Magu alijenga uchumi wa machinga tu😅😅
Ujibiwe nini mjinga tu wala hujui mambo ya uchumi. Kwa kudhani unajua kuliko wataalam wa benki ya dunia waliyoitangaza tz kufikia gdp per capita usd 1086 na kua nchi ya uchumi wa kati unaonesha ujinga wako.
Eti growth rate 74%, 32% . Uliwaha kuona wapi annual growth rate za hivyo mjinga wewe.
Wakati wa jk tulikua na growth rate za 7.4% and then jpm akaanza ukuuaji mzuri kama huo kabla corona haijaingia na kuvuruga uchumi wa nchi nyingi. Nchi nyingi dunia zikawa na growth rate hazifiki hata 1% lakini tz kutokana na jpm alivyo handle corona uchumi wetu ukawa unakua kwa asilimia 3.2. jirani zetu kenya na uganga nadhani growth rate zilikua negative.
Mtahangaika kum demornise jpm hadi mnaonyesha ujinga wenu. Mtu uchumi hujui unajidai kuchambua kitu gani.