Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
HapanaHujui nani alikuwa huko hivi majuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HapanaHujui nani alikuwa huko hivi majuzi
Basi endelea kutu, IA tv ya ahemeji kuangalia katuni😂😂. Jokes usimandiHapana
MombasaUSA wana Canada, Nigeria wana Ghana, Australia wana New zeeland.
Namaanisha yule jirani ambaye hata ukienda kumtembelea unahisi uko nyumbani tu haubaguliwi. Mila zinaendana.
Kwa Tanzania ni nani? Kenya? Uganda? Rwanda? Burundi? Malawi? Msumbiji?
Kwa msumbiji hana undugu wowote.Msumbiji
Msumbiji wanaoongea kiswahili ila sio sana na saivi kinakuwa.Msumbiji wanaongea kiswahili kwel?
Nchi jirani ni huko kwa wasukuma.USA wana Canada, Nigeria wana Ghana, Australia wana New zeeland.
Namaanisha yule jirani ambaye hata ukienda kumtembelea unahisi uko nyumbani tu haubaguliwi. Mila zinaendana.
Kwa Tanzania ni nani? Kenya? Uganda? Rwanda? Burundi? Malawi? Msumbiji?
Kama "Zanzibar ni mkoa uliochangamka" kama unavyosema wewe, basi mikoa yote ingechangamka vile, Tanzania ingekuwa ya ajabu sana duniani.We mzanzibari Zanzibar no mkoa uliochangamka itoe hapo
Unaweza kuwa sawa mkuu, hata mie nilipata shida sana kuwapanga katika nafasi zao hao wawili.UPO SAWA, ILA KENYA NI RAFIKI WA MWISHO, ZANZIBAR WANA AFADHALI KULIKO KENYA.
Nchi zote hizi mimi nimezitembelea na kwa maoni yangu Burundi ni nchi bora sana kwa majirani zetu, sikuona kero yoyote ambayo ilinisumbuaUSA wana Canada, Nigeria wana Ghana, Australia wana New zeeland.
Namaanisha yule jirani ambaye hata ukienda kumtembelea unahisi uko nyumbani tu haubaguliwi. Mila zinaendana.
Kwa Tanzania ni nani? Kenya? Uganda? Rwanda? Burundi? Malawi? Msumbiji?
Ninakubaliana nawe.Story za kupendana alisepa nazo Nyerere,Ndio maana hata Magu alisema Tz ilimwaga damu nyingi na kutumia resources zake kibao kwny ukombozi wa nchi za kusini mwa Africa na in return ilipata Nini? Nothing
Mahusiano ya Sasa Ni ya kimaslahi tu,mengine ni kulishana upepo tu
Ungesema kwa sauti kubwa, au kwa kupiga makelele kabisa ili walioweka pamba masikioni huko kunakotolewa maamuzi wakusikie.Kama nchi tumepoteza,Dar es Salaam ndio ilikua kioo cha Africa nzima kusikiliza tamko kutoka Dar es Salaam, binafsi Zambia 🇿🇲 ya sasa ndio nchi rafiki na ni vema viongozi wetu wawe karibu na hii nchi hasa kibiashara na kiurafiki,DRC tujipange sana tuwavute kibiashara na tukifanikiwa kupata even 30%ya biashara yake tutanufaika sana kama nchi, kwa sasa bado sana DRC anatumia sana Durban, walvis bay na Beira, inabidi bandari yangu ya Dar, tuache politics tufanye kazi
Haujui tu jinsi gani watanzania(wachimbaji wa madini) walivyofurushwa hapo msumbiji Kama magaidi huku wakikataliwa kuchukua kitu chochote kile walichokua wanamiliki.KENYA na MSUMBIJI, hizo nchi ukienda Mtanzania haina noma kabisa yaan unaishi kama kwenu tu.
Aliyekwambia ninani? jaribu kuenda msumbiji saivi halafu njoo utoe feedabackKENYA na MSUMBIJI, hizo nchi ukienda Mtanzania haina noma kabisa yaan unaishi kama kwenu tu.
Haijui huyo ndio maana anaongea kwa mihemko.Haujui tu jinsi gani watanzania(wachimbaji wa madini) walivyofurushwa hapo msumbiji Kama magaidi huku wakikataliwa kuchukua kitu chochote kile walichokua wanamiliki.
Rwanda.USA wana Canada, Nigeria wana Ghana, Australia wana New zeeland.
Namaanisha yule jirani ambaye hata ukienda kumtembelea unahisi uko nyumbani tu haubaguliwi. Mila zinaendana.
Kwa Tanzania ni nani? Kenya? Uganda? Rwanda? Burundi? Malawi? Msumbiji?
Kidogo,.Haujui tu jinsi gani watanzania(wachimbaji wa madini) walivyofurushwa hapo msumbiji Kama magaidi huku wakikataliwa kuchukua kitu chochote kile walichokua wanamiliki.