SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Jikite kwenye hoja bwashee.So what ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jikite kwenye hoja bwashee.So what ?
Tunaongelea Kombati la Ukombozi. Salum mwalimu ameingiaje hapa?Hivi jana Salum Mwalimu alivaa nini ?
Huna akili ?Tunaongelea Kombati la Ukombozi. Salum mwalimu ameingiaje hapa?
Ndio sera mliyo baki nayo Wana CHADEMA?Huna akili ?
Umeulizwa kama una akili timamu , kwa sababu , Salum Mwalimu alikwenda kwenye msiba huo bila kombati , kwanini unahoji Lissu kuvaa Suti ?Ndio sera mliyo baki nayo Wana CHADEMA?
Yani yoooote, umechagua kupima akili yangu. 😅 🤓Sasa unafikiri ukitukana, wewe zako zitaongezeka mkuu.
Nachelea kusema huo 'Utajiri' wako, ninutajiri wa Matusi. Calm down bro.
Mnakiua chama cha CHADEMA wajameni. Walahi
Nyumbu wamesahau kwamba walimuorodhesha kwenye list of shame na kumtukana sana.Katika watu wa Tanzania waliobarikiwa kuwa na mvuto wa kisiasa na nyota kwenye Jamii, Freeman Mbowe ni miongoni mwao.
Huyu Jamaa anatisha. Kwenye Msiba wa Lowassa wamefika viongozi wengi mno wakiwemo hata viongozi wa kitaifa wa sasa na wastaafu lakini alipoingia Freeman Mbowe kuna kishindo kikuu kiliingia kwenye msiba huo (nilikuwepo eneo la tukio)
Mbowe alipofika tu wale wote waliokuwa wanalia kwa Uchungu walinyamaza kama vile walipewa ishara fulanii ya kupisha Ujio wa Mbowe, hili jambo kwangu ni geni, Bashasha za wafiwa na Wageni wengine ziliongezeka mara dufu. Japo ni Msiba lakini watu walipata matumaini fulani hivi. Nikajiuliza huyu Raia ana kitu gani hasa kiasi cha kupooza mambo kwenye msiba huu?
Nimejifunza kwamba katika dunia hii usithubutu kushindana na aliyejaaliwa
View attachment 2901283View attachment 2901284View attachment 2901285