Hivi nani mwingine anakereka na hili swali toka kwa wife?

Hivi nani mwingine anakereka na hili swali toka kwa wife?

"Bebi Leo tunakula nini?"

Hivi chakula nimenunua, Maharage, mchele, unga, viazi, nyama, samaki vyote viko kwenye kitchen Den na kwenye friji kuna kila kitu.

Sasa kwanini uniulize tunakula nini? Wewe huwezi kujiongeza kweli kufanya assortment ya chakula cha kupika.

Hakuna kosa kubwa wanaume tunalofanya kama kujibu "Chochote beby"....your the leader she is testing your frame....Decide, make decision.
 
Kuwaza Cha kupika huwa ni kazi ngumu hata kukiwa na kila kitu, nakumuuliza mume nikujua anapenda nini kipikwe nisije kupika kitu asichokipenda. So kusaidiana mawazo kuhusu msosi ni Jambo zuri na linapunguza mzigo kwa mpigaji na njia rahisi ni kuwa na ratiba ya msosi
Ooooh wacha weee......hata simba jike linazaa. Kwema lakini mkuu
 
Hakuna kosa kubwa wanaume tunalofanya kama kujibu "Chochote beby"....your the leader she is testing your frame....Decide, make decision.
Leo ntasema ugali samaki, kesho wali na marage, kesho kutwa ndizi nyama aisee...it gets over and over until it sucks.

Nimeishi home mama hakuwahi kuwa ananiuliza hilo swali and i really enjoyed getting to the table eating what mama prepared for us. Sometimes exciting stuffs, sometimes boring ila ni life.

Inakera unaulizwa tunakula nini ina maana yeye ni mvivu wa kufikiria kiasi hicho? Mtu umechoka zako unakuja tena kuulizwa miswali ya ajabu ajabu. Jiongezeni banaa!!!
 
"Bebi Leo tunakula nini?"

Hivi chakula nimenunua, Maharage, mchele, unga, viazi, nyama, samaki vyote viko kwenye kitchen Den na kwenye friji kuna kila kitu.

Sasa kwanini uniulize tunakula nini? Wewe huwezi kujiongeza kweli kufanya assortment ya chakula cha kupika.
inaonekana una gubu sana aiseee,,, mbona ilo swali la kawaida sana na limekaa kimahaba
 
inaonekana una gubu sana aiseee,,, mbona ilo swali la kawaida sana na limekaa kimahaba
Limekaa kimahaba ndio until you get asked 10 times in a row 😂😂😂 ndio utajua limekaa kimahaba au kero.
On the Valentine day mwanamke akiuliza hilo huwezi kumaindi. Its a special day for both of you. Ila ikigeuzwa norm huwezi kufurahia amini kwamba.
 
Hili swali nirifikiri hili swali huwa linanikera Mimi,
Wanawake wa siku hizi,Swala la kupika,ni Ili mradi liende tu,ni mwendo wa kuchemsha tu,
 
"Bebi Leo tunakula nini?"

Hivi chakula nimenunua, Maharage, mchele, unga, viazi, nyama, samaki vyote viko kwenye kitchen Den na kwenye friji kuna kila kitu.

Sasa kwanini uniulize tunakula nini? Wewe huwezi kujiongeza kweli kufanya assortment ya chakula cha kupika.
Nadhani anatakiwa aseme, "Mume wangu unapenda siku ya leo nikuandalie chakula gani?!

But kukuuliza sio kosa maana anapenda mumewe ajue unapenda kula chakula gani.
 
Kuwaza Cha kupika huwa ni kazi ngumu hata kukiwa na kila kitu, nakumuuliza mume nikujua anapenda nini kipikwe nisije kupika kitu asichokipenda. So kusaidiana mawazo kuhusu msosi ni Jambo zuri na linapunguza mzigo kwa mpigaji na njia rahisi ni kuwa na ratiba ya msosi
Ni kweli kabisa kipenzi....
 
Kimsingi mwanamke anatakiwa ajue mume wake anapenda vyakula gani na ndio ajitahidi kupika hivyo

Sasa kila siku unaniuliza nitakula nini ina maana miaka yote tumeishi wote bado tu hujui napendelea kula nini?

Kimsingi hili swali halitakiwi kujirudia kila siku
 
Huu uzi umenikumbusha mbali sana, kuna siku moja Mke alimuuliza Mume leo nipike nini? Mume wake akamjibu pika Mapapai 😀 😀 😀 😀 😀 😀
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hakumjibu kistaarabu
 
Moja kati ya swali ambalo halinichoshi, napenda sana pale nikiwa kwenye mihangaiko yangu ya kutafuta shilingi then mke wangu aniulize hilo swali.... Jibu langu huwa ni moja tu [emoji117] "Chochote ukipendacho mke wangu" [emoji39][emoji39][emoji39]
 
Mwambie EBOO hiyo ni department yako you are the one who is supposed to make the decision day in day out. Ushajaza freezer na mazagazaga yote yeye aamue tu lakini si vibaya pia siku moja moja labda unatamani ugali dagaa 😂😂😂
"Bebi Leo tunakula nini?"

Hivi chakula nimenunua, Maharage, mchele, unga, viazi, nyama, samaki vyote viko kwenye kitchen Den na kwenye friji kuna kila kitu.

Sasa kwanini uniulize tunakula nini? Wewe huwezi kujiongeza kweli kufanya assortment ya chakula cha kupika.
 
"Bebi Leo tunakula nini?"

Hivi chakula nimenunua, Maharage, mchele, unga, viazi, nyama, samaki vyote viko kwenye kitchen Den na kwenye friji kuna kila kitu.

Sasa kwanini uniulize tunakula nini? Wewe huwezi kujiongeza kweli kufanya assortment ya chakula cha kupika.
Mimi nakereka kupita maelezo mkuu, yaani nakwazika na hili nilishaliongea lakini hakuna suluhu.
 
Hio kila siku ndio limenifanya niweke bandiko. Hamna raha kama ukute mama kasharekebisha we ni kula tu. Ndio raha ya mke [emoji16]
Niangaike kutafuta pesa na kununua kila kitu then nije kuangaika tena kuwaza kipikwe nini [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Kwangu mimi ni big NO na hili swali linaleta hasira sana.
 
Hamjui mnachokitaka nyie.
Usigeneralize! Ni mtoa mada pekee na wachangiaji wachache! Mimi naamini katika kila swali niulizwalo basi kuna logic, mke wangu akiniuliza hili swali huwa nafurahia sana kwani huwa najua sio kama anashindwa kuchagua cha kupika lah! Bali anataka niwe na amani, hamu na pia nifurahie chakula nitakachokikuta kiasi kwamba nile vizuri/kizuri nikipendacho.
[emoji106][emoji106][emoji106]
 
Back
Top Bottom