Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Wanaharakati kazini!
Hatari sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaharakati kazini!
Daa nimecheka kichizi hiyo code uliyotoa hapo kama huna B mbili huelewiIi watalaamu wa code waliopita cuba state university wanaelewa hapa hii ni mlo wa jioni kwa wakubwa ndani ya clotus chota ...
Ila yule "malaika" sijui anafanya nini pale, labda "kujamvisha" members wa EALA.Si afadhali hata hili embe dodo, kati ya wabunge wa EALA, kuna zanga zaga fulani ni korokocho kabisa lakini lipo!.
P
Teh teh 😃 😃 😃 dah!...umenivunja mbavu teh teh teh 😃 😃 😃 Ccm mna vituko aisee...Si afadhali hata hili embe dodo, kati ya wabunge wa EALA, kuna zanga zaga fulani ni korokocho kabisa lakini lipo!.
P
Link ya Brazzavilleyale yale ya Brazzaville Congo...
DodoKwamba huko kuna maembe!!!
Utamaduni tuliojiwekea CCM kwenye kuchagua ni kwanza kuangalia sare za chama zinavyokupendeza, unavyoweza kumsifu mama dakitari, ubora si muhimu.Nimeangalia hii video nimeshindwa kuelewa tofauti ya Kuuza sera na "Kujiuza" ni ipi. Shame.
Political harlot. Kwa namna hii wanawake wataendelea kutumika hadi Yesu atakaporudi.Nimeangalia hii video nimeshindwa kuelewa tofauti ya Kuuza sera na "Kujiuza" ni ipi. Shame.
Jamani natengua kauli yangu! Kama nilikatukana haka ka embe dodo kutoka Shinyanga naomba kanisamehe bure. Ila na sisi wa mitandao nyoko zetu, tuache umaandazi, yaani tunaleta vipande vipande ili kudhalilisha watu bure! Kumbe kalimwaga point hivi kwenye kujieleza? Kaembe dodo kapewe kura haka! Watu tusikilize!Any queseni? Aibu sana hii aisee! Yaani Makune ndiye kaenda kutudhalilisha namna hiyo wana Shinyanga? Eti chagueni embe dodo! CCM hawako serious!
Embe dodo lipo vizuriJamani natengua kauli yangu! Kama nilikatukana haka ka embe dodo kutoka Shinyanga naomba kanisamehe bure. Ila na sisi wa mitandao nyoko zetu, tuache umaandazi, yaani tunaleta vipande vipande ili kudhalilisha watu bure! Kumbe kalimwaga point hivi kwenye kujieleza? Kaembe dodo kapewe kura haka! Watu tusikilize!