Pre GE2025 Hivi ndio tuseme Wahariri wanaamini Tanzania hakuna ‘Electoral fraud’?

Pre GE2025 Hivi ndio tuseme Wahariri wanaamini Tanzania hakuna ‘Electoral fraud’?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Anonymous Caller

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2016
Posts
679
Reaction score
870
Nimejikuta nimemuonea huruma Tundu Lissu.
Huruma ni sifa na silka ambazo binadamu hajifunzi.
Nilistudy body language ya Lissu kabla na baada ya kupata reaction asiyotarajia kutoka kwa Wahariri.
Wahariri wamemwangusha sana Lissu especially Deodatus Balile.
Wahariri wa Tanzania sijui mnahariri nini.

Pia nilipojaribu ku-study nyuso za hao wahariri kabla ya hata ya maswali yao nilidharau hapohapo.
Kwanza Inaonekana wamezolewa-zolewa tu.
Wapo wastaafu, Wengine watangazaji wa michezo..walikuwepo makada nk. Sikumuona Aloyce Nyanda pale wala Kikeke
Nilichoka.

Baada ya kusikiliza kwa utulivu ufafanuzi wa Lissu juu ya changamoto zinazozingira chaguzi za Tanzania, ni mwendawazimu tu ndiye ataamini kwamba Tanzania tuna chaguzi huru na za haki.

Ameleeza mambo mengi kwa kirefu, kiweledi, huku akitoa mifano kadhaa ya madhira aliyokutana nayo yeye binafsi na wenzake.

Ni dhahiri Tanzania tuna chaguzi zilizojaa election irregularities kila mahali....hili jambo hata watoto wetu wanajua.

Yaani ni afadhali hata Chadema wangefanya press na wadogo zetu wa Daruso...au Daruso za vyuo vingine.
Zamani ukijua unaenda kuhojiwa na Wahariri ulitakiwa uende umejipanga.
Kumbe siku hizi ndio zero kabisa. Nyakati kweli ni ukuta.
 
There is something in human, when they've an agenda of their own, it's been always manifested that no amount of truth will do.

Kabla ya kuwalaumu hao, zingatia kwamba hata ndani ya CDM yenyewe takriban nusu ya makada wakubwa haziivi na TAL.

Mfano mzuri ni kilichotokea kabla, wakati na baada ya uchaguzi mkuu chamani.

Pili, hao wahariri walitakiwa kufanya nini, kwa mfano? Kusimpathaiz na TAL?

I mean, what did you expect that did not happen?

Tambua kwamba politics ni a game of influence and winning all groups - media outlets included.

Kama TAL alishindwa kuwashawishi hao, hilo ni kosa lake. Kama wahariri hawakuwa tayari kushawishiwa vyovyote vile, basi hilo ni kosa lao na pigo kuu kwa taifa.

Mwisho lakini si kwa umuhimu, hivi wahariri nao wana haki ya kuchagua upande wa kisiasa?

Kama ndivyo, hebu fikiria kwao wengi wao wako Sisiemu au chama kingine tofauti na CDM, unategemea nini?

Yote kwa yote, chama chochote cha upinzani kijifunze kwamba kutwaa madaraka, hususan kukiondoa chama tawala, siyo lelemama wala zoezi la usiku mmoja - it's a serious, constant business.

Until then, Sa100 mitano tena!
 
Umeongea
There is something in human, when they've an agenda of their own, it's been always manifested that no amount of truth will do.

Kabla ya kuwalaumu hao, zingatia kwamba hata ndani ya CDM yenyewe takriban nusu ya makada wakubwa haziivi na TAL.

Mfano mzuri ni kilichotokea kabla, wakati na baada ya uchaguzi mkuu chamani.

Pili, hao wahariri walitakiwa kufanya nini, kwa mfano? Kusimpathaiz na TAL?

I mean, what did you expect that did not happen?

Tambua kwamba politics ni a game of influence and winning all groups - media outlets included.

Kama TAL alishindwa kuwashawishi hao, hilo ni kosa lake. Kama wahariri hawakuwa tayari kushawishiwa vyovyote vile, basi hilo ni kosa lao na pigo kuu kwa taifa.

Mwisho lakini si kwa umuhimu, hivi wahariri nao wana haki ya kuchagua upande wa kisiasa?

