Hivi ndivyo Mbowe alivyotinga kwenye Msiba wa Lowassa, aingia akiwa amevaa kombati

Hivi ndivyo Mbowe alivyotinga kwenye Msiba wa Lowassa, aingia akiwa amevaa kombati

Ha ha. Picha hii kama inasema....
screenshot_2024-02-11-23-42-06-1-png.2901285



Mbowe: 'We Mzee wa Tembo, nimeona dongo lako la TShs. 2.7 Billion Ha ha Ha

Kinana: Wanajadiliana, sisi tunakula Asali Directly kwenye Buyu. Ha Ha Ha Ha Ha
Hii picha kwa wenye maono ya mbali wanaelewa ule msemo wa siasa ni mchezo wa maigizo.
 
Mzee wa kubadilisha gia angani .
Freeman anakipaji cha kuongoza ukiangalia namna alivyocheza dili ya kumvuta lowasa chadema hakuna aliyetarajia na ghafla upepo ukabadilika .
 
Hii picha kwa wenye maono ya mbali wanaelewa ule msemo wa siasa ni mchezo wa maigizo.
Haswa.

Vilevile, unaona kuwa hawa wanaotuletea Taarifa hapa jukwaani, wakitulaghai na kuutuzia siasa za Chuki, visasi, utengano, na matusi.


Kwamba jamaa wanatoana ngeu huko. Wakati mara nyingi huwa sio kweli.

Nikirudi kwa huyu hasimu wangu hapa, yeye huwa mara nyingi analeta picha, lakini hapendi wengine wawe wanafanya hivyo au kua na maoni yao tofauti.

A cognitive dissonance.
 
Katika watu wa Tanzania waliobarikiwa kuwa na mvuto wa kisiasa na nyota kwenye Jamii , Freeman Mbowe ni miongoni mwao .

Huyu Jamaa anatisha ! Kwenye Msiba wa Lowassa wamefika viongozi wengi mno , wakiwemo hata viongozi wa kitaifa wa sasa na wastaafu , lakini alipoingia Freeman Mbowe kuna kishindo kikuu kiliingia kwenye msiba huo , (nilikuwepo eneo la tukio)

Mbowe alipofika tu wale wote waliokuwa wanalia kwa Uchungu walinyamaza , kama vile walipewa ishara fulanii ya kupisha Ujio wa Mbowe , hili jambo kwangu ni geni , Bashasha za wafiwa na Wageni wengine ziliongezeka mara dufu ! Japo ni Msiba lakini watu walipata matumaini fulani hivi , Nikajiuliza huyu Raia ana kitu gani hasa kiasi cha kupooza mambo kwenye msiba huu ?

Nimejifunza kwamba katika dunia hii usithubutu kushindana na aliyejaaliwa

View attachment 2901283View attachment 2901284View attachment 2901285
Hahahaha jambazi sugu la hela za ruzuku, fisadi, dikiteta, gaidi, liongo, jizi, tapeli, huni, etc
 
Haswa.

Vilevile, unaona kuwa hawa wanaotuletea Taarifa hapa jukwaani, wakitulaghai na kuutuzia siasa za Chuki, visasi, utengano, na matusi.


Kwamba jamaa wanatoana ngeu huko. Wakati mara nyingi huwa sio kweli.

Nikirudi kwa huyu hasimu wangu hapa, yeye huwa mara nyingi analeta picha, lakini hapendi wengine wawe wanafanya hivyo au kua na maoni yao tofauti.

A cognitive dissonance.
Mimi ni hasimu wa ccm siyo hasimu wa waganga njaa , ni kipi nimekuzuia kukifanya hapa jf ?
 
Katika watu wa Tanzania waliobarikiwa kuwa na mvuto wa kisiasa na nyota kwenye Jamii , Freeman Mbowe ni miongoni mwao .

