Hivi ndivyo Hayati Magufuli aliharibu Uchumi wa Tanzania. Takwimu huwa hazidanganyi

Mliotaka JPM awagonge washeli akawakataa mnazidi kumiminika kila kukicha.
 
Tangu nchi hii tupate uhuru ngwigulu nchemba ni moja ya mawaziri wawili wa fedha bogus kabisa. Mwingine alikua yule mwana mama sikumbuki jina.
 
Mbona wewe hajakuua toa ushahidi
 
Tangu nchi hii tupate uhuru ngwigulu nchemba ni moja ya mawaziri wawili wa fedha bogus kabisa. Mwingine alikua yule mwana mama sikumbuki jina.
Ni kweli kabisa Waziri bogos ndio amekuza mapato kutoka 1.2T kuwa 2T 😜😜😜😜

Haya yote yamefanyika Katikati ya Changamoto za uviko na Vita ya Ukraine..

Kwenye management ya Uchumi Rais Mkapa,Kikwete na Samia ndio watakuwa kwenye historia na bila shaka Rais Samia kama atakuwa Rais awamu ya pili ndio atawafunika hao wote..

Miradi 2 tuu inatosh kuwafunika wote.

-Kwala Industrial complex Dola bil.6
-Lindi LPG dola bil.30.

Hapo sijazungumzia miradi aliyoacha Mwendazake na utitiri wa miradi mipya Kila sekta na Kila Kona ya Tanzania
 
Miradi mingi ya sasa ni ya Upigaji. Ni kinuyume kabisa na unavyofikiria usidanganyike na PDF kabisa na takwimu za makaratasi.

Miradi mingi ya sasa itakayoanzishwa na Makamba na genge lake ni ya kujipigia 10%...Mtu anakula 7Trillion zake anasainisha mkataba wa 70 Trillion biashara inaishia hapo. Mjiandae kufukuZwa kupisha ujenzi bila kupewa hata fidia ya sh. 100.

Mikataba itakuwa ya Tz kupewa 3% huku mwekezaji anakula 97% kwa miaka 100.
 
Kama ipi hiyo ya kipagaji nitajie miradi 3 tuu
 
Hayo yakuwa looser ni chuki zako binafsi....hauwezi kupima hiyo "Looser" haina Takwimu yakhe
Mradi huu wa Eacop Mwendazake alikuwa anaenda kuzindua hewa mara 3 pale Tanga 😁😁😁😁


Ila nyie Mwendazake alikuwaga na fix sijawahi ona,sijui ule usanii alikuwa anafanya Ili kumfool nani..

Mradi mwingine ambao aliendaga kuzindua hewa ni uwanja wa ndege wa Msalato na Dom Ring Road hata mia haikuwepo na Wala Wakandarasi kuwa procured ila alienda kuweka Jiwe la Msingi 😜😜😜😜
 

Hapo sijazungumzia miradi aliyoacha Mwendazake na utitiri wa miradi mipya Kila sekta na Kila Kona ya Tanzania
Ni hivi, haiwezekani usizungumzie miradi ya Hayati katika hizo takwimu, wewe peke yako na chuki na propaganda has zako binafsi ndio umechagua iwe hivyo, tena kwa kujifanya Ati "sijazungumzia"
Shauri yako hiyo.

Watanzania tunajua, Ulimwengu unajua, na baadhi za Nchi duniani zimeenda kuegemea kule alipoegemea Hayati Raisi....sio lazima kuwa na maamuzi yanayopendwa na 'Watchdogs institution" yaani its not all laissez faire

Haujiulizi kwa nini Denmark nao waliondoa fedha kutoka katika mifuko ya 'Sherehe" na kuzipeleka katika mifuko ya maendeleo? Unafikiri, walifikiria tu? Hapo ndipo utajua ni Ushawishi gani aliokuwa nao hapa Ulimwenguni.
Nyie endeleeni na hayo machafuzi. Hayabadilishi mitazamo na uhalisia mitaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…