Kama ndivyo, hebu fikiria kwao wengi wao wako Sisiemu au chama kingine tofauti na CDM, unategemea nini?

Yote kwa yote, chama chochote cha upinzani kijifunze kwamba kutwaa madaraka, hususan kukiondoa chama tawala, siyo lelemama wala zoezi la usiku mmoja - it's a serious, constant business.

Until then, Sa100 mitano tena!
Umeongea vizuri sana je CDM iliandaa bahasha zozote kwa ajili ya hao wahariri. Kama ujuavyo vyombo vyetu vya habari ni njaa tupu issue kubwa kama hii inatakiwa pia na mbinu za ushawishi kwa baadhi ya watu. Hasa huyo Balele. Hata hivyo wanaendelea kujifunza. Kwanza hawawajishutukia tu CHDEMA matukio yao yote waliofanya hakuna hata moja ambalo limetoka kwenye gazeti lolote bado wana imani na vyombo hivyo. CDM wanapaswa wajue kuwa issue za siasa humu ndani nchini ni ngumu sana kwanza huwezi kukut,, a mtu ameweka bendera ya CDM nyumbani kwake siku hizi hiyo nyumba inaweza ikabomolewa tofauti na enzi za kikwete na Mkapa. Hakuna mtu yoyote hivi sasa ambaye yupo tayari kujionyesha yeye ni mpinzani kwa sasa kama si moja kwa moja anacheo chochote kwenye hicho chama. Kwa hiyo hata hivyo vyombo vya habari hakuna hata kimoja ambaacho kipo tayari kuonyesha kuwa kinaungavmkono ajenda za CDM hata kama zinamanufaa kwa sababu wananchi.
 
Nimejikuta nimemuonea huruma Tundu Lissu.
Huruma ni sifa na silka ambazo binadamu hajifunzi.
Nilistudy body language ya Lissu kabla na baada ya kupata reaction asiyotarajia kutoka kwa Wahariri.
Wahariri wamemwangusha sana Lissu especially Deodatus Balile.
Wahariri wa Tanzania sijui mnahariri nini.

Pia nilipojaribu ku-study nyuso za hao wahariri kabla ya hata ya maswali yao nilidharau hapohapo.
Kwanza Inaonekana wamezolewa-zolewa tu.
Wapo wastaafu, Wengine watangazaji wa michezo..walikuwepo makada nk. Sikumuona Aloyce Nyanda pale wala Kikeke
Nilichoka.

Baada ya kusikiliza kwa utulivu ufafanuzi wa Lissu juu ya changamoto zinazozingira chaguzi za Tanzania, ni mwendawazimu tu ndiye ataamini kwamba Tanzania tuna chaguzi huru na za haki.

Ameleeza mambo mengi kwa kirefu, kiweledi, huku akitoa mifano kadhaa ya madhira aliyokutana nayo yeye binafsi na wenzake.

Ni dhahiri Tanzania tuna chaguzi zilizojaa election irregularities kila mahali....hili jambo hata watoto wetu wanajua.

Yaani ni afadhali hata Chadema wangefanya press na wadogo zetu wa Daruso...au Daruso za vyuo vingine.
Zamani ukijua unaenda kuhojiwa na Wahariri ulitakiwa uende umejipanga.
Kumbe siku hizi ndio zero kabisa. Nyakati kweli ni ukuta.
Hata mimi nimesikitika sana, yule jamaa mwenye mashavu manene sijui ndio Balile, alivyokuwa anamkandamiza kwa maswali ya kichokozi alifikiri atashindwa kuyapangua.
 
Nimejikuta nimemuonea huruma Tundu Lissu.
Huruma ni sifa na silka ambazo binadamu hajifunzi.
Nilistudy body language ya Lissu kabla na baada ya kupata reaction asiyotarajia kutoka kwa Wahariri.
Wahariri wamemwangusha sana Lissu especially Deodatus Balile.
Wahariri wa Tanzania sijui mnahariri nini.

Pia nilipojaribu ku-study nyuso za hao wahariri kabla ya hata ya maswali yao nilidharau hapohapo.
Kwanza Inaonekana wamezolewa-zolewa tu.
Wapo wastaafu, Wengine watangazaji wa michezo..walikuwepo makada nk. Sikumuona Aloyce Nyanda pale wala Kikeke
Nilichoka.

