani??au ndio mambo ya ndani ya chupa!!!!
🙏🏿We utakuwa umezaliwa juzijuzi😁
Ila mapenzi bana aaaaaah.
Sasa pisi ya kishumundu ile ilikuwa na uzuri gani??au ndio mambo ya ndani ya chupa!!!!
Uzuri wa mtu upo machoni kwa mtu,wewe ukikiona Kiba’ya wengine wanakitaman,,,wewe mwenyewe wengine wanakuona mbaya tu na wengine wanakuona mzuri
Ufoo ndio kabint kembamba?Kabinti kembemba hivi aisee
Aliua na akati yeye ndo alikoswa koswa kuuawa baada ya kupigwa shaba tumboni na mama ake alikufa na muuaji akajiua...ufooo kama nakumbuka alipona akareport report muda mchache ITV afu akapotea hadi leoKwani huyu yupo huru, si alifungwa baada ya kuua? Mademu wa Kichagga sijuwi ni nani aliyewaroga kuwa matapeli wa mapenzi?
Yule mjeshi nafikiri hakujiua sababu ya uzuri ama wivu, ni vile muuaji alienda na siri zake zooote ila watu walihisi ufoo na mama ake walimdulumu mali yule jamaa (kwa tabia za wachaga)Hii dunia bhana vichekesho kwa pisi aina ya ufoo Saro ndio ujiue?
Ufoo Saro ana sura kavu sana.anyway kizuri ni macho pa mtu
Kuna jamaa wanajisifia kuoa wachaga kuwa wao Ni wajanja , waambie waishi na ndugu zao Kama mmoja wawili ama watatu ndio watajua Kilimanjaro sio pa kuoa.Kwani huyu yupo huru, si alifungwa baada ya kuua? Mademu wa Kichagga sijuwi ni nani aliyewaroga kuwa matapeli wa mapenzi?
Ila yeye ndiye msabababishi wa haya majanga, si ndiyo?Aliua na akati yeye ndo alikoswa koswa kuuawa baada ya kupigwa shaba tumboni na mama ake alikufa na muuaji akajiua...ufooo kama nakumbuka alipona akareport report muda mchache ITV afu akapotea hadi leo
Kuoa Wachagga au wapare ni kujitakia kifo tu mapemaaaaa tena huku unajiona una dedishwa.Kuna jamaa wanajisifia kuoa wachaga kuwa wao Ni wajanja , waambie waishi na ndugu zao Kama mmoja wawili ama watatu ndio watajua Kilimanjaro sio pa kuoa.
Kuna yule wa dumila alimkodia mwanaume majambazi wakammalize ,mbaba mmoja ivi mkikuyu, matukio Ni mengi ngoja uzeeke na uchukue pension ama iwe inakaribia kutoka ndipo utajua Kama hujui.
Huenda alikuwa Pr SchMkuu hiyo stori ilikupita?? Iko humu, tafuta kwa hilo jina lake utaipata
Manzi wa kaskazin ndio nawaogopeaga hapa tuu!! Alimuua yule mumewe yule hiyo iko waziUle msala lazima ukae kimya
Muuaji hakuweka bayana sababuIla yeye ndiye msabababishi wa haya majanga, si ndiyo?
Dogo tuamkie wazeeSamahani, elezea kidogo mkuu
DuhAtakuwa bize kutafuta ama kumuandaa mtu wa kumuua tena