mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,152
- 3,473
Kuwaza Cha kupika huwa ni kazi ngumu hata kukiwa na kila kitu, nakumuuliza mume nikujua anapenda nini kipikwe nisije kupika kitu asichokipenda. So kusaidiana mawazo kuhusu msosi ni Jambo zuri na linapunguza mzigo kwa mpigaji na njia rahisi ni kuwa na ratiba ya msosi
Hizi ratiba kuziandaaga rahisi ila kuzifuata labda uwe na mpishi sio hawa wake zetu
Dah kweli kabisa, ukiwa na mama lazma ule kwa ratiba maalumKweli mkuu hizi ratiba nikiwa tu dar ambapo yupo wife na Hg ila porini ni chochote kitachokatiza twende.
Nikiwa Dar najua kabisa leo ni msosi gani na wao wanajua cha kupika.
Hahahah kweli sema sometime miyeyusho sana hilo swali 😝
Hahahahah ndio hivyo man, hawajiamini hawa watu. Anataka approval yako sema ndio wake wazuri sana maana huwa wanaomba ushauri kwenye mambo mengi zaidi. Sio wale wakurupukajiNilichojifunza wanawake kufanya jambo bila kumuuliza MZEE wanaona kama alitafanyika vyema kwahiyo anauliza kupata mawazo yako,kwa kifupi kama hawaamini mawazo yao! kweli swali la mizinguo kila kitu kipo lakini hajui cha kupika wakati kile ambacho kipo ndani kinaliwa ndio maana kimenunuliwa.
Ndio maana tunaitwa wanaume, tatizo lenu mnataka kujiona sawa na wake zenu, mwanaume ni strong mara zaidi, so ukiona we unamfananisha na wanaume its a point of weakness, ipo siku unaweza mwambia mbona hujifunzi useremala??? Acha fikra dhaifu. Hakuna kazi ngumu kama kumtreat mtu vizuri japo ni rahisi pia.Hapo nilipopakoleza hapo pamenichekesha sana.
Kwa hiyo wataka kusema kuwa, eti kuwaza utapika nini hiyo ni kitu kigumu kuliko hata kupeleka rockets kwenye orbit ya sayari ya Mars ??
Yaani unamaanisha kuwaza utapika nini ni kitu kigumu kuliko kukabiliana na GENETICS ENGINEERING, PHARMACOLOGY au PURE MATHEMATICS na ADVANCED PHYSICS za A-Level eeh?
Jamani tuwe serious jamani.
#justKidding
Mtu anayepiga hata mkewe utamjua tu.relax bro...calm down homeboy...easy easy home planet...chilling
Hilo swali ni linakukera kwa sababu ya frequency yake?? Je akiuliza mara moja kwa wiki will u complain??
Je tangu makuzi yako hujawahi kuulizwa au kusikia baba yako akiulizwa na mama yako??
Siku ya kwanza kuulizwa ulijisikiaje internal, annoy or not??
Je ukiwa na good mood/vibe afu ukaulizwa hilo what do you feel??
BTW ukitaka kujijua ww ni mtu wa aina gani go and look ur 20 yrs back na itakusaidia kutambua ur character.
Lastly tafuta article yoyote inayozungumzia mambo ya Emotional Intelligence it will help u.
Inaonekana wewe mkeo unamuona kama hazimo ee, inaonekana wewe ni mtu anayeweka vitu moyoni na kuja kuongelea sehemu weak? Au nia yako ni nn? Badilisha mtizamo huo, kuwa a real man,penda familia yako, penda mkeo acha roho mbaya."Bebi Leo tunakula nini?"
Hivi chakula nimenunua, Maharage, mchele, unga, viazi, nyama, samaki vyote viko kwenye kitchen Den na kwenye friji kuna kila kitu.
Sasa kwanini uniulize tunakula nini? Wewe huwezi kujiongeza kweli kufanya assortment ya chakula cha kupika.
Kwahiyo j5 wali na j2 pilau hii inanikumbusha bweniMimi nina ratiba ya misosi:-
1.J3 -Ugali
2.J4 -Tambi
3.J5 -Wali
4.ALH-Chips
5.IJM -Ndizi/Nyama
6.JMO-Ugali
7.J2- Pilau
Kwahiyo j5 wali na j2 pilau hii inanikumbusha bweni
Mi sinaga ratiba siko bweni mkuu mi huwa na tabia kumpatia mke fedha kutosha wiki2
Mezani nakuta mapochopocho kiongozi
Huyo Ni Mimi lakini
Usiku ugali wa nini mkuu unachana mbaoMimi lazima nijue ratiba za kula maana kama siku ni wali basi mchana napiga light food tu ,ila kama usiku ugali mchana nakula msosi heavy!!
Usiku ugali wa nini mkuu unachana mbao
Hii ndo inasababisha kuota ndoto unadondoka shimo lisilo na mwisho King Kong III
Apo sawa mkuuNdio maana mchana nakula heavy ili usiku nipige tonge mbili tatu tu basi.
Kwenye thread za watafiti kumbe na wewe umo? Vipi majibu yangu yalikufurahisha? Ukiona kuna thread unasoma halafu huwezi kuchangia, jua kuwa unasoma thread ambayo hustahili kuisoma."Bebi Leo tunakula nini?"
Hivi chakula nimenunua, Maharage, mchele, unga, viazi, nyama, samaki vyote viko kwenye kitchen Den na kwenye friji kuna kila kitu.
Sasa kwanini uniulize tunakula nini? Wewe huwezi kujiongeza kweli kufanya assortment ya chakula cha kupika.