Baada ya kusikiliza kwa utulivu ufafanuzi wa Lissu juu ya changamoto zinazozingira chaguzi za Tanzania, ni mwendawazimu tu ndiye ataamini kwamba Tanzania tuna chaguzi huru na za haki.

Ameleeza mambo mengi kwa kirefu, kiweledi, huku akitoa mifano kadhaa ya madhira aliyokutana nayo yeye binafsi na wenzake.

Ni dhahiri Tanzania tuna chaguzi zilizojaa election irregularities kila mahali....hili jambo hata watoto wetu wanajua.

Yaani ni afadhali hata Chadema wangefanya press na wadogo zetu wa Daruso...au Daruso za vyuo vingine.
Zamani ukijua unaenda kuhojiwa na Wahariri ulitakiwa uende umejipanga.
Kumbe siku hizi ndio zero kabisa. Nyakati kweli ni ukuta.
Umeeleza vizuri sana.
Kwa mara nyingine imejihakikishia kua Tanzania wahariri wetu ni AGENS OF DOOM, na hii ni moja the ethical dilemma ambayo itaimpact sana kwa muda mrefu na kuendeleza status quo. Hawa wahariri ni kizazi na wamejawa na propaganda za fikra za CCM, hawako independent kabisa na hawana "critical:" thinking. Na kwa wakati wowote anabadirika kabisa kwa nyakati. Balile anasema kipindi cha JPM kilikua kinajulikana kwa mambo yake, na anasema wazi kabisa kipindi hizi hakina matatizo. Unafiki, na imeonesha kweli kabisa hawa wanatumiwa sana na CCM, and are in their payroll.

Consequesnce ni kubwa, kwa sababu wataendeleza hii tabia kwa muda mrefu sana kwa kuandika Habari za uongo.
Na Habari za uongo zinaharibu kizazi kijacho maana wataamini uongo.

Huyu mwingine Paskali, ameongea vitu kama vile anaishi nymba moja na Rais, hata kuyajua Mawazo yake, eti " mama anaongeleka"; alivyojibiwa na Mnyika na Lissu aliduwaa wala hakuwa na swali la kuongeza. Yaani hawa watu wanajibu maswali ambayo ilikuwa anayajibu Wasira, sasa unaongea na Wasira au Waandihsi.

Hitimisho, cha kushangaza kabisa hata walioambiwa kuhusu vifo na majeruhi yaiyosababishwa na CCM hawakuonyesha regret na remorse, fikiria hata mwandishi mwenzao Gwanda hawakutaka Lisu afafanue; ili tu walitaka zaidi kuwajibia maswali CCM.

Kila nchi ukitaka kuona AFYA ya nchi angalia Wahariri, siwezi kumlinganisha Balile na Mkapa hata siju moja; hawa kweli ni aibu ya NCHI.
 
Nimejikuta nimemuonea huruma Tundu Lissu.
Huruma ni sifa na silka ambazo binadamu hajifunzi.
Nilistudy body language ya Lissu kabla na baada ya kupata reaction asiyotarajia kutoka kwa Wahariri.
Wahariri wamemwangusha sana Lissu especially Deodatus Balile.
Wahariri wa Tanzania sijui mnahariri nini.

Pia nilipojaribu ku-study nyuso za hao wahariri kabla ya hata ya maswali yao nilidharau hapohapo.
Kwanza Inaonekana wamezolewa-zolewa tu.
Wapo wastaafu, Wengine watangazaji wa michezo..walikuwepo makada nk. Sikumuona Aloyce Nyanda pale wala Kikeke
Nilichoka.

Baada ya kusikiliza kwa utulivu ufafanuzi wa Lissu juu ya changamoto zinazozingira chaguzi za Tanzania, ni mwendawazimu tu ndiye ataamini kwamba Tanzania tuna chaguzi huru na za haki.

Ameleeza mambo mengi kwa kirefu, kiweledi, huku akitoa mifano kadhaa ya madhira aliyokutana nayo yeye binafsi na wenzake.

Ni dhahiri Tanzania tuna chaguzi zilizojaa election irregularities kila mahali....hili jambo hata watoto wetu wanajua.

