Hivi mwisho wa siku masikini wataishi wapi?

Hivi mwisho wa siku masikini wataishi wapi?

Morning_star

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2018
Posts
6,042
Reaction score
17,320
Eneo lolote likianza kuwa na maendeleo masikini hatakiwi kuonekana! Sheria hutungwa na vigezo huwekwa kumlazimisha masikini akimbie!

Mfano jinsi miji inavyokuwa kuna nyumba zinawekewa sheria ya kwamba ukitaka kuikarabati lazima uombe kibali na watakuambia mtaa huu kama unatakakujenga, jenga jengo kuanzia ghorofa 3, kama huwezi basi huza eneo nenda sehemu utakayoimudu!

Ukishupaza shingo itawekwa kodi ya majengo (mfano maeneo ya Dar: Posta & kariakoo) kodi ya jengo kwa mwaka si chini ya millions.

Kama umeshupaza shingo, umezuiliwa ukarabati na huna uwezo wa kujenga ghorofa, hivyo huwezi kupangisha na huwezi kupata hela ya kodi ya jengo, hapo utalazimika kuuza na kulala mbele maeneo ya masikini!

Hii hali ikiendelea hivyo kwa miaka kadhaa masikini huishia mitaani (homeless). UMASIKINI NI LAANA! Na kama wewe ni masikini anzia mahali laana ilipopitia na kukupata vinginevyo hutoboi hata ufanyeje!
 
Eneo lolote likianza kuwa na maendeleo masikini hatakiwi kuonekana! Sheria hutungwa na vigezo huwekwa kumlazimisha masikini akimbie!

Mfano jinsi miji inavyokuwa kuna nyumba zinawekewa sheria ya kwamba ukitaka kuikarabati lazima uombe kibali na watakuambia mtaa huu kama unatakakujenga, jenga jengo kuanzia ghorofa 3, kama huwezi basi huza eneo nenda sehemu utakayoimudu!

Ukishupaza shingo itawekwa kodi ya majengo (mfano maeneo ya Dar: Posta & kariakoo) kodi ya jengo kwa mwaka si chini ya millions.

Kama umeshupaza shingo, umezuiliwa ukarabati na huna uwezo wa kujenga ghorofa, hivyo huwezi kupangisha na huwezi kupata hela ya kodi ya jengo, hapo utalazimika kuuza na kulala mbele maeneo ya masikini!

Hii hali ikiendelea hivyo kwa miaka kadhaa masikini huishia mitaani (homeless). UMASIKINI NI LAANA! Na kama wewe ni masikini anzia mahali laana ilipopitia na kukupata vinginevyo hutoboi hata ufanyeje!
Tafuta wimbo wa Peter Tosh unaitwa Burial kunamajibu humo
 
Matajiri wanajisikia raha sana kuishi sehemu ambazo wataweza kuwaona masikini kwa urahisi. Hata Beverly Hills huko marekani ni mtaa wa matajiri watupu lkn mita kadhaa tuu nyuma kuna homeless people
 
Eneo lolote likianza kuwa na maendeleo masikini hatakiwi kuonekana! Sheria hutungwa na vigezo huwekwa kumlazimisha masikini akimbie!

Mfano jinsi miji inavyokuwa kuna nyumba zinawekewa sheria ya kwamba ukitaka kuikarabati lazima uombe kibali na watakuambia mtaa huu kama unatakakujenga, jenga jengo kuanzia ghorofa 3, kama huwezi basi huza eneo nenda sehemu utakayoimudu!

Ukishupaza shingo itawekwa kodi ya majengo (mfano maeneo ya Dar: Posta & kariakoo) kodi ya jengo kwa mwaka si chini ya millions.

Kama umeshupaza shingo, umezuiliwa ukarabati na huna uwezo wa kujenga ghorofa, hivyo huwezi kupangisha na huwezi kupata hela ya kodi ya jengo, hapo utalazimika kuuza na kulala mbele maeneo ya masikini!

Hii hali ikiendelea hivyo kwa miaka kadhaa masikini huishia mitaani (homeless). UMASIKINI NI LAANA! Na kama wewe ni masikini anzia mahali laana ilipopitia na kukupata vinginevyo hutoboi hata ufanyeje!
Umasikini Ni laana, huu msemo umeandikwa kwenye vitabu vya Dini ama Ni katika kamusi hipi...!!?
 
Back
Top Bottom