Desprospero
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 1,015
- 2,493
Hii picha kwa wenye maono ya mbali wanaelewa ule msemo wa siasa ni mchezo wa maigizo.Ha ha. Picha hii kama inasema....
Mbowe: 'We Mzee wa Tembo, nimeona dongo lako la TShs. 2.7 Billion Ha ha Ha
Kinana: Wanajadiliana, sisi tunakula Asali Directly kwenye Buyu. Ha Ha Ha Ha Ha
Mzee wa sirikali ya chama cha mapinduziKama sio Mzee wa Msoga Babu Duni sasa hivi angekuwa anasomeka ndio Mzee wa Kizimkazi
πππππππHa ha. Picha hii kama inasema....
Mbowe: 'We Mzee wa Tembo, nimeona dongo lako la TShs. 2.7 Billion Ha ha Ha
Kinana: Wanajadiliana, sisi tunakula Asali Directly kwenye Buyu. Ha Ha Ha Ha Ha
Haswa.Hii picha kwa wenye maono ya mbali wanaelewa ule msemo wa siasa ni mchezo wa maigizo.
Hahahaha jambazi sugu la hela za ruzuku, fisadi, dikiteta, gaidi, liongo, jizi, tapeli, huni, etcKatika watu wa Tanzania waliobarikiwa kuwa na mvuto wa kisiasa na nyota kwenye Jamii , Freeman Mbowe ni miongoni mwao .
Huyu Jamaa anatisha ! Kwenye Msiba wa Lowassa wamefika viongozi wengi mno , wakiwemo hata viongozi wa kitaifa wa sasa na wastaafu , lakini alipoingia Freeman Mbowe kuna kishindo kikuu kiliingia kwenye msiba huo , (nilikuwepo eneo la tukio)
Mbowe alipofika tu wale wote waliokuwa wanalia kwa Uchungu walinyamaza , kama vile walipewa ishara fulanii ya kupisha Ujio wa Mbowe , hili jambo kwangu ni geni , Bashasha za wafiwa na Wageni wengine ziliongezeka mara dufu ! Japo ni Msiba lakini watu walipata matumaini fulani hivi , Nikajiuliza huyu Raia ana kitu gani hasa kiasi cha kupooza mambo kwenye msiba huu ?
Nimejifunza kwamba katika dunia hii usithubutu kushindana na aliyejaaliwa
View attachment 2901283View attachment 2901284View attachment 2901285
Mimi ni hasimu wa ccm siyo hasimu wa waganga njaa , ni kipi nimekuzuia kukifanya hapa jf ?Haswa.
Vilevile, unaona kuwa hawa wanaotuletea Taarifa hapa jukwaani, wakitulaghai na kuutuzia siasa za Chuki, visasi, utengano, na matusi.
Kwamba jamaa wanatoana ngeu huko. Wakati mara nyingi huwa sio kweli.
Nikirudi kwa huyu hasimu wangu hapa, yeye huwa mara nyingi analeta picha, lakini hapendi wengine wawe wanafanya hivyo au kua na maoni yao tofauti.
A cognitive dissonance.
Chawa hana ubongoHahahaha jambazi sugu la hela za ruzuku, fisadi, dikiteta, gaidi, liongo, jizi, tapeli, huni, etc
ππππMbowe alipofika tu wale wote waliokuwa wanalia kwa Uchungu walinyamaza , kama vile..................
Mnalipwa kiasi gani kwa hivi mnavyojipendekeza?Katika watu wa Tanzania waliobarikiwa kuwa na mvuto wa kisiasa na nyota kwenye Jamii , Freeman Mbowe ni miongoni mwao .
Huyu Jamaa anatisha ! Kwenye Msiba wa Lowassa wamefika viongozi wengi mno , wakiwemo hata viongozi wa kitaifa wa sasa na wastaafu , lakini alipoingia Freeman Mbowe kuna kishindo kikuu kiliingia kwenye msiba huo , (nilikuwepo eneo la tukio)
Mbowe alipofika tu wale wote waliokuwa wanalia kwa Uchungu walinyamaza , kama vile walipewa ishara fulanii ya kupisha Ujio wa Mbowe , hili jambo kwangu ni geni , Bashasha za wafiwa na Wageni wengine ziliongezeka mara dufu ! Japo ni Msiba lakini watu walipata matumaini fulani hivi , Nikajiuliza huyu Raia ana kitu gani hasa kiasi cha kupooza mambo kwenye msiba huu ?
Nimejifunza kwamba katika dunia hii usithubutu kushindana na aliyejaaliwa
View attachment 2901283View attachment 2901284View attachment 2901285
Huyu ndo alikuwa analia kwa kujigalagaza mara mbowe alipoingia akapata tabasamu?Hoja hupingwa kwa hojaView attachment 2901309
Mungu Ibariki CHADEMA[emoji173][emoji173][emoji173]Katika watu wa Tanzania waliobarikiwa kuwa na mvuto wa kisiasa na nyota kwenye Jamii , Freeman Mbowe ni miongoni mwao .
Huyu Jamaa anatisha ! Kwenye Msiba wa Lowassa wamefika viongozi wengi mno , wakiwemo hata viongozi wa kitaifa wa sasa na wastaafu , lakini alipoingia Freeman Mbowe kuna kishindo kikuu kiliingia kwenye msiba huo , (nilikuwepo eneo la tukio)
Mbowe alipofika tu wale wote waliokuwa wanalia kwa Uchungu walinyamaza , kama vile walipewa ishara fulanii ya kupisha Ujio wa Mbowe , hili jambo kwangu ni geni , Bashasha za wafiwa na Wageni wengine ziliongezeka mara dufu ! Japo ni Msiba lakini watu walipata matumaini fulani hivi , Nikajiuliza huyu Raia ana kitu gani hasa kiasi cha kupooza mambo kwenye msiba huu ?
Nimejifunza kwamba katika dunia hii usithubutu kushindana na aliyejaaliwa
View attachment 2901283View attachment 2901284View attachment 2901285
Nilisema hapo msibani yatashuhudiwa mengi ππMbowe.....Aingia akiwa amevaa kombati.
johnthebaptist Umelala unono tayari?
Umeibua suala la Jezi za CHADEMA na mavazi ya Kitaifa ya CCM, kumbe wamekusikiaππππ...Ona sasa.
Hahahahahahahahahahahahaaa!Wisdom is chasing you and you are always faster.
Mbowe ndo amekuwa mshamba hivi?!!!Katika watu wa Tanzania waliobarikiwa kuwa na mvuto wa kisiasa na nyota kwenye Jamii , Freeman Mbowe ni miongoni mwao .
Huyu Jamaa anatisha ! Kwenye Msiba wa Lowassa wamefika viongozi wengi mno , wakiwemo hata viongozi wa kitaifa wa sasa na wastaafu , lakini alipoingia Freeman Mbowe kuna kishindo kikuu kiliingia kwenye msiba huo , (nilikuwepo eneo la tukio)
Mbowe alipofika tu wale wote waliokuwa wanalia kwa Uchungu walinyamaza , kama vile walipewa ishara fulanii ya kupisha Ujio wa Mbowe , hili jambo kwangu ni geni , Bashasha za wafiwa na Wageni wengine ziliongezeka mara dufu ! Japo ni Msiba lakini watu walipata matumaini fulani hivi , Nikajiuliza huyu Raia ana kitu gani hasa kiasi cha kupooza mambo kwenye msiba huu ?
Nimejifunza kwamba katika dunia hii usithubutu kushindana na aliyejaaliwa
View attachment 2901283View attachment 2901284View attachment 2901285
Mtoto wa Lowasa kazira hata kumwangalia kageukia huko Hana mpango na sura ya MboweHoja hupingwa kwa hojaView attachment 2901309