Hivi ndivyo Mbowe alivyotinga kwenye Msiba wa Lowassa, aingia akiwa amevaa kombati

Hivi ndivyo Mbowe alivyotinga kwenye Msiba wa Lowassa, aingia akiwa amevaa kombati

Ha ha. Picha hii kama inasema....
screenshot_2024-02-11-23-42-06-1-png.2901285



Mbowe: 'We Mzee wa Tembo, nimeona dongo lako la TShs. 2.7 Billion Ha ha Ha

Kinana: Wanajadiliana, sisi tunakula Asali Directly kwenye Buyu. Ha Ha Ha Ha Ha

Ingekuwa CCM ndiyo wamevaa sare za kijani basi vijana wa Mbowe wangelia sana!

Lakini kwa kuwa Baba yao kavaa magwanda basi wanaleta uchawa wa kusifia!
 
Chawa ni mnyonyaji wa damu , huko ccm wananyonya hela maana zipo , huku Chadema hakuna hizo hela za kugawia hao wanaoitwa Chawa , huku sisi tunailipa Chadema hela ili isogee mbele .

Kingine ni hiki , mimi ni Tajiri , nimeichangia Chadema mamilioni ya hela , kuniita chawa ni kunidhalilisha bila sababu , halafu niko JF kwa zaidi ya miaka 10 , kunifananisha na huyo kinda ni sawa na kunitukana matusi ya nguoni .

Mnaweza kuendelea kunitukana lakini hebu nitukaneni matusi mengine acheni huu uongo wenu


Wewe ni Tajiri?! [emoji28]

Sio vizuri kutufanya tucheke msibani.
 
Katika watu wa Tanzania waliobarikiwa kuwa na mvuto wa kisiasa na nyota kwenye Jamii, Freeman Mbowe ni miongoni mwao.

Huyu Jamaa anatisha. Kwenye Msiba wa Lowassa wamefika viongozi wengi mno wakiwemo hata viongozi wa kitaifa wa sasa na wastaafu lakini alipoingia Freeman Mbowe kuna kishindo kikuu kiliingia kwenye msiba huo (nilikuwepo eneo la tukio)

Mbowe alipofika tu wale wote waliokuwa wanalia kwa Uchungu walinyamaza kama vile walipewa ishara fulanii ya kupisha Ujio wa Mbowe, hili jambo kwangu ni geni, Bashasha za wafiwa na Wageni wengine ziliongezeka mara dufu. Japo ni Msiba lakini watu walipata matumaini fulani hivi. Nikajiuliza huyu Raia ana kitu gani hasa kiasi cha kupooza mambo kwenye msiba huu?

Nimejifunza kwamba katika dunia hii usithubutu kushindana na aliyejaaliwa

View attachment 2901283View attachment 2901284View attachment 2901285

Komredi Abdulrahman Kinana anapewa mawaidha kuhusu ruzuku.
 
Katika watu wa Tanzania waliobarikiwa kuwa na mvuto wa kisiasa na nyota kwenye Jamii, Freeman Mbowe ni miongoni mwao.

Huyu Jamaa anatisha. Kwenye Msiba wa Lowassa wamefika viongozi wengi mno wakiwemo hata viongozi wa kitaifa wa sasa na wastaafu lakini alipoingia Freeman Mbowe kuna kishindo kikuu kiliingia kwenye msiba huo (nilikuwepo eneo la tukio)

Mbowe alipofika tu wale wote waliokuwa wanalia kwa Uchungu walinyamaza kama vile walipewa ishara fulanii ya kupisha Ujio wa Mbowe, hili jambo kwangu ni geni, Bashasha za wafiwa na Wageni wengine ziliongezeka mara dufu. Japo ni Msiba lakini watu walipata matumaini fulani hivi. Nikajiuliza huyu Raia ana kitu gani hasa kiasi cha kupooza mambo kwenye msiba huu?

Nimejifunza kwamba katika dunia hii usithubutu kushindana na aliyejaaliwa

View attachment 2901283View attachment 2901284View attachment 2901285
Wanasiasa wanafki sana

Yani kwenye msiba wa mwezao, Wanacheka kama ni Party
 
Katika watu wa Tanzania waliobarikiwa kuwa na mvuto wa kisiasa na nyota kwenye Jamii, Freeman Mbowe ni miongoni mwao.

Huyu Jamaa anatisha. Kwenye Msiba wa Lowassa wamefika viongozi wengi mno wakiwemo hata viongozi wa kitaifa wa sasa na wastaafu lakini alipoingia Freeman Mbowe kuna kishindo kikuu kiliingia kwenye msiba huo (nilikuwepo eneo la tukio)

Mbowe alipofika tu wale wote waliokuwa wanalia kwa Uchungu walinyamaza kama vile walipewa ishara fulanii ya kupisha Ujio wa Mbowe, hili jambo kwangu ni geni, Bashasha za wafiwa na Wageni wengine ziliongezeka mara dufu. Japo ni Msiba lakini watu walipata matumaini fulani hivi. Nikajiuliza huyu Raia ana kitu gani hasa kiasi cha kupooza mambo kwenye msiba huu?

Nimejifunza kwamba katika dunia hii usithubutu kushindana na aliyejaaliwa

View attachment 2901283View attachment 2901284View attachment 2901285
Hapa unajua wanaongelea nini? Mbowe anamwambia Kinana! Hile 2.72billion sijui imeishaje??? Mnaweza kuniongezea I seeee!
 
chadema tujikite kwenye msiba mambo ya makombati hayana nafasi kipindi hiki cha msiba ndugu zangu
 
Ingekuwa CCM ndiyo wamevaa sare za kijani basi vijana wa Mbowe wangelia sana!

Lakini kwa kuwa Baba yao kavaa magwanda basi wanaleta uchawa wa kusifia!
Sasa, tuulizane tu...

Mbona hatuletewi picha za Tundu Lissu akiwa msibani?

Au hii ilikuwa ni ya Kombati tu na siyo ya Kuvaa suti?

Je, ina maana Lissu hakupata memo ya Kuvaa kombati msibani?

Yani kama tunavyoaminishwa hapa kwamba uvaaji kombati utakuwa ndio mtindo au ndio vazi la Wana CHADEMA kwenye Misiba, mbona Lissu hakuvaa? enyi nyini waliopitia pale na wadau wengine tatizo lipo wapi?


Nimewaza tu
 
Hapa unajua wanaongelea nini? Mbowe anamwambia Kinana! Hile 2.72billion sijui imeishaje??? Mnaweza kuniongezea I seeee!
🤓 ...kama ulikwepo! Ndio kujua hatujui, hiyo picha inaongea mengi sana.

😂😂bakuli limeisha😂😂😅
 
Back
Top Bottom