cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Yani na sikuhizi walalamishi Sana, sijui Wana shida gani, mie bebi huniambia Leo naomba nipikie kitu flaniYaani wanaume hawana jema wallah...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani na sikuhizi walalamishi Sana, sijui Wana shida gani, mie bebi huniambia Leo naomba nipikie kitu flaniYaani wanaume hawana jema wallah...
Kwema kabisaOoooh wacha weee......hata simba jike linazaa. Kwema lakini mkuu
Mshaanza kukomoana, si muachane tu ndugu.Hata kama unafanya kazi, hivi unaanzaje kumuuliza mmeo kila siku swali hilo na unajua fika ashakwambia hapendi kuulizwa.
Kama hujui cha kupika mi ntakuwa nakula nakotoka huko mpaka utie akili. Na hichi ndio kitakachofuata maana inachosha sasa.
Mimi nikipata mume gubu ka wewe nakupikia ugali maharage ka wa shule daily huku najipikia vyangu vinono wewe hulambi si hautaki kuulizwaHata wewe unaweza weka ratiba kama unaona kuwaza tabu.
Hiyo kutafuta ada na kodi sio jambo la kuwaza mbona ni la kuwekea mipango kwahiyo siwezi kushindwa. Kama hata nikikaa peke angu nalipa kodi na ada na matumizi mengine hajawahi nisumbua ila swala la kupika nini halijawahi acha nisumbua. Na sio kwamba sijui kupika [emoji23][emoji23] I can cook yani any swahili dish you name it. Ila ile kuwaza leo napika nini ndio mtihani mzito sana. Huwezi kuelewa mpaka ungekua uko kwenye hiyo position. Najua wakaka na wababa hawapendi kuulizwa hilo swali ila siku moja moja muwe mnatujibuKama kuwaza kunakupa shida si uweke ratiba sasa. We kuwaza kupika chapati na maharage kunakupa shida ukiambiwa uwaze ada na kodi vinapatikana vipi utaweza wewe?
Siku moja moja sawa ila sio 3 times in a row we unaulizaga tu. Tunapika nini leo? Hilo swali muwaulizege mashoga zenu sio washua.Hiyo kutafuta ada na kodi sio jambo la kuwaza mbona ni la kuwekea mipango kwahiyo siwezi kushindwa. Kama hata nikikaa peke angu nalipa kodi na ada na matumizi mengine hajawahi nisumbua ila swala la kupika nini halijawahi acha nisumbua. Na sio kwamba sijui kupika [emoji23][emoji23] I can cook yani any swahili dish you name it. Ila ile kuwaza leo napika nini ndio mtihani mzito sana. Huwezi kuelewa mpaka ungekua uko kwenye hiyo position. Najua wakaka na wababa hawapendi kuulizwa hilo swali ila siku moja moja muwe mnatujibu
Mi nikiwaza chakula cha mchana we uwaze cha usiku. Maisha kusaidiana. Kwani kusema unachojisikia kula kuna shida gani. Mimi ningekaa na wewe ungekula chakula cha aina moja mpaka ujue kusema unachotaka kulaSiku moja moja sawa ila sio 3 times in a row we unaulizaga tu. Tunapika nini leo? Hilo swali muwaulizege mashoga zenu sio washua.
Mkuu inaonesha umepata perfect, ideal husband coz kila malalamiko ya wanaume humu umekua ukiyaponda na kudai 'hubby' wako hayupo hvoo 😄Yani na sikuhizi walalamishi Sana, sijui Wana shida gani, mie bebi huniambia Leo naomba nipikie kitu flani
Tena mi nakomaa mpaka useme.. [emoji1787][emoji1787]Siku moja moja sawa ila sio 3 times in a row we unaulizaga tu. Tunapika nini leo? Hilo swali muwaulizege mashoga zenu sio washua.
Hata kwenye kupika pia unaweza weka mipango pia mkuu, km 'my wife' wa mdau aliyeweka mipango ya wiki nzimaHiyo kutafuta ada na kodi sio jambo la kuwaza mbona ni la kuwekea mipango kwahiyo siwezi kushindwa. Kama hata nikikaa peke angu nalipa kodi na ada na matumizi mengine hajawahi nisumbua ila swala la kupika nini halijawahi acha nisumbua. Na sio kwamba sijui kupika [emoji23][emoji23] I can cook yani any swahili dish you name it. Ila ile kuwaza leo napika nini ndio mtihani mzito sana. Huwezi kuelewa mpaka ungekua uko kwenye hiyo position. Najua wakaka na wababa hawapendi kuulizwa hilo swali ila siku moja moja muwe mnatujibu
Sawa hayo yapo lakini some time inakua too much, sisi wanaumme kunawakati tunahitaji mda wa concentration, ili kutatua matatizo mengine ya kazi na familia......Humpendi, kuna kuchoka mtu akikulalia unaweza kumwambia plz jitegemee nimechoka mguu, kama akikulalia tu unakereka humpendi, tafuta unayempenda uishi nae na kama moyo wako hauna upendo hauwezi kupenda mtu ishi mwenyewe, very simple.
Ukipika ugali maharage sili 😂 bora hata wali maharage.Hivyo vinono unavipukia wapi sasa ambako mi sioniMimi nikipata mume gubu ka wewe nakupikia ugali maharage ka wa shule daily huku najipikia vyangu vinono wewe hulambi si hautaki kuulizwa
Hiyo ratiba iwe ya mwezi mzima ya wiki na yenyewe huwaga inachosha. Na kuandaa hiyo ratiba itabidi tukae kama familia tuiandae.Hata kwenye kupika pia unaweza weka mipango pia mkuu, km 'my wife' wa mdau aliyeweka mipango ya wiki nzima
😂😂😂😂 Dada acha tuSasa mdogo wangu kama wewe usipoulizwa nani aulizwe? 😀😀