Anonymous Caller
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 679
- 870
Nimejikuta nimemuonea huruma Tundu Lissu.
Huruma ni sifa na silka ambazo binadamu hajifunzi.
Nilistudy body language ya Lissu kabla na baada ya kupata reaction asiyotarajia kutoka kwa Wahariri.
Wahariri wamemwangusha sana Lissu especially Deodatus Balile.
Wahariri wa Tanzania sijui mnahariri nini.
Pia nilipojaribu ku-study nyuso za hao wahariri kabla ya hata ya maswali yao nilidharau hapohapo.
Kwanza Inaonekana wamezolewa-zolewa tu.
Wapo wastaafu, Wengine watangazaji wa michezo..walikuwepo makada nk. Sikumuona Aloyce Nyanda pale wala Kikeke
Nilichoka.
Baada ya kusikiliza kwa utulivu ufafanuzi wa Lissu juu ya changamoto zinazozingira chaguzi za Tanzania, ni mwendawazimu tu ndiye ataamini kwamba Tanzania tuna chaguzi huru na za haki.
Ameleeza mambo mengi kwa kirefu, kiweledi, huku akitoa mifano kadhaa ya madhira aliyokutana nayo yeye binafsi na wenzake.
Ni dhahiri Tanzania tuna chaguzi zilizojaa election irregularities kila mahali....hili jambo hata watoto wetu wanajua.
Yaani ni afadhali hata Chadema wangefanya press na wadogo zetu wa Daruso...au Daruso za vyuo vingine.
Zamani ukijua unaenda kuhojiwa na Wahariri ulitakiwa uende umejipanga.
Kumbe siku hizi ndio zero kabisa. Nyakati kweli ni ukuta.
Huruma ni sifa na silka ambazo binadamu hajifunzi.
Nilistudy body language ya Lissu kabla na baada ya kupata reaction asiyotarajia kutoka kwa Wahariri.
Wahariri wamemwangusha sana Lissu especially Deodatus Balile.
Wahariri wa Tanzania sijui mnahariri nini.
Pia nilipojaribu ku-study nyuso za hao wahariri kabla ya hata ya maswali yao nilidharau hapohapo.
Kwanza Inaonekana wamezolewa-zolewa tu.
Wapo wastaafu, Wengine watangazaji wa michezo..walikuwepo makada nk. Sikumuona Aloyce Nyanda pale wala Kikeke
Nilichoka.
Baada ya kusikiliza kwa utulivu ufafanuzi wa Lissu juu ya changamoto zinazozingira chaguzi za Tanzania, ni mwendawazimu tu ndiye ataamini kwamba Tanzania tuna chaguzi huru na za haki.
Ameleeza mambo mengi kwa kirefu, kiweledi, huku akitoa mifano kadhaa ya madhira aliyokutana nayo yeye binafsi na wenzake.
Ni dhahiri Tanzania tuna chaguzi zilizojaa election irregularities kila mahali....hili jambo hata watoto wetu wanajua.
Yaani ni afadhali hata Chadema wangefanya press na wadogo zetu wa Daruso...au Daruso za vyuo vingine.
Zamani ukijua unaenda kuhojiwa na Wahariri ulitakiwa uende umejipanga.
Kumbe siku hizi ndio zero kabisa. Nyakati kweli ni ukuta.