Yaani ni afadhali hata Chadema wangefanya press na wadogo zetu wa Daruso...au Daruso za vyuo vingine.
Zamani ukijua unaenda kuhojiwa na Wahariri ulitakiwa uende umejipanga.
Kumbe siku hizi ndio zero kabisa. Nyakati kweli ni ukuta.
Hii nchi tunachojari ni kuishi Leo, hatuna principle yoyote,tunaishi kichawa tu,
Juzi nilikuwa naangalia mahojiano ya Kimani Ichungwa, Majority leader katika bunge LA Kenya, na Mehdi Hassan wa Al Jazeera, head to , head, nikawaza hv ukiacha mkapa, kuna mtu yoyote kwenye ccm anaweza kuwa eloquent kiasi kile?, tuna maprofesa, na madokta ambao wakiongea, utafikiri ni vijana wa std 7! jiwe na ndalichako
 
LISU ajifunze na aone hali halisi ya mapokeo ya agenda zake ngumu kumeza kama hii ya No Reform No Election. Yaani huku mitaani SIO CDM wala CCM wote hayupo anayehangaika na agenda hii.
TL ajifunze kwa mtangulizi wake. Jamii ya watanzania haina huo utamaduni wa siasa za "kiuanaharakati".
Tukiongea na mapovu mdomoni huku shingo imekukakamaa tu, watanzania wanakudharau.
Watanzania wako tofauti kabisa na wakenya Mathalan ktk ishu ya Gen Z majuzi.
Kingine cha mwisho ni maendeleo na huduma za msingi zilivyosambazwa kote nchini
1. Maji
2. Umeme
3. Mabarabara
4. Shule na miundombinu yake
5. Fedha Iko mitaani
6. Private sector imepewa kipaumbele
7. Hela mitaani zipo
8. Ajira ndogo ndogo kibao, kuanzia bodaboda, viwandani, migodini n.k
UTULIVU huu wa nchi unawafanya hasa VIJANA wasite kutibua equilibrium kwa kuingia kwenye harakati za hovyo.
Akikubali kushauriwa basi aachane tu na na msimamo mkali wa no election.
Bora ashirikiane na WENZAKE kuhakikisha reform zinaendelea kutafutiwa platforms zingine ikibidi mashinikizo ya kimataifa zaidi. Ila kuzuia uchaguzi ni kujidhalilisha tu
 
There is something in human, when they've an agenda of their own, it's been always manifested that no amount of truth will do.

Kabla ya kuwalaumu hao, zingatia kwamba hata ndani ya CDM yenyewe takriban nusu ya makada wakubwa haziivi na TAL.

Mfano mzuri ni kilichotokea kabla, wakati na baada ya uchaguzi mkuu chamani.

Pili, hao wahariri walitakiwa kufanya nini, kwa mfano? Kusimpathaiz na TAL?

I mean, what did you expect that did not happen?

Tambua kwamba politics ni a game of influence and winning all groups - media outlets included.

Kama TAL alishindwa kuwashawishi hao, hilo ni kosa lake. Kama wahariri hawakuwa tayari kushawishiwa vyovyote vile, basi hilo ni kosa lao na pigo kuu kwa taifa.

Mwisho lakini si kwa umuhimu, hivi wahariri nao wana haki ya kuchagua upande wa kisiasa?

Kama ndivyo, hebu fikiria kwao wengi wao wako Sisiemu au chama kingine tofauti na CDM, unategemea nini?

Yote kwa yote, chama chochote cha upinzani kijifunze kwamba kutwaa madaraka, hususan kukiondoa chama tawala, siyo lelemama wala zoezi la usiku mmoja - it's a serious, constant business.

Until then, Sa100 mitano tena!
Unakubali kuwa kukiondoa chama tawala ni kazi ngumu kwani chama tawala kinatumia nguvu kubwa ya dola, lakini mwishoni unatumbukia kwenye ujinga wa kusema Samia 5 tena! Akili za watanzania ndivyo zilivyo mbovu ndio maana CCM inasitawi sana.
 
Nimejikuta nimemuonea huruma Tundu Lissu.
Huruma ni sifa na silka ambazo binadamu hajifunzi.
Nilistudy body language ya Lissu kabla na baada ya kupata reaction asiyotarajia kutoka kwa Wahariri.
Wahariri wamemwangusha sana Lissu especially Deodatus Balile.
Wahariri wa Tanzania sijui mnahariri nini.

