Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona Zanzbar ndiyo yupo kiintrest kuliko wote na anachukia wabara kuliko hata warundiZanzibar ndo jiran wa ukweli,Hadi tukaunga c kitu kidgo wengine wote waliobaki n wanafiki tuu wapo kwa interest zao.
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Ahaa kumbe ni superiority complex.Tunawapenda Burundi kwakuwa tunammudu mmnyonge Ila great powerful rivals tunawakwepa Kenya Rwanda
Msumbiji wanaongea kiswahili kwel?Msumbiji
Uende Kenya ujihisi uko nyumbani?Kenya japo ni washindani wetu wakubwa
We mzanzibari Zanzibar no mkoa uliochangamka itoe hapoHao jamaa ni kama sisi sio majirani nao!
Zambia?
Hujui kuwa Zambia na DRCongo nao ni majirani zetu?
Ni kwa masikitiko makubwa, kwamba kati ya hao wote uliowataja, hakuna rafiki wa kweli, huo ndio ukweli wenyewe.
Lakini ukitaka kulazimisha urafiki basi mpangilio utakuwa hivi kuanzia wa karibu zaidi:
Burundi, Uganda, Zambia, Msumbiji, DRC, Malawi, Kenya, Rwanda na mwisho Zanzibar.
Lengo la SGR ikikuwa ni kukamata soko la DRC. Ilipianza iliwaumiza sana wakenya. Nashangaa kuona mtu juzi anaenda Kenya na kuingizea chaka kwa mara nyingine.Kama nchi tumepoteza,Dar es Salaam ndio ilikua kioo cha Africa nzima kusikiliza tamko kutoka Dar es Salaam, binafsi Zambia 🇿🇲 ya sasa ndio nchi rafiki na ni vema viongozi wetu wawe karibu na hii nchi hasa kibiashara na kiurafiki,DRC tujipange sana tuwavute kibiashara na tukifanikiwa kupata even 30%ya biashara yake tutanufaika sana kama nchi, kwa sasa bado sana DRC anatumia sana Durban, walvis bay na Beira, inabidi bandari yangu ya Dar, tuache politics tufanye kazi
Kwa Tanzania ni waTanzania wenyeweUSA wana Canada, Nigeria wana Ghana, Australia wana New zeeland.
Namaanisha yule jirani ambaye hata ukienda kumtembelea unahisi uko nyumbani tu haubaguliwi. Mila zinaendana.
Kwa Tanzania ni nani? Kenya? Uganda? Rwanda? Burundi? Malawi? Msumbiji?
Kenya Magufuli aliwapeleka Puta kivipi wakati hadi anakufa Kenya ilipiga marufuku mahindi kutoka Tanzania?Acha uboya wewe,
kumbuka kipindi cha magufuli huyo kenya tulivompeleka puta puta.
South Africa wananchi wa kawaida hawaijui hata Tanzaniasouth africa na tanzania.mpaka leo watafunya vurugu ila kwa mtanzania hakuna.nimeona hata wakenya wanajifanya watanzania na wasomali kule south
UPO SAWA, ILA KENYA NI RAFIKI WA MWISHO, ZANZIBAR WANA AFADHALI KULIKO KENYA.Hao jamaa ni kama sisi sio majirani nao!
Zambia?
Hujui kuwa Zambia na DRCongo nao ni majirani zetu?
Ni kwa masikitiko makubwa, kwamba kati ya hao wote uliowataja, hakuna rafiki wa kweli, huo ndio ukweli wenyewe.
Lakini ukitaka kulazimisha urafiki basi mpangilio utakuwa hivi kuanzia wa karibu zaidi:
Burundi, Uganda, Zambia, Msumbiji, DRC, Malawi, Kenya, Rwanda na mwisho Zanzibar.
Mtu yupi?Lengo la SGR ikikuwa ni kukamata soko la DRC. Ilipianza iliwaumiza sana wakenya. Nashangaa kuona mtu juzi anaenda Kenya na kuingizea chaka kwa mara nyingine.
Hujui nani alikuwa huko hivi majuziMtu yupi?