mulwanaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 5,262
- 12,855
Pole sana hao viumbe tuwe tuna wasamehe mambo mengine duh ndo walivyo.Mpaka Sasa hv sijala BSE Alikuwa hajui apike Nini
****
Nipo Chumbani yupo sebuleni anacheza Bubble shooter..Baada ya kumwambia Sina njaa
Hapa wakwangu ndo ananiuliza eti Mume unakula sasa hivi? wakati anajua tukimaliza taarifa ya habari ya Azam ndo tunakula...ni meshindwa hata kumjibu loh