Pia nilipojaribu ku-study nyuso za hao wahariri kabla ya hata ya maswali yao nilidharau hapohapo.
Kwanza Inaonekana wamezolewa-zolewa tu.
Wapo wastaafu, Wengine watangazaji wa michezo..walikuwepo makada nk. Sikumuona Aloyce Nyanda pale wala Kikeke
Nilichoka.

Baada ya kusikiliza kwa utulivu ufafanuzi wa Lissu juu ya changamoto zinazozingira chaguzi za Tanzania, ni mwendawazimu tu ndiye ataamini kwamba Tanzania tuna chaguzi huru na za haki.

Ameleeza mambo mengi kwa kirefu, kiweledi, huku akitoa mifano kadhaa ya madhira aliyokutana nayo yeye binafsi na wenzake.

Ni dhahiri Tanzania tuna chaguzi zilizojaa election irregularities kila mahali....hili jambo hata watoto wetu wanajua.

Yaani ni afadhali hata Chadema wangefanya press na wadogo zetu wa Daruso...au Daruso za vyuo vingine.
Zamani ukijua unaenda kuhojiwa na Wahariri ulitakiwa uende umejipanga.
Kumbe siku hizi ndio zero kabisa. Nyakati kweli ni ukuta.
Waandishi wa habari wengi ni vilaza, machawa, na hawaaminiki
 
LISU ajifunze na aone hali halisi ya mapokeo ya agenda zake ngumu kumeza kama hii ya No Reform No Election. Yaani huku mitaani SIO CDM wala CCM wote hayupo anayehangaika na agenda hii.
TL ajifunze kwa mtangulizi wake. Jamii ya watanzania haina huo utamaduni wa siasa za "kiuanaharakati".
Tukiongea na mapovu mdomoni huku shingo imekukakamaa tu, watanzania wanakudharau.
Watanzania wako tofauti kabisa na wakenya Mathalan ktk ishu ya Gen Z majuzi.
Kingine cha mwisho ni maendeleo na huduma za msingi zilivyosambazwa kote nchini
1. Maji
2. Umeme
3. Mabarabara
4. Shule na miundombinu yake
5. Fedha Iko mitaani
6. Private sector imepewa kipaumbele
7. Hela mitaani zipo
8. Ajira ndogo ndogo kibao, kuanzia bodaboda, viwandani, migodini n.k
UTULIVU huu wa nchi unawafanya hasa VIJANA wasite kutibua equilibrium kwa kuingia kwenye harakati za hovyo.
Akikubali kushauriwa basi aachane tu na na msimamo mkali wa no election.
Bora ashirikiane na WENZAKE kuhakikisha reform zinaendelea kutafutiwa platforms zingine ikibidi mashinikizo ya kimataifa zaidi. Ila kuzuia uchaguzi ni kujidhalilisha tu
Nyie ni watu wajinga na umaskini ndio shida kubwa kwenu. Mnafikiri hata akija rais kutoka chama gani hiyo miradi ya maji na barabara haitakuwepo?! Hamjui hata kwanini siasa za vyama vingi ni muhimu.
 
Niliposikia anataja kikosi kazi kwamba ndio sheria. Nilijisemea tu Mungu wangu , hivi Huyu naye ni editor wa wapi?
Kila akielewesha kuhusu katiba majibu yake ni:
  • kikosi kazi
  • kuna mabadiriko
Mwisho akaambiwa nonsense - yeye akafikiri ni tusi.
Taabu tupu kwa kweli
Akina Mkandala na Shifji sijui huwa wanafundisha nini huko vyuoni. Hakuna kustaafu mpaka hizi habari za kikosi kazi zieleweke kwamba sio sheria- ni maoni na mapendekezo tu.
 
Nimejikuta nimemuonea huruma Tundu Lissu.
Huruma ni sifa na silka ambazo binadamu hajifunzi.
Nilistudy body language ya Lissu kabla na baada ya kupata reaction asiyotarajia kutoka kwa Wahariri.
Wahariri wamemwangusha sana Lissu especially Deodatus Balile.
Wahariri wa Tanzania sijui mnahariri nini.

Pia nilipojaribu ku-study nyuso za hao wahariri kabla ya hata ya maswali yao nilidharau hapohapo.
Kwanza Inaonekana wamezolewa-zolewa tu.
Wapo wastaafu, Wengine watangazaji wa michezo..walikuwepo makada nk. Sikumuona Aloyce Nyanda pale wala Kikeke
Nilichoka.

