Hivi ndivyo Jimmy Carter alivyobaki. Ndiyo tujue sasa dunia haina urafiki

Pia hadi mwaka jana alikuwa akifanya kazi za kujitolea, ambapo alikua akijitolea kufanya kazi za ujenzi wa makazi ambapo walikua wakijenga makaazi kwa ajili ya the homeless.
 
Huna jipya.Na sijui ni kipi kinachokuuma ukimuona Jimmy Carter kama hivyo ilhali wewe huna ushirika katika kuumbwa kwake na mwisho wake
Basi kama ndo hivyo Kulikuwa na Umuhimu gani wa wewe kutuletea habari za Jimmy Carter wakati hakujui na huna uhusiano nae katika "kuumbwa kwake na mwisho wake"🤣

Naona bado unazidi kuonesha jinsi akili zako zilivyo mgando.
 
L
ila bado ananyuka suit...mzee mbishi.
 
Basi kama ndo hivyo Kulikuwa na Umuhimu gani wa wewe kutuletea habari za Jimmy Carter wakati hakujui na huna uhusiano nae katika "kuumbwa kwake na mwisho wake"🤣

Naona bado unazidi kuonesha jinsi akili zako zilivyo mgando.
Sikukusudia lazima wewe ndio usome.Na unajionaje unapojaribu kuwajibia mamia waliokwishakuusoma huu uzi na kupata mafunzo .Hakuna aliyelalamika kama wewe.
Inaonesha wazi ulivyo na kiherehere kwa mambo ya kawaida na yenye faida kwa wenzako.
Uliposoma kwa mara ya mwanzo ungetosheka na kurudi kule kwenye nyuzi uzipendazo za kuzungumzia mambo ya mashoga.Nashangaa bado unatufuatafuata tu.
 
Mzee wa siku
 
We jamaa una shida mahali! Wengi wamekulalamikia hawakuelewi ulilenga nini hasa!
Bora ukae kimya tu.
 
We unatamani ufikishe miaka hiyo
Kuna mtu asiyetamani kuishi?

Huyo Carter mwenyewe ukiondoa sababu za maradhi bado anatamani aishi,as for me binadamu akijaaliwa umri mrefu hiyo kwake ni favour kwa sababu ktk umri mkubwa kama huo 99 yrz anapata fursa kujiandaa kuonana na Mungu wake tofauti na kukata moto at 40s akiwa mbio mbio na maisha.
 
Ana undugu na Jay z?
Naona wote surnames zao ni Carter.
Nimekumbuka tulivyokuwa wadogo kuna mzee mmoja alikuwa anaimba TVZ.

"Jimmy Carter, Jimmy Carter, very important person.

Jimmy Carter, climbed, Mount Kilimanjaro..."
 
imagine uko pumbu halafu una miaka 99, una terminal cancer na upo kusini mwa jangwa la sahara
Hiyo 99 yenyewe hutoboi!

Tumeona watu hapa wameishi kuisogelea hii miaka (refer to Mwinyi) lakini ukweli kama siyo care ya maana wasingefika na kufa vifo tulivu na pia kwenye jamii yetu wapo wazee umri huo wanateseka vibaya mno kiasi familia zao zinaomba wafe waondokane na mizigo.
 
They should put him down
 
Waafrika tunasema hajazeeka anaigiza hiyo ni mbinu ya kutuibia rasilimali zetu
 
We jamaa una shida mahali! Wengi wamekulalamikia hawakuelewi ulilenga nini hasa!
Bora ukae kimya tu.
Shida iko kwako zaidi.Kati ya waliosoma una takwimu kuonesha kuwa wengi wamenipinga au wewe ni mtu fitna na wa kujipendekeza na unayependa mawazo yako ndio yawe hukumu ya wengine.
Mjinga sana wewe.
 
Shida iko kwako zaidi.Kati ya waliosoma una takwimu kuonesha kuwa wengi wamenipinga au wewe ni mtu fitna na wa kujipendekeza na unayependa mawazo yako ndio yawe hukumu ya wengine.
Mjinga sana wewe.
Tatizo hutaki kukubali kuwa wewe ni mjinga wengi wajinga huwa hawajijui kuwa ni wajinga.
Una uwezo mdogo sana wa fikra.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…