Hivi ndivyo itakavyokuwa pale unapoanza kufa

Nilishakuwa katika comma, what happen is so so badly ever, unakuwa katika situation ya kutisha sana, kwenye macho unaona blueish, kibaya kwenye masikio unasikia kila kitu kinachoongelewa, unasikia vilio na kelele, lakini huwezi kufanya lolote, unawasikia ndugu zako na jamaa zako lakini huwezi kusogeza kiungo chochote, kibaya uwezo wa kusikia huendelea kupungua kidogo kidogo, so worryful let me endup here!
 
Hata wanaogongwa na gari na hupata haya?

Upuuzi
 

Swali la msingi:


"Umeyajua je?"
 
wale wa kujitia kitanzi na kujining'iniza huwa kwanini mpaka washushe mzigo? ile inasababishwa na nini ndrugu mkufunzi wa mambo ya kuzimu 🐒

R.I.P Laigwanan comrade ENL
 
Please, tell us more about coma situation.
 
Hii ndo ukweli ila mtoa mada katuuza
 
R. I. P mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…