Baada ya kusikiliza kwa utulivu ufafanuzi wa Lissu juu ya changamoto zinazozingira chaguzi za Tanzania, ni mwendawazimu tu ndiye ataamini kwamba Tanzania tuna chaguzi huru na za haki.

Ameleeza mambo mengi kwa kirefu, kiweledi, huku akitoa mifano kadhaa ya madhira aliyokutana nayo yeye binafsi na wenzake.

Ni dhahiri Tanzania tuna chaguzi zilizojaa election irregularities kila mahali....hili jambo hata watoto wetu wanajua.

Yaani ni afadhali hata Chadema wangefanya press na wadogo zetu wa Daruso...au Daruso za vyuo vingine.
Zamani ukijua unaenda kuhojiwa na Wahariri ulitakiwa uende umejipanga.
Kumbe siku hizi ndio zero kabisa. Nyakati kweli ni ukuta.
Umahiri wa hawa wahariri wengi ni wa kutilia shaka sana. Pamoja na lundo la kasoro zilizoainishwa na mapendekezo ya kuzitatua, bado kuna wahariri walikuwa wanapendekeza uchaguzi ufanyike hivyohivyo.
 
Lissu hoja yake ya uwakilishi bungeni dhaifu sana kumsikia akiletea mifano ya Zanzibar na Temeke, yeye hajui kuwa Tanzania ni nchi mbili? akili ya kawaida anataka Zanzibar wawakilishwe na mbunge mmoja tu kwa kuwa wachache. Kaja na mfano wa Dar na Mtwara kufananisha population na uwakilishi. Hajuia Mtwara ki size ni kubwa sana miundombinu sio rafiki kumfikia kila mtu wakati Dar hapo Temeke, Kigamboni, Ilala ni mdomo na pua pamoja na wingi wa watu lakini kufikia ni rahisi na mahitaji ya watu laki 4 temeke au hata wangekuwa laki 1 mahitaji na yaleyale. Mimi nadhani anataka kutuletea mfumo wa USA electoral vote kwenye nchi moja bila kulelewa USA zile ni nchi 50 zimeungana.
 
Nimejikuta nimemuonea huruma Tundu Lissu.
Huruma ni sifa na silka ambazo binadamu hajifunzi.
Nilistudy body language ya Lissu kabla na baada ya kupata reaction asiyotarajia kutoka kwa Wahariri.
Wahariri wamemwangusha sana Lissu especially Deodatus Balile.
Wahariri wa Tanzania sijui mnahariri nini.

Pia nilipojaribu ku-study nyuso za hao wahariri kabla ya hata ya maswali yao nilidharau hapohapo.
Kwanza Inaonekana wamezolewa-zolewa tu.
Wapo wastaafu, Wengine watangazaji wa michezo..walikuwepo makada nk. Sikumuona Aloyce Nyanda pale wala Kikeke
Nilichoka.

Baada ya kusikiliza kwa utulivu ufafanuzi wa Lissu juu ya changamoto zinazozingira chaguzi za Tanzania, ni mwendawazimu tu ndiye ataamini kwamba Tanzania tuna chaguzi huru na za haki.

Ameleeza mambo mengi kwa kirefu, kiweledi, huku akitoa mifano kadhaa ya madhira aliyokutana nayo yeye binafsi na wenzake.

Ni dhahiri Tanzania tuna chaguzi zilizojaa election irregularities kila mahali....hili jambo hata watoto wetu wanajua.

Yaani ni afadhali hata Chadema wangefanya press na wadogo zetu wa Daruso...au Daruso za vyuo vingine.
Zamani ukijua unaenda kuhojiwa na Wahariri ulitakiwa uende umejipanga.
Kumbe siku hizi ndio zero kabisa. Nyakati kweli ni ukuta.
Kimsingi TAL anasujudiwa na nyumbu wake wa CHADEMA ambao wanamuona kwamba ana akili sana na ni mpenda haki na demokrasia.

Sasa amekutana na magwiji wanaomfahamu fika toka sekondari na harakati zake za kimaisha mfano Pascal Mayalla . Ndiyo maana AMEPWAYA.

LISSU atawadanganya CHEDEMA tu, ila hana KARAMA ya uongozi
 
Back
Top Bottom