Huyu Jamaa anatisha ! Kwenye Msiba wa Lowassa wamefika viongozi wengi mno , wakiwemo hata viongozi wa kitaifa wa sasa na wastaafu , lakini alipoingia Freeman Mbowe kuna kishindo kikuu kiliingia kwenye msiba huo , (nilikuwepo eneo la tukio)

Mbowe alipofika tu wale wote waliokuwa wanalia kwa Uchungu walinyamaza , kama vile walipewa ishara fulanii ya kupisha Ujio wa Mbowe , hili jambo kwangu ni geni , Bashasha za wafiwa na Wageni wengine ziliongezeka mara dufu ! Japo ni Msiba lakini watu walipata matumaini fulani hivi , Nikajiuliza huyu Raia ana kitu gani hasa kiasi cha kupooza mambo kwenye msiba huu ?

Nimejifunza kwamba katika dunia hii usithubutu kushindana na aliyejaaliwa

View attachment 2901283View attachment 2901284View attachment 2901285
Mnalipwa kiasi gani kwa hivi mnavyojipendekeza?

Kwa Mwanaume ni fedheha sana jikazeni watoto wa kiume.
 
Katika watu wa Tanzania waliobarikiwa kuwa na mvuto wa kisiasa na nyota kwenye Jamii , Freeman Mbowe ni miongoni mwao .

Huyu Jamaa anatisha ! Kwenye Msiba wa Lowassa wamefika viongozi wengi mno , wakiwemo hata viongozi wa kitaifa wa sasa na wastaafu , lakini alipoingia Freeman Mbowe kuna kishindo kikuu kiliingia kwenye msiba huo , (nilikuwepo eneo la tukio)

Mbowe alipofika tu wale wote waliokuwa wanalia kwa Uchungu walinyamaza , kama vile walipewa ishara fulanii ya kupisha Ujio wa Mbowe , hili jambo kwangu ni geni , Bashasha za wafiwa na Wageni wengine ziliongezeka mara dufu ! Japo ni Msiba lakini watu walipata matumaini fulani hivi , Nikajiuliza huyu Raia ana kitu gani hasa kiasi cha kupooza mambo kwenye msiba huu ?

Nimejifunza kwamba katika dunia hii usithubutu kushindana na aliyejaaliwa

View attachment 2901283View attachment 2901284View attachment 2901285
Mungu Ibariki CHADEMA[emoji173][emoji173][emoji173]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wisdom is chasing you and you are always faster.
Hahahahahahahahahahahahaaa!
Kiingereza ni lugha nzuri sana ya kufanya character description iliyo laini kabisa, yaani mtu anaweza kutukanwa lakini asijue na aka akili akitabasamu huku akiomba kabisa urudie. Naramani ningekuwa naijua hii lugha kwakweli.
 
Katika watu wa Tanzania waliobarikiwa kuwa na mvuto wa kisiasa na nyota kwenye Jamii , Freeman Mbowe ni miongoni mwao .

Huyu Jamaa anatisha ! Kwenye Msiba wa Lowassa wamefika viongozi wengi mno , wakiwemo hata viongozi wa kitaifa wa sasa na wastaafu , lakini alipoingia Freeman Mbowe kuna kishindo kikuu kiliingia kwenye msiba huo , (nilikuwepo eneo la tukio)

Mbowe alipofika tu wale wote waliokuwa wanalia kwa Uchungu walinyamaza , kama vile walipewa ishara fulanii ya kupisha Ujio wa Mbowe , hili jambo kwangu ni geni , Bashasha za wafiwa na Wageni wengine ziliongezeka mara dufu ! Japo ni Msiba lakini watu walipata matumaini fulani hivi , Nikajiuliza huyu Raia ana kitu gani hasa kiasi cha kupooza mambo kwenye msiba huu ?

Nimejifunza kwamba katika dunia hii usithubutu kushindana na aliyejaaliwa

View attachment 2901283View attachment 2901284View attachment 2901285
Mbowe ndo amekuwa mshamba hivi?!!!
Hayo mavazi ya mfgambo ya nini sasa hapo?!!!


Halafu mtoa mada wewe ni me au ke?!! Samahani lkn kuuliza!!
 
Back
Top Bottom