Kweli kabisa.Laki tano nyingi sana mkuu, Kuna akina mama wanajenga kwa kukusanya elfu tano ya Mauzoi ya mihogo na vitumbua tu. Kujenga ni sula la maamuzi magumu tu. Kama wauza K wanajenga , mama ntilie, bodaboda, washona viatu n.k hata wewe Mwalimu unaweza kujenga ukiamua kuacha majungu na Kuisadiia CCM kuendelea kubaki madarakani
Dar hii hii kila kitu kinawezekana ukitia Nia!!Mkuu kwa dar es salaam au wap tupe location
Andika kiheshima tukupe maarifa.Anawezaje bi mkubwa wakati hela zote mnafaidi nyie ma fisiemu?
Yaani pole sana . Ila nyinyi walimu ndio mnao husika kuisaidia ccm kuiba kura. Kisa mnaogopa kupeteza kazi kumbe kazi zenyewe mnazo ogopa kupoteza ni kazi za kujitolea. Walimu mnaelimu ya kutosha kuliko wabunge wengi na wakuu wa mikowa hata badhi ya mawaziri halafu mnakubali kupagiwa mshahara sawa na posho ya siku moja ya wabunge? Mmeshindwa kujipanga na kudai masirahi yenu?Mbona naona kama nimekuja kuwasindikiza walimwengu? Age 30, kazi mshika chaki, familia na mke mtoto mmoja, elimu degree, uwezo wa kukopeshwa million 15, nina miaka 2 kazini,
Naweza kujenga nyumba? Au niachane na pressure za kujenga? Niende nikalime? Naona Kama nawasindikiza wanadamu hivi. Sioni nikijenga kabisa.
Ni kweli kabisa, tunashindwa kuwekeza kwa kwasababu ya hofu.Hizi kazi za ualimu wa shule ya msingi na secondary ukitegemea mshahara peke yake kutoboa ni ngumu hasa ukiwa unaishi mikoa kama dar.Uzuri wa ualimu unamuda mwingi wa kufanya shughuli zako binafsi
Maarifa ya kifisiemu eeh?Andika kiheshima tukupe maarifa.
Kweli kabisa mkuu. Ukipanga kula nyama na bia kila siku au ukapanga kula ugali na ngogwe kila siku huo ni uchaguzi pia.Nimeshanunua kiwanja 2.5M na nipo najipanga kujenga kuanzia mwakani na mahahara ni laki 3.
KUPANGA NI KUCHAGUA
π€£π€£π€£π€£π€£nikweliKweli kabisa mkuu. Ukipanga kula nyama na bia kila siku au ukapanga kula ugali na ngogwe kila siku huo ni uchaguzi pia.
Sawa nduguDar hii hii kila kitu kinawezekana ukitia Nia!!
Mkuu kumbe uko uvinza?huko ndo penyewe sasa,chekecha akili vizuri wewe kutoboa ni lazima,laki 5 nyingi Sana achana na wazo la kukopa!!!Kweli kabisa. Nitajiongezea mbele ya safari, huku uvinza ardhi cheap sana
Kiwanja ninacho uko mkoani nilipotoka, lakini nawaza nijengee uku nilipo.Mkuu kumbe uko uvinza?huko ndo penyewe sasa,chekecha akili vizuri wewe kutoboa ni lazima,laki 5 nyingi Sana achana na wazo la kukopa!!!
Kwa take home yako unatakiwa uwe na viwanja hata vitatu Kwa muda uliokaa kazini!!
Degree holder anashindwa kujua mchanganuo wa pesa aliyonayo ili kujenga.....teacher πππ