Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
....usungilo....Si kweli kuwa kwa waislamu anayeruhusiwa kuchinja ni shehe tu. Ninachofahamu kila muislamu mwanaume anayefahamu utaratibu wa kuchinjia kuchinja. Nikweli kuchinja kunaambatana na maombi/sala kwa ajili ya yule mnyama anayechinjwa. Katika uislamu kuna hata exception kuwa inapotokea kwenye mazingira ambayo hakuna muislamu mwanaume anayejua taratibu za kuchinja lakini kuna mwanamke anayefahamu taratibu za kuchinja basi anaweza kufanya hivyo. Hili ni suala la kiimani zaidi kwani mapokeo yanasema hivyo. Ulichouliza kinaweza ku-apply kweli kwenye jamii isiyokuwa na waislamu ambako bado watu wanachinja kwa utaratibu waliojiwekea. So kutegemea padri, askofu au mchungaji kuchinja mnyama kisha hiyo nyama akiliwa na waumini wa dini nyingine kwa mtazamo wangu nadhani itakuwa ngumu na hasa kwa nchi kama Tz ambayo nijuavyo si ya kidini kama zilivyo zingine ambazo hata katiba inaeleza wazi kuwa nchi husika inafata imani ya dini fulani.kwani na waislamu ni yeyote anaruhusiwa kuchinja? Mi nachujua ni shehe ndo maana nikataja na viongozi wa imani zingine kwani najua kuna kuhusisha maombi wakati wa uchinjaji! Wewe ndo unaonekana hujasoma vizuri kwani mwanzo nimetaja mashehe na sijasema kila muislamu. Tafadhali sana nahitaji ufafanuzi wa kisheria, kijamii au kiafya. Mambo ya dini weka huko.
mkuu nadhani umenielewa. Tangu kuasisiwa kwa udini na jk sasa hivi watu wamefikia kuhoji kila jambo la kijamii linalofanywa na upande mmoja kwa kwa nini na wengine hawahusishwi? Ndo maana nimeuliza wanasheria, wanajamii na watu wa mifugo. Vinginevyo ningeuliza tu kwa ni waislamu ndo wachinjaji? Au ningesema nachukia nyama inayochinjwa na waislamu!
Hii kitu mkuu falsafa yake ni "complex". Waislam wamewekewa utaratibu wa namna ya kuchinja mnyama ili awe halali
kwao kula, wakristu nahisi hawana kikwazo kinachowazuiya kula nyama kwa namna yeyote alivyochinjwa!
Kwahiyo ni bora tufuate utaratibu ambao hauna shida kwa jamii yote ili kuepusha usumbufu na pia ni ajira kwa wengine!
Mungu ibariki Tanzania.
Samahani kidogo wadau, hivi KITIMOTO anachinjwa au anauawa?
Samahani kidogo wadau, hivi KITIMOTO anachinjwa au anauawa?
....usungilo....Si kweli kuwa kwa waislamu anayeruhusiwa kuchinja ni shehe tu. Ninachofahamu kila muislamu mwanaume anayefahamu utaratibu wa kuchinjia kuchinja. Nikweli kuchinja kunaambatana na maombi/sala kwa ajili ya yule mnyama anayechinjwa. Katika uislamu kuna hata exception kuwa inapotokea kwenye mazingira ambayo hakuna muislamu mwanaume anayejua taratibu za kuchinja lakini kuna mwanamke anayefahamu taratibu za kuchinja basi anaweza kufanya hivyo. Hili ni suala la kiimani zaidi kwani mapokeo yanasema hivyo. Ulichouliza kinaweza ku-apply kweli kwenye jamii isiyokuwa na waislamu ambako bado watu wanachinja kwa utaratibu waliojiwekea. So kutegemea padri, askofu au mchungaji kuchinja mnyama kisha hiyo nyama akiliwa na waumini wa dini nyingine kwa mtazamo wangu nadhani itakuwa ngumu na hasa kwa nchi kama Tz ambayo nijuavyo si ya kidini kama zilivyo zingine ambazo hata katiba inaeleza wazi kuwa nchi husika inafata imani ya dini fulani.
sababu ya kuchinja ni kurahisisha mapishi ya kitoweo tu! Inakuwa haipendezi kukata mguu wa ngombe kuchukua maini..., wakati yuko hai! Hivyo basi kurahisisha ni kumuua kisha mambo mengine yanafuatia! Sasa mtu akijitokeza anataka kuchinja kama ajira mpe kisha mpe kichwa cha kuku magondi na utumbo mpe nae akafaidi! Sheria sheria sisi Wagala tunaamini sheria haina Haki!....usungilo....Si kweli kuwa kwa waislamu anayeruhusiwa kuchinja ni shehe tu. Ninachofahamu kila muislamu mwanaume anayefahamu utaratibu wa kuchinjia kuchinja. Nikweli kuchinja kunaambatana na maombi/sala kwa ajili ya yule mnyama anayechinjwa. Katika uislamu kuna hata exception kuwa inapotokea kwenye mazingira ambayo hakuna muislamu mwanaume anayejua taratibu za kuchinja lakini kuna mwanamke anayefahamu taratibu za kuchinja basi anaweza kufanya hivyo. Hili ni suala la kiimani zaidi kwani mapokeo yanasema hivyo. Ulichouliza kinaweza ku-apply kweli kwenye jamii isiyokuwa na waislamu ambako bado watu wanachinja kwa utaratibu waliojiwekea. So kutegemea padri, askofu au mchungaji kuchinja mnyama kisha hiyo nyama akiliwa na waumini wa dini nyingine kwa mtazamo wangu nadhani itakuwa ngumu na hasa kwa nchi kama Tz ambayo nijuavyo si ya kidini kama zilivyo zingine ambazo hata katiba inaeleza wazi kuwa nchi husika inafata imani ya dini fulani.
Yeyote mwenye kisu anaweza kuchinja. Mi mbona mke wangu anachinja kuku, bata na hata mbuzi kama siko nyumbani. Visingizio vingine hivi ni vya kujiletea wenyewe kutokana na uroho wetu. Eti jirani akikuchinjia sharti umpelekee shingo,si upuuzi huu? Mi nimempa ruhusa mke wangu kuchinja kile akitakacho. In short, anybody mwenye kushika kisu anaruhusa ya kuchinja, hii haina miiko. Ulaya mashine ndizo zinazochinja mbona utamu wa nyama ni ule ule?
Yeyote anaweza kuchinja hasa ikizingatiwa kuwa hizi dini nyemelezi zimemkuta mswahili akijua kuchinja kupika na kula. Nadhani anayeweza kuchinja ni suala la mwenye mnyama. By the way, nani anastahili kuchinja samaki, nyati, Swala, Nyumbu na wengine wengi? Sijui hawa walioweka masharti ya kuchinja mfano ng'ombe kama wanao kwao zaidi ya kuwafaidi toka kwetu.
Hebu tupe ushahidi wa mashehe wanaochinja huko machinjioni, mimi napita pita sana vingunguti kununuwa nyama, sijakutana na shehe anaechinja huko bali nimekuta vijana ndio wanachinja huko.
Au una maana ipi unaposema "mashehe"?
Hilo si suala la mashehe bali kila muislam anaejua taratibu za kuchinja anaweza kuchinja. Mnyama yoyote anataka kuchinjwa lazima jina la M/MUNGU (ALLAH) litamkwe na aelekezwe Makka (Kibla) pamoja na mambo mengine. Kama dini nyengine hazizingatii hayo isiwe tabu, tueleweshwe tu tunapofika kwenye butcher
Wakristo walikuwa wanafuata utaratibu huu kwa namna ileile ya kuishi vizuri na wenzao waislamu si unajua tena wakristo hawana hiyana. Vile vitu ambavyo wanakula na wenzao hawakupenda kuwakwaza waliwapelekea waislamu iliwachinje na ili waweze kula wote. Lakini Nguruwe huwa wanachinja wenyewe kwani wenzetu kidinihuwa hawali.