Ha ha. Picha hii kama inasema....
Mbowe: 'We Mzee wa Tembo, nimeona dongo lako la TShs. 2.7 Billion Ha ha Ha
Kinana: Wanajadiliana, sisi tunakula Asali Directly kwenye Buyu. Ha Ha Ha Ha Ha
Gwanda vazi la ukomboziIngekuwa CCM ndiyo wamevaa sare za kijani basi vijana wa Mbowe wangelia sana!
Lakini kwa kuwa Baba yao kavaa magwanda basi wanaleta uchawa wa kusifia!
Daaaah... Wanawake... Huwa mna mambo yenu wenyewe sisi wanaume hatuwezi hata kuyafikiria. 🤣Mtoto wa Lowasa kazira hata kumwangalia kageukia huko Hana mpango na sura ya Mbowe
Kijani ndiyo walioikomba nchi na siyo hizo nguo zenu mpaukoGwanda vazi la ukombozi
Tuonyeshe Nyerere akiwa amevaa kijaniKijani ndiyo walioikomba nchi na siyo hizo nguo zenu mpauko
Chadema haiwezi kupata kiongozi mwenye hekima kama Mbowe yule mnyika anajaribu kufuata nyao yule ndiyo mwenyekiti ajaye!
Chawa ni mnyonyaji wa damu , huko ccm wananyonya hela maana zipo , huku Chadema hakuna hizo hela za kugawia hao wanaoitwa Chawa , huku sisi tunailipa Chadema hela ili isogee mbele .
Kingine ni hiki , mimi ni Tajiri , nimeichangia Chadema mamilioni ya hela , kuniita chawa ni kunidhalilisha bila sababu , halafu niko JF kwa zaidi ya miaka 10 , kunifananisha na huyo kinda ni sawa na kunitukana matusi ya nguoni .
Mnaweza kuendelea kunitukana lakini hebu nitukaneni matusi mengine acheni huu uongo wenu
Siasa sio uadui ni kama mpira wa miguu baada ya mechi watu wanabadilishana mpaka jezi acha ushambaHii picha kwa wenye maono ya mbali wanaelewa ule msemo wa siasa ni mchezo wa maigizo.
Katika watu wa Tanzania waliobarikiwa kuwa na mvuto wa kisiasa na nyota kwenye Jamii, Freeman Mbowe ni miongoni mwao.
Huyu Jamaa anatisha. Kwenye Msiba wa Lowassa wamefika viongozi wengi mno wakiwemo hata viongozi wa kitaifa wa sasa na wastaafu lakini alipoingia Freeman Mbowe kuna kishindo kikuu kiliingia kwenye msiba huo (nilikuwepo eneo la tukio)
Mbowe alipofika tu wale wote waliokuwa wanalia kwa Uchungu walinyamaza kama vile walipewa ishara fulanii ya kupisha Ujio wa Mbowe, hili jambo kwangu ni geni, Bashasha za wafiwa na Wageni wengine ziliongezeka mara dufu. Japo ni Msiba lakini watu walipata matumaini fulani hivi. Nikajiuliza huyu Raia ana kitu gani hasa kiasi cha kupooza mambo kwenye msiba huu?
Nimejifunza kwamba katika dunia hii usithubutu kushindana na aliyejaaliwa
View attachment 2901283View attachment 2901284View attachment 2901285
Wanasiasa wanafki sanaKatika watu wa Tanzania waliobarikiwa kuwa na mvuto wa kisiasa na nyota kwenye Jamii, Freeman Mbowe ni miongoni mwao.
Huyu Jamaa anatisha. Kwenye Msiba wa Lowassa wamefika viongozi wengi mno wakiwemo hata viongozi wa kitaifa wa sasa na wastaafu lakini alipoingia Freeman Mbowe kuna kishindo kikuu kiliingia kwenye msiba huo (nilikuwepo eneo la tukio)
Mbowe alipofika tu wale wote waliokuwa wanalia kwa Uchungu walinyamaza kama vile walipewa ishara fulanii ya kupisha Ujio wa Mbowe, hili jambo kwangu ni geni, Bashasha za wafiwa na Wageni wengine ziliongezeka mara dufu. Japo ni Msiba lakini watu walipata matumaini fulani hivi. Nikajiuliza huyu Raia ana kitu gani hasa kiasi cha kupooza mambo kwenye msiba huu?
Nimejifunza kwamba katika dunia hii usithubutu kushindana na aliyejaaliwa
View attachment 2901283View attachment 2901284View attachment 2901285
UsitupangieChadema haiwezi kupata kiongozi mwenye hekima kama Mbowe yule mnyika anajaribu kufuata nyao yule ndiyo mwenyekiti ajaye!
Hapa unajua wanaongelea nini? Mbowe anamwambia Kinana! Hile 2.72billion sijui imeishaje??? Mnaweza kuniongezea I seeee!Katika watu wa Tanzania waliobarikiwa kuwa na mvuto wa kisiasa na nyota kwenye Jamii, Freeman Mbowe ni miongoni mwao.
Huyu Jamaa anatisha. Kwenye Msiba wa Lowassa wamefika viongozi wengi mno wakiwemo hata viongozi wa kitaifa wa sasa na wastaafu lakini alipoingia Freeman Mbowe kuna kishindo kikuu kiliingia kwenye msiba huo (nilikuwepo eneo la tukio)
Mbowe alipofika tu wale wote waliokuwa wanalia kwa Uchungu walinyamaza kama vile walipewa ishara fulanii ya kupisha Ujio wa Mbowe, hili jambo kwangu ni geni, Bashasha za wafiwa na Wageni wengine ziliongezeka mara dufu. Japo ni Msiba lakini watu walipata matumaini fulani hivi. Nikajiuliza huyu Raia ana kitu gani hasa kiasi cha kupooza mambo kwenye msiba huu?
Nimejifunza kwamba katika dunia hii usithubutu kushindana na aliyejaaliwa
View attachment 2901283View attachment 2901284View attachment 2901285
Mbowe hana njaa kama unavyodhaniHapa unajua wanaongelea nini? Mbowe anamwambia Kinana! Hile 2.72billion sijui imeishaje??? Mnaweza kuniongezea I seeee!
Sasa, tuulizane tu...Ingekuwa CCM ndiyo wamevaa sare za kijani basi vijana wa Mbowe wangelia sana!
Lakini kwa kuwa Baba yao kavaa magwanda basi wanaleta uchawa wa kusifia!
🤓 ...kama ulikwepo! Ndio kujua hatujui, hiyo picha inaongea mengi sana.Hapa unajua wanaongelea nini? Mbowe anamwambia Kinana! Hile 2.72billion sijui imeishaje??? Mnaweza kuniongezea I seeee!
So what ?Hata Tundu Lissu alivaa Suti😄
Tundu Lissu alivaa suti, alikuwa anafanya Ukombozi gani pale. Hebu tuwekee picha ya Lissu basi, au hukutoa memo Mkuu mwenezi?Gwanda vazi la ukombozi
Hivi jana Salum Mwalimu alivaa nini ?Tundu Lissu alivaa suti, alikuwa anafanya Ukombozi gani pale. Hebu tuwekee picha ya Lissu basi, au hukutoa memo Mkuu